lui03152
JF-Expert Member
- Nov 27, 2020
- 250
- 338
Kampuni ya META kupitia mtandao wao wa WhatsApp, wameanza operation maalum ya kuzipiga Ban number zote zilizosajiliwa kwenye WhatsApp GB.
Mwanzoni kampuni ya WhatsApp ilikuwa inawapiga Ban watumiaji wa GB WHATSAPP kwa muda wa saa moja au zaidi, lakini bado watu wengi hawakuona umuhimu wa kuachana na hizo WhatsApp fake.
Hivyo basi kuanzia mwezi huu mwanzoni hadi kufikia December mosi, Wale wote ambao wanatumia WhatsApp GB namba zao zitapigwa Ban na hawataweza kuzisajili popote hata kama ata download WhatsApp original.
Na kama hii haitoshi, na wale ambao hawaja Update WhatsApp yao ili kuupata muonekano mpya walioutoa sasa, kuanzia December mosi hawataweza kutumia WhatsApp hadi watakapo update. Hii itawalazimisha wale ambao hawapendi muonekano mpya wa status ulivyowekwa kutumia kwa lazima.
Hivyo basi, kama unataka usalama wa akaunti yako ya WhatsApp basi ni vema uka Update kama unatumia original au ukaifuta GB WHATSAPP na uka download WhatsApp original kupitia Play Store.
Wapo wengi walioanza kukumbana na kadhia hii.. Epuka isikukute .
Source: Mtandao
Mwanzoni kampuni ya WhatsApp ilikuwa inawapiga Ban watumiaji wa GB WHATSAPP kwa muda wa saa moja au zaidi, lakini bado watu wengi hawakuona umuhimu wa kuachana na hizo WhatsApp fake.
Hivyo basi kuanzia mwezi huu mwanzoni hadi kufikia December mosi, Wale wote ambao wanatumia WhatsApp GB namba zao zitapigwa Ban na hawataweza kuzisajili popote hata kama ata download WhatsApp original.
Na kama hii haitoshi, na wale ambao hawaja Update WhatsApp yao ili kuupata muonekano mpya walioutoa sasa, kuanzia December mosi hawataweza kutumia WhatsApp hadi watakapo update. Hii itawalazimisha wale ambao hawapendi muonekano mpya wa status ulivyowekwa kutumia kwa lazima.
Hivyo basi, kama unataka usalama wa akaunti yako ya WhatsApp basi ni vema uka Update kama unatumia original au ukaifuta GB WHATSAPP na uka download WhatsApp original kupitia Play Store.
Wapo wengi walioanza kukumbana na kadhia hii.. Epuka isikukute .
Source: Mtandao