Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
View attachment 2825416
Kampuni ya Meta sasa wamerudi kwa Kasi kwenye mchakato wao wa kuweza kuzifungia namba mbalimbali ambazo zinatumia program ya Whatsapp Gb.
Kuna kipindi Meta walitoa taarifa ya watu kuweza kuacha kutumia Whatsapp ambazo sio official kabisa ambazo ni Whatsapp Gb, Fm, Aero nk kwani watazifungia akaunti zao.
Ni kweli wengi wakakutana na rungu Hilo kwa kufungiwa Ndani ya siku moja , siku mbili , masaa , wiki nk lakini Bado watu wengi wakaendelea kutumia Whatsapp Gb kama kawaida.
Sasa kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 kampuni ya Meta imesema imeanza mchakato wa kuwafungia wale watu ambao Bado wanatumia Whatsapp Gb namba zao zitapigwa Ban ya kweli kweli na namba zao hawataweza kujisajili tena kwenye Whatsapp hata kama wapakua App ya Whatsapp Toka play store au app store.
Ukipigwa Ban akaunti yako itafutwa itaondolewa kwenye na group yote na utaweza kujirudisha , pia Whatsapp wamesema kuanzia 1 desemba kama ujafanya update ya Whatsapp yako hutaweza kupata muonekano mpya wa Whatsapp.
Jambo muhimu la kuzingatia acha kutumia Whatsapp Gb pia hakikisha unafanya update ya Whatsapp yako kupata feature mbalimbali mpya ambazo zimeachiwa na Whatsapp.
Tags mshikaji wako anayetumia Whatsapp Gb umkumbushe akaunti yake ikifutwa hairudi .
Cc #bongotech255
Kampuni ya Meta sasa wamerudi kwa Kasi kwenye mchakato wao wa kuweza kuzifungia namba mbalimbali ambazo zinatumia program ya Whatsapp Gb.
Kuna kipindi Meta walitoa taarifa ya watu kuweza kuacha kutumia Whatsapp ambazo sio official kabisa ambazo ni Whatsapp Gb, Fm, Aero nk kwani watazifungia akaunti zao.
Ni kweli wengi wakakutana na rungu Hilo kwa kufungiwa Ndani ya siku moja , siku mbili , masaa , wiki nk lakini Bado watu wengi wakaendelea kutumia Whatsapp Gb kama kawaida.
Sasa kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 kampuni ya Meta imesema imeanza mchakato wa kuwafungia wale watu ambao Bado wanatumia Whatsapp Gb namba zao zitapigwa Ban ya kweli kweli na namba zao hawataweza kujisajili tena kwenye Whatsapp hata kama wapakua App ya Whatsapp Toka play store au app store.
Ukipigwa Ban akaunti yako itafutwa itaondolewa kwenye na group yote na utaweza kujirudisha , pia Whatsapp wamesema kuanzia 1 desemba kama ujafanya update ya Whatsapp yako hutaweza kupata muonekano mpya wa Whatsapp.
Jambo muhimu la kuzingatia acha kutumia Whatsapp Gb pia hakikisha unafanya update ya Whatsapp yako kupata feature mbalimbali mpya ambazo zimeachiwa na Whatsapp.
Tags mshikaji wako anayetumia Whatsapp Gb umkumbushe akaunti yake ikifutwa hairudi .
Cc #bongotech255