Kama mzaha hoja ya Mbunge Shabibi inaweza kutungiwa Sheria kuongeza maumivu kwa wananchi

Kukatwa buku 2 haina shida mkuu tatizo hizo hela zinaenda kweli kufanya lililokusudiwa? Ama kuna wacenge wachache fedha zikifika hazina watagawana billion 60/60 za michango na kwenda kujenga maghorofa mbweni na kununulia mabasi na malori?
Hapa umenena maana check tu mfano WA hili la NHIF malalamiko ya private sector ni ucheleweshaji wa malipo.
So tutumie mbinu gani wenzetu wasife kwa kukosa matibabu maana mbongo nae mgumu kuchanga we check kwa mfano kanisa katoliki lina bima unalipa kidogo kwa mwanachama lakini still muitikio ni mdogo.Ila visivyo na tija tupo mbele
 
Basi Bora kampuni za simu zifanye hivyo kwa kila mmiliki wa laini Yao ya simu tuungwe kwa lazima,hiii ya shabiby tunaenda nufaisha mafisadi.
Maana wazo ni zuri shida ni accountability,pana watu wanawaza kuongeza mabus na malori TU
 
Tupeni mbadala,yale ni mawazo yake ya hesabu na zile ni data zake,elfu 2000 kwa mwezi na nchi nzimabtutibiwe bure we inakuuma.
Utibiwe bure wapi, waongo hao itaenda kwenye matumbo yao, kwani wanaposema umeme vijijini nguzo sh 27,000 ni kweli? kama hauna laki 5 na kuendelea haujafunga umeme.
 
Wabongo kwa ulalamishi nini elf 2 kuokoa milioni 2 za matibabu
Tatizo sio 2000 bali ni pale mtu anaugua lkn unaambiwa bima haitoshi, mfanyakazi anakatwa hela kila mwezi na kwa muda wa miaka 10 lkn anaugua ugonjwa unataka 3mln ili apone anaambiwa bima haitoshi, swali ni je wale wote wanaokatwa bima huugua? Kama sio je pesa yao uenda wapi?
 
Tutumie njia gani kuukataa mkuu? Wanaopaswa kutusaidia wanasema wao wanalinda katiba (wanalinda majizi).

Njia moja ya kuwakataa hawa heartless jambazis kwa mfano ni kumpiga chini huyu Shabiby uchaguzi ujao. Tuwe serious na mambo yanayohusu uhai wetu Watanzania, tuamke!

Na pia tuache kuitukuza serikali kwenye kila nyanja ya maisha yetu. Siku Kuu ya Pasaka inaweza kunoga bila kumwita Majaliwa akae kiti cha mbele. Na siku tukifa tunaweza kusalishana wenyewe bila kumuita Mkuu wa Mkoa "kuongoza mazishi." Wana serikali wameshajua tunawatukuza kama miungu mtu, wanafanya lolote, tukatae hizi mentality za kijima hizi.

Na hiyo bima ikija tudai iseme ni marufuku serikali kumtibu mtu kwa cash nje ya mfumo wa bima, iwe ndani au nje ya nchi. Hata Joe Biden akiugua anatumia BIMA, serikali ya USA haitoi cash kumtibu rais, iwe ndani au nje ya Marekani, its just impossibly expensive. Hakuna mtu, au bilionea, kampuni, serikali, duniani inatibu watu kwa cash, except here in the meat-headed third world!
 
Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu na Tsh. 10,000 kukatwa kwa Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato ya Bima ya Afya kwa wote

Shabiby amesema kuna Wamiliki wa Laini za Simu Milioni 72 Nchini ambao makato yao kwa Mwaka yataingiza Tsh. Trilioni 1.72 na zikijumlishwa za Tsh. 10,000 kwa Mwezi za Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi, Serikali itapata kwa Mwaka takriban Tsh. Trilioni 2.

Ni kama mzaha hoja za ajabu ajabu kama hivi huwa zinageuka kuwa sheria,bila wananchi kutarajia.

Tunakumbuka Mama Salma Kikwete alivyoibua hoja ya kuwalipa wenza wa viongozi wastaafu bungeni,na kama masihara bunge likainuka na hoja hiyo na kuifanya kuwa sheria.Leo hii mabilioni ya kodi za watanzania zinatumika kuwalipa watu ambao hawakuwa na majukumu yeyote ya kiseriakli mpaka kufa kwao.

Ni kwa namna kama hii ndio Mbunge wa Ilala,Mh.Mussa Azan Zungu alivyoleta hoja ya tozo ya miamala ya simu bungeni.Watu waliona ni masihara.Ghafla sheria ikatungwa na watanzania wanaendelea kuumia kila uchao.

Hivyo nina imani kwamba hata hili la mbunge Shabibi ambalo watu wanaona kama ni sanaa tu mda sio mrefu litatungiwa sheria na litapitishwa na bunge ili kuongeza majaraha kwa wananchi.

Jambo ambalo wanapaswa watanzania wafahamu ni kwamba hakuna mbunge wa CCM anaeibuka na hoja bungeni bila kuagizwa na serikali ya CCM.Huwa ni mpango ambao huwa umeshapangwa,hivyo muhusika hutolewa kafara ili kutekeleza maagizo.

Na hii ndio maana miswaada mingi ya hovyo ndio unaona bunge linakimbilia kuitungia sheria.Na kwa bahati mbaya nchi hii imekuwa na mahakama ya hovyo kiasi kwamba Bunge au Serikali huwa ndio mwamuzi wa mwisho wa jambo lolote linalohusu mustakbali wa nchi hii.

Hivyo watanzania wawe tayari kupokea sheria mpya ya tozo za laini za simu ili kuichangia NHIF.
Wa-Tanzania Mutaisoma namba mpaka mtajuta kuzaliwa Tanzania pasipo na kupinga mutaonewa kila siku na Serikali ya SISI EMU OYEEE .Kidumu Chama Cha Mapinduizi Zidumu Fikra mbovu za Wabunge wa CCM.
 
Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu na Tsh. 10,000 kukatwa kwa Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato ya Bima ya Afya kwa wote

Shabiby amesema kuna Wamiliki wa Laini za Simu Milioni 72 Nchini ambao makato yao kwa Mwaka yataingiza Tsh. Trilioni 1.72 na zikijumlishwa za Tsh. 10,000 kwa Mwezi za Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi, Serikali itapata kwa Mwaka takriban Tsh. Trilioni 2.

Ni kama mzaha hoja za ajabu ajabu kama hivi huwa zinageuka kuwa sheria,bila wananchi kutarajia.

Tunakumbuka Mama Salma Kikwete alivyoibua hoja ya kuwalipa wenza wa viongozi wastaafu bungeni,na kama masihara bunge likainuka na hoja hiyo na kuifanya kuwa sheria.Leo hii mabilioni ya kodi za watanzania zinatumika kuwalipa watu ambao hawakuwa na majukumu yeyote ya kiseriakli mpaka kufa kwao.

Ni kwa namna kama hii ndio Mbunge wa Ilala,Mh.Mussa Azan Zungu alivyoleta hoja ya tozo ya miamala ya simu bungeni.Watu waliona ni masihara.Ghafla sheria ikatungwa na watanzania wanaendelea kuumia kila uchao.

Hivyo nina imani kwamba hata hili la mbunge Shabibi ambalo watu wanaona kama ni sanaa tu mda sio mrefu litatungiwa sheria na litapitishwa na bunge ili kuongeza majaraha kwa wananchi.

Jambo ambalo wanapaswa watanzania wafahamu ni kwamba hakuna mbunge wa CCM anaeibuka na hoja bungeni bila kuagizwa na serikali ya CCM.Huwa ni mpango ambao huwa umeshapangwa,hivyo muhusika hutolewa kafara ili kutekeleza maagizo.

Na hii ndio maana miswaada mingi ya hovyo ndio unaona bunge linakimbilia kuitungia sheria.Na kwa bahati mbaya nchi hii imekuwa na mahakama ya hovyo kiasi kwamba Bunge au Serikali huwa ndio mwamuzi wa mwisho wa jambo lolote linalohusu mustakbali wa nchi hii.

Hivyo watanzania wawe tayari kupokea sheria mpya ya tozo za laini za simu ili kuichangia NHIF.
Wame mismanage michango ya watu mpaka Hali imefika hapa. Tena michango iongezwe Tena wakatapanye!!
 
Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu na Tsh. 10,000 kukatwa kwa Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato ya Bima ya Afya kwa wote

Shabiby amesema kuna Wamiliki wa Laini za Simu Milioni 72 Nchini ambao makato yao kwa Mwaka yataingiza Tsh. Trilioni 1.72 na zikijumlishwa za Tsh. 10,000 kwa Mwezi za Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi, Serikali itapata kwa Mwaka takriban Tsh. Trilioni 2.

Ni kama mzaha hoja za ajabu ajabu kama hivi huwa zinageuka kuwa sheria,bila wananchi kutarajia.

Tunakumbuka Mama Salma Kikwete alivyoibua hoja ya kuwalipa wenza wa viongozi wastaafu bungeni,na kama masihara bunge likainuka na hoja hiyo na kuifanya kuwa sheria.Leo hii mabilioni ya kodi za watanzania zinatumika kuwalipa watu ambao hawakuwa na majukumu yeyote ya kiseriakli mpaka kufa kwao.

Ni kwa namna kama hii ndio Mbunge wa Ilala,Mh.Mussa Azan Zungu alivyoleta hoja ya tozo ya miamala ya simu bungeni.Watu waliona ni masihara.Ghafla sheria ikatungwa na watanzania wanaendelea kuumia kila uchao.

Hivyo nina imani kwamba hata hili la mbunge Shabibi ambalo watu wanaona kama ni sanaa tu mda sio mrefu litatungiwa sheria na litapitishwa na bunge ili kuongeza majaraha kwa wananchi.

Jambo ambalo wanapaswa watanzania wafahamu ni kwamba hakuna mbunge wa CCM anaeibuka na hoja bungeni bila kuagizwa na serikali ya CCM.Huwa ni mpango ambao huwa umeshapangwa,hivyo muhusika hutolewa kafara ili kutekeleza maagizo.

Na hii ndio maana miswaada mingi ya hovyo ndio unaona bunge linakimbilia kuitungia sheria.Na kwa bahati mbaya nchi hii imekuwa na mahakama ya hovyo kiasi kwamba Bunge au Serikali huwa ndio mwamuzi wa mwisho wa jambo lolote linalohusu mustakbali wa nchi hii.

Hivyo watanzania wawe tayari kupokea sheria mpya ya tozo za laini za simu ili kuichangia NHIF.
Hawa wabunge wa awamu hii waondolewe wote, tubadili katiba wabunge wataje viwango vya mishahara wanavyotaka kulipwa wanapoomba kazi majukwaani ili tuachane na hawa wakujitajirisha, kuna vijana wengi tu wapo tayari kuwa wabunge kwa malipo ya mil 5, ifike wakati tuwe na wabunge wenye akili

Kwa akili zake anadhani kila raia ana simu? Kila raia anaweka salio kwenye simu? Hajui wafanyakazi wanakatwa bima mshaharani?
 
Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu na Tsh. 10,000 kukatwa kwa Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato ya Bima ya Afya kwa wote

Shabiby amesema kuna Wamiliki wa Laini za Simu Milioni 72 Nchini ambao makato yao kwa Mwaka yataingiza Tsh. Trilioni 1.72 na zikijumlishwa za Tsh. 10,000 kwa Mwezi za Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi, Serikali itapata kwa Mwaka takriban Tsh. Trilioni 2.

Ni kama mzaha hoja za ajabu ajabu kama hivi huwa zinageuka kuwa sheria,bila wananchi kutarajia.

Tunakumbuka Mama Salma Kikwete alivyoibua hoja ya kuwalipa wenza wa viongozi wastaafu bungeni,na kama masihara bunge likainuka na hoja hiyo na kuifanya kuwa sheria.Leo hii mabilioni ya kodi za watanzania zinatumika kuwalipa watu ambao hawakuwa na majukumu yeyote ya kiseriakli mpaka kufa kwao.

Ni kwa namna kama hii ndio Mbunge wa Ilala,Mh.Mussa Azan Zungu alivyoleta hoja ya tozo ya miamala ya simu bungeni.Watu waliona ni masihara.Ghafla sheria ikatungwa na watanzania wanaendelea kuumia kila uchao.

Hivyo nina imani kwamba hata hili la mbunge Shabibi ambalo watu wanaona kama ni sanaa tu mda sio mrefu litatungiwa sheria na litapitishwa na bunge ili kuongeza majaraha kwa wananchi.

Jambo ambalo wanapaswa watanzania wafahamu ni kwamba hakuna mbunge wa CCM anaeibuka na hoja bungeni bila kuagizwa na serikali ya CCM.Huwa ni mpango ambao huwa umeshapangwa,hivyo muhusika hutolewa kafara ili kutekeleza maagizo.

Na hii ndio maana miswaada mingi ya hovyo ndio unaona bunge linakimbilia kuitungia sheria.Na kwa bahati mbaya nchi hii imekuwa na mahakama ya hovyo kiasi kwamba Bunge au Serikali huwa ndio mwamuzi wa mwisho wa jambo lolote linalohusu mustakbali wa nchi hii.

Hivyo watanzania wawe tayari kupokea sheria mpya ya tozo za laini za simu ili kuichangia NHIF.
Moja ya kosa kubwa alilofanya Mwalimu na baadae likaongezewa nguvu zaidi na The Late Magu ni kutufanya tuwe waoga!System imejipenyeza kila idara na kwa bahati mbaya inatumika kwa manufaa yao,its sad.Mahakama ipo kama paper tiger,huku chini mwananchi huwez kuanzisha vuguvugu hata la kuwataka wabunge waisimamie Serikali ukijaribu wew na wenzio kutembea na mabango kuelekea pale bungeni ujue your days are numbered!What a country🤣
 
Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu na Tsh. 10,000 kukatwa kwa Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato ya Bima ya Afya kwa wote

Shabiby amesema kuna Wamiliki wa Laini za Simu Milioni 72 Nchini ambao makato yao kwa Mwaka yataingiza Tsh. Trilioni 1.72 na zikijumlishwa za Tsh. 10,000 kwa Mwezi za Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi, Serikali itapata kwa Mwaka takriban Tsh. Trilioni 2.

Ni kama mzaha hoja za ajabu ajabu kama hivi huwa zinageuka kuwa sheria,bila wananchi kutarajia.

Tunakumbuka Mama Salma Kikwete alivyoibua hoja ya kuwalipa wenza wa viongozi wastaafu bungeni,na kama masihara bunge likainuka na hoja hiyo na kuifanya kuwa sheria.Leo hii mabilioni ya kodi za watanzania zinatumika kuwalipa watu ambao hawakuwa na majukumu yeyote ya kiseriakli mpaka kufa kwao.

Ni kwa namna kama hii ndio Mbunge wa Ilala,Mh.Mussa Azan Zungu alivyoleta hoja ya tozo ya miamala ya simu bungeni.Watu waliona ni masihara.Ghafla sheria ikatungwa na watanzania wanaendelea kuumia kila uchao.

Hivyo nina imani kwamba hata hili la mbunge Shabibi ambalo watu wanaona kama ni sanaa tu mda sio mrefu litatungiwa sheria na litapitishwa na bunge ili kuongeza majaraha kwa wananchi.

Jambo ambalo wanapaswa watanzania wafahamu ni kwamba hakuna mbunge wa CCM anaeibuka na hoja bungeni bila kuagizwa na serikali ya CCM.Huwa ni mpango ambao huwa umeshapangwa,hivyo muhusika hutolewa kafara ili kutekeleza maagizo.

Na hii ndio maana miswaada mingi ya hovyo ndio unaona bunge linakimbilia kuitungia sheria.Na kwa bahati mbaya nchi hii imekuwa na mahakama ya hovyo kiasi kwamba Bunge au Serikali huwa ndio mwamuzi wa mwisho wa jambo lolote linalohusu mustakbali wa nchi hii.

Hivyo watanzania wawe tayari kupokea sheria mpya ya tozo za laini za simu ili N
 
Na inawezekana ikapita kabisa!
Cha kusikitisha hawaongelei maelekezo ya CAG kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma na kubana matumizi yasiyo ya lazma!
Hata makisio ya Shabiby ya kukusanya trillion 2 bado zitapigwa tu,koz hamna uwajibikaji serikalini!
 
Tatizo sio 2000 bali ni pale mtu anaugua lkn unaambiwa bima haitoshi, mfanyakazi anakatwa hela kila mwezi na kwa muda wa miaka 10 lkn anaugua ugonjwa unataka 3mln ili apone anaambiwa bima haitoshi, swali ni je wale wote wanaokatwa bima huugua? Kama sio je pesa yao uenda wapi?
Asipougua yeye ataugua ndugu yake
 
Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu na Tsh. 10,000 kukatwa kwa Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato ya Bima ya Afya kwa wote

Shabiby amesema kuna Wamiliki wa Laini za Simu Milioni 72 Nchini ambao makato yao kwa Mwaka yataingiza Tsh. Trilioni 1.72 na zikijumlishwa za Tsh. 10,000 kwa Mwezi za Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi, Serikali itapata kwa Mwaka takriban Tsh. Trilioni 2.

Ni kama mzaha hoja za ajabu ajabu kama hivi huwa zinageuka kuwa sheria,bila wananchi kutarajia.

Tunakumbuka Mama Salma Kikwete alivyoibua hoja ya kuwalipa wenza wa viongozi wastaafu bungeni,na kama masihara bunge likainuka na hoja hiyo na kuifanya kuwa sheria.Leo hii mabilioni ya kodi za watanzania zinatumika kuwalipa watu ambao hawakuwa na majukumu yeyote ya kiseriakli mpaka kufa kwao.

Ni kwa namna kama hii ndio Mbunge wa Ilala,Mh.Mussa Azan Zungu alivyoleta hoja ya tozo ya miamala ya simu bungeni.Watu waliona ni masihara.Ghafla sheria ikatungwa na watanzania wanaendelea kuumia kila uchao.

Hivyo nina imani kwamba hata hili la mbunge Shabibi ambalo watu wanaona kama ni sanaa tu mda sio mrefu litatungiwa sheria na litapitishwa na bunge ili kuongeza majaraha kwa wananchi.

Jambo ambalo wanapaswa watanzania wafahamu ni kwamba hakuna mbunge wa CCM anaeibuka na hoja bungeni bila kuagizwa na serikali ya CCM.Huwa ni mpango ambao huwa umeshapangwa,hivyo muhusika hutolewa kafara ili kutekeleza maagizo.

Na hii ndio maana miswaada mingi ya hovyo ndio unaona bunge linakimbilia kuitungia sheria.Na kwa bahati mbaya nchi hii imekuwa na mahakama ya hovyo kiasi kwamba Bunge au Serikali huwa ndio mwamuzi wa mwisho wa jambo lolote linalohusu mustakbali wa nchi hii.

Hivyo watanzania wawe tayari kupokea sheria mpya ya tozo za laini za simu ili kuichangia NHIF.
YESU NA MARIA!!!!!!!!!Kwa hiyo nikatwe hela yangu ili niwachangie wahuni wavuta bangi,walevi ,wazinzi,wafiraji kisa tu wapate bima kwa wote? huu sasa ni ujinga uliyopitiliza.navunja laini zote
 
Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu na Tsh. 10,000 kukatwa kwa Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato ya Bima ya Afya kwa wote

Shabiby amesema kuna Wamiliki wa Laini za Simu Milioni 72 Nchini ambao makato yao kwa Mwaka yataingiza Tsh. Trilioni 1.72 na zikijumlishwa za Tsh. 10,000 kwa Mwezi za Wabunge, Wafanyabiashara na Wafanyakazi, Serikali itapata kwa Mwaka takriban Tsh. Trilioni 2.

Ni kama mzaha hoja za ajabu ajabu kama hivi huwa zinageuka kuwa sheria,bila wananchi kutarajia.

Tunakumbuka Mama Salma Kikwete alivyoibua hoja ya kuwalipa wenza wa viongozi wastaafu bungeni,na kama masihara bunge likainuka na hoja hiyo na kuifanya kuwa sheria.Leo hii mabilioni ya kodi za watanzania zinatumika kuwalipa watu ambao hawakuwa na majukumu yeyote ya kiseriakli mpaka kufa kwao.

Ni kwa namna kama hii ndio Mbunge wa Ilala,Mh.Mussa Azan Zungu alivyoleta hoja ya tozo ya miamala ya simu bungeni.Watu waliona ni masihara.Ghafla sheria ikatungwa na watanzania wanaendelea kuumia kila uchao.

Hivyo nina imani kwamba hata hili la mbunge Shabibi ambalo watu wanaona kama ni sanaa tu mda sio mrefu litatungiwa sheria na litapitishwa na bunge ili kuongeza majaraha kwa wananchi.

Jambo ambalo wanapaswa watanzania wafahamu ni kwamba hakuna mbunge wa CCM anaeibuka na hoja bungeni bila kuagizwa na serikali ya CCM.Huwa ni mpango ambao huwa umeshapangwa,hivyo muhusika hutolewa kafara ili kutekeleza maagizo.

Na hii ndio maana miswaada mingi ya hovyo ndio unaona bunge linakimbilia kuitungia sheria.Na kwa bahati mbaya nchi hii imekuwa na mahakama ya hovyo kiasi kwamba Bunge au Serikali huwa ndio mwamuzi wa mwisho wa jambo lolote linalohusu mustakbali wa nchi hii.

Hivyo watanzania wawe tayari kupokea sheria mpya ya tozo za laini za simu ili kuichangia NHIF.
Kwa upande wangu hoja Yake sio mbaya ikiwa kweli itaenda kufanyiwa kazi inavyopaswa
Hii ni sawa na tunavyokatwa kodi ya majengo kwenye umeme na si lazima.iwe kwenye simu
Inaweza kuwa hata kwenye petroli
Inaweza kuwa hata kwenye kitambulisho cha taifa ikaja sheria kwamba kila Aliyefikisha miaka kumina minane awe nakitambulisho cha taifa na atakilipia elfu 15 au ishirini kwa mwaka na kitambulisho hicho kitamuwezesha kupata bima ya Afya

Shida iko wapi shida ni pale utakapolipia elfu mbili yako kwenye simu kisha huduma hakuna lakini ikiwa utalipia na huduma unapata miki sina pingamizi watu wanateseka sana huko hospitalini inahitajika njia ya kuwapa uhakika wa matibabu
 
Back
Top Bottom