bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,370
- 24,674
Hapa umenena maana check tu mfano WA hili la NHIF malalamiko ya private sector ni ucheleweshaji wa malipo.Kukatwa buku 2 haina shida mkuu tatizo hizo hela zinaenda kweli kufanya lililokusudiwa? Ama kuna wacenge wachache fedha zikifika hazina watagawana billion 60/60 za michango na kwenda kujenga maghorofa mbweni na kununulia mabasi na malori?
So tutumie mbinu gani wenzetu wasife kwa kukosa matibabu maana mbongo nae mgumu kuchanga we check kwa mfano kanisa katoliki lina bima unalipa kidogo kwa mwanachama lakini still muitikio ni mdogo.Ila visivyo na tija tupo mbele