Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
ukiwa na busara huwezi endelea fanya kazi za kuwaua ama kuwaumiza wengine, kova analaumiwa kwa sababu anjua anachofanya kuwa si sahihi sasa kwa busara ilimpasa kuachana na kazi hiyo maana inamjengea maadui na kumvunjia heshima kama vile pinda.
labda tukubaliane kuwa hana busara na njaa ndio inayomsumbua ndio maana anaendelea kufanya anayoyafanya.
maana kuchagua pesa kuliko utu ni uchache wa busara
ndio maana mfalme suleiman katika biblia hakumuomba mungu utajiri au hela au nguvu aliomba busara.
labda tukubaliane kuwa hana busara na njaa ndio inayomsumbua ndio maana anaendelea kufanya anayoyafanya.
maana kuchagua pesa kuliko utu ni uchache wa busara
ndio maana mfalme suleiman katika biblia hakumuomba mungu utajiri au hela au nguvu aliomba busara.