Kafulila aifunika KIGOMA

Kama kafulila anataka kurudi Chadema milango iko wazi kabisa there is no permanent enemy & friend in politics.
 
mnajuaje kuwa kuweko kwa Kafulila ulikuwa ni mpango maalum na sasa kazi ya kuua nccr imeshakamilika? Vyama hivi vidogo hutumika kupunguza kura za chama kikuu cha upinzani kama hamjui.
 
Ama kweli mmeamua kuwa kazini! Tunajua fedha za MKONO ndo zinafanya kazi kila sehemu ila elewa ZITTO sio maarufu ki-hivyo kama unavyotaka wana-JF tuamini. Ukweli ni kwamba mbinu zote tunazijua hivyo mpe salam kuwa jamaa wameshtukia issue anazotaka kuzifanya. Utata wake hajauanza leo na huyo Dogo Kafulila bora achague kazi za kufanya mbona zipo nyingi sana hapa Tanzania. Siasa zimemshinda Kafulila anatumika na ZITTO na hata wewe mtoa mada kama umetumwa umetukosa!!!!!!!!!!!!!

zitto yuko bright sana kuliko kiongoz unayemtaka wewe chadema,tunataka chadema iwe chama sasa na sio saccos ya kupiga pesa.
 
poleni sana maana mnahangaika mno.Aliyekutuma mwambie atafute njia nyingine.Kwani Zitto hana haki ya kugombea? Kura itaamua na ndiyo demokrasia inayotakiwa.
 
Kwani wana-jf Kafulila alifanya dhambi gani isiyosameheka?Nadhani dr Slaa ni Mkatoliki anayeamini katika toba na msamaha wa dhambi.Hata iwe nyekundu kama......kwake yeye aaminie itakua nyeupe kama theluji.
Kuenguliwa?Kwa taarifa tu Zitto ni mtendaji zaidi kuliko mblaablaa.Anafaa zaidi kwenye nafasi za katibu mkuu,waziri mkuu na vya kufanana na hivyo.Anajijua,analijua hilo.Sintakaa niamini kuwa nia yake ni kukibomoa chama kilichomjenga kwa kiwango hicho/hiki.
Hata alipotaka kugombea uenyekiti cdm alitaka kujenga taswira ya demokasia ndani ya chama na sio makuu.ALIFANIKIWA HILO!
Kafulila alifanya papara cdm na huko alikokwenda amerudia makosa yaleyale.Zitto alimuonya, kama mnakumbuka!
Hapa mkiangalia na kujadili issues kwenye hii mada mtaachana na u-cdm,u-nccr,u-ccm na u-cuf na mwisho wake mawazo/michango itaonekana mipevu zaidi sana.Think deep.
 
Mimi naona kama kafulila atarudi CDM ni yeye atakayekuwa amekula matapishi yake,na wala si Dr Slaa!
 
Kwani wana-jf Kafulila alifanya dhambi gani isiyosameheka?Nadhani dr Slaa ni Mkatoliki anayeamini katika toba na msamaha wa dhambi.Hata iwe nyekundu kama......kwake yeye aaminie itakua nyeupe kama theluji.
Kuenguliwa?Kwa taarifa tu Zitto ni mtendaji zaidi kuliko mblaablaa.Anafaa zaidi kwenye nafasi za katibu mkuu,waziri mkuu na vya kufanana na hivyo.Anajijua,analijua hilo.Sintakaa niamini kuwa nia yake ni kukibomoa chama kilichomjenga kwa kiwango hicho/hiki.
Hata alipotaka kugombea uenyekiti cdm alitaka kujenga taswira ya demokasia ndani ya chama na sio makuu.ALIFANIKIWA HILO!
Kafulila alifanya papara cdm na huko alikokwenda amerudia makosa yaleyale.Zitto alimuonya, kama mnakumbuka!
Hapa mkiangalia na kujadili issues kwenye hii mada mtaachana na u-cdm,u-nccr,u-ccm na u-cuf na mwisho wake mawazo/michango itaonekana mipevu zaidi sana.Think deep.
inaonekana huwajui watu wa kigoma hasa pale anapoenekana kuwa yeye ni mtu muhimu, kamuulize kabouru na magenzi alipowageuka waislam wa mwembechai wakati wakina chuki Athumani hadi leo mlemavu. hawa jamaa wapo kama kinyonga.
 
zitto yuko bright sana kuliko kiongoz unayemtaka wewe chadema,tunataka chadema iwe chama sasa na sio saccos ya kupiga pesa.
kingekuwa chama cha kupiga pesa leo kingefika hapo au watu wametumia pesa zao pindi ruzuku ilipokuwa ndogo na bado watu walikua wanakieneza chama hadi leo kimefikia na mtaji zaidi ya milioni saba!
 
zitto yuko bright sana kuliko kiongoz unayemtaka wewe chadema,tunataka chadema iwe chama sasa na sio saccos ya kupiga pesa.
wewe unaita saccos jk aliwaita chama cha msimu lakini du....kwa nilivyoona mjadala wa katiba bungeni nimeamini chadema ni kiboko kila mbunge .aliesimama sio cuf, tlp, ccm, wote walikuwa wanajadili cdm badala ya kilichowapeleka bungeni. hata waliotumwa humu kila siku mnakuja na hoja za kipuuzi kuhusu slaa........ vipi anawaumiza sana maanake watu wanajadili vivuko ada imeongezwa ghafla utafikiri pesa za migodi tumeshaanza kugawiwa kama libya vile .
Mafuta petrol haipatikani wengine wananunua mpaka 5000 per litre unasifia watu wako na akili umeme tunasubiri miujiza ila kwa nilivosikia hotuba funga mwaka lazima umeme uwe juu
 
kwa vyovyote vile, hata nahakama iamue vinginevyo, nccr hawatarudisha kafulila,

ila hali ndo hiyo...madiwani waliotimuliwa cdm arusha, walifungua kesi wakashindwa, sasa baada ya kuona kafulila kashinda yakwake, pia CCM arusha ilipoona viongozi nccrarusha wametimkia cdm, wenyewe bila kujua mkakati, wameongezea nguvu kuua chadema kwa kuwashawishai madiwani wafungue kesi nyingine...hii inamaanisha uchaguzi wa madiwani arusha ni dilemma kwani kesi itarindima hadi 2014!
 
Kama ni wafuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, pia kufanya summary ya wachangiaji humu JF, utapata clue kuwa ZITO anamkakati wa kuwania uongozi wa juu CHADEMA ili kujiweka sawa mbio za urais, hii ni baada ya kufeli mkakati wa kumwengua MBATI nccr!

TATIZO ni kauli za Dr slaa kipindi kile wanamtimua KAFULILA kuwa huyu Bw mdogo alikuwa sisimizi aliyekuwa anataka kuivuruga cdm,
na akasema ama kafulila aondeke au yeye Slaa aondoke!

sasa ZITO amesuka mpango, slaa ale matapishi yake...je slaa atakubali?

elewa kuwa viongozi wa nccr waliohamia cdm kule arusha juzi ni mkakati!

elewa kule jimboni kigoma viongozi wanapiga debe kuwa watahamia chadema, ikimaanisha wanamfuata kafulila....sasa je ...slaa atampokea kafulila cdm?

Well n' good YOTE SIASA! THE TIME WILL TELL, BUT ASAP!


Ukae ukijua Kafulila alichanja mbuga mwenyewe hakufukuzwa alifutwa kazi tu.
Wewe simkweli bana.
 
Kama ni wafuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, pia kufanya summary ya wachangiaji humu JF, utapata clue kuwa ZITO anamkakati wa kuwania uongozi wa juu CHADEMA ili kujiweka sawa mbio za urais, hii ni baada ya kufeli mkakati wa kumwengua MBATI nccr!

TATIZO ni kauli za Dr slaa kipindi kile wanamtimua KAFULILA kuwa huyu Bw mdogo alikuwa sisimizi aliyekuwa anataka kuivuruga cdm,
na akasema ama kafulila aondeke au yeye Slaa aondoke!

sasa ZITO amesuka mpango, slaa ale matapishi yake...je slaa atakubali?

elewa kuwa viongozi wa nccr waliohamia cdm kule arusha juzi ni mkakati!

elewa kule jimboni kigoma viongozi wanapiga debe kuwa watahamia chadema, ikimaanisha wanamfuata kafulila....sasa je ...slaa atampokea kafulila cdm?

Well n' good YOTE SIASA! THE TIME WILL TELL, BUT ASAP!


Usiwe na Hofu ndugu yangu CDM ni Chama makini ilishapita kwenye misukosuko mingi sana, haijalishi nani anakuja na malengo gani lakini lazima mwisho wa siku atimize yale ambayo waCDM wanayataka.

Mfano Zito alishajitahidi sana kujirudisha kwenye peak kama 2008/209 lakini amshindwa na sasa anashindwa na kiongozi kijana na mgeni kwenye chama kama Lema, ataweza kushindana na Mbowe na Dr Slaa? Nadhani hata huyu kafulila si mtu wa kuhangaika naye akitaka kurudi aje CDM na kuwa mwanachama wa kawaida.

Kikubwa hapa ni hawa jamaa wote wa kule wana yumba sana katika misimamo yao hawana jipya ndiyo maana leo hii utaona mtu anataka kuhama chama mara tatu ndani ya miaka miwili na kitu.

Mwacheni wamsubiri Hama Rashid kesho waanzishe Chama chao wakatoane roho huko.
 
Kama ni wafuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, pia kufanya summary ya wachangiaji humu JF, utapata clue kuwa ZITO anamkakati wa kuwania uongozi wa juu CHADEMA ili kujiweka sawa mbio za urais, hii ni baada ya kufeli mkakati wa kumwengua MBATIA nccr!


Ushauri wa bure kwa Zitto na Kafulila kama wameshindwa kumtoa mchaga uenyekiti wa NCCR wasitarajie kumtoa mchaga mwingine uenyekiti wa CHADEMA.Kama kigoma wana roho ngumu kisiasa wachaga wana roho ngumu ya kisiasa kuwazidi.Kama ni mtandao, mtandao wa wana kigoma nchi nzima ni mdogo mno ukilinganisha na mtandao wa wachaga nchi nzima kisiasa.Kujaribu kuwatoa ni kutwanga maji ndani ya kinu watulie wakue tu kisiasa ubavu wa kuwatoa wenyeviti hao hawana iwe NCCR,CHADEMA wala TLP .
 
Kama ni wafuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, pia kufanya summary ya wachangiaji humu JF, utapata clue kuwa ZITO anamkakati wa kuwania uongozi wa juu CHADEMA ili kujiweka sawa mbio za urais, hii ni baada ya kufeli mkakati wa kumwengua MBATI nccr!

TATIZO ni kauli za Dr slaa kipindi kile wanamtimua KAFULILA kuwa huyu Bw mdogo alikuwa sisimizi aliyekuwa anataka kuivuruga cdm,
na akasema ama kafulila aondeke au yeye Slaa aondoke!

sasa ZITO amesuka mpango, slaa ale matapishi yake...je slaa atakubali?

elewa kuwa viongozi wa nccr waliohamia cdm kule arusha juzi ni mkakati!

elewa kule jimboni kigoma viongozi wanapiga debe kuwa watahamia chadema, ikimaanisha wanamfuata kafulila....sasa je ...slaa atampokea kafulila cdm?

Well n' good YOTE SIASA! THE TIME WILL TELL, BUT ASAP!


Umepewa shilingi ngapi kuleta huu uozo wako hapa? Hiyo kauli ya ama Kafulila aondoke ama Dr slaa aondoke ni umbea na majungu tuu unayojaribu kuyafanya mtot wa kiume wewe! Angekua binti hapo poa lakini na wewe wa kiume tena?

Afu sikia, Kafulila hakufukuzwa CDM ila alitimuliwa cheo cha uafisa habari. Kama ni chama alikimbia mwenyewe so anao uhuru wa kurudi CDM akitaka na wala Dr Slaa hawezi kula matapishi yake kama unavyodai kwa kua hakuwai kutapika
 
mnajuaje kuwa kuweko kwa Kafulila ulikuwa ni mpango maalum na sasa kazi ya kuua nccr imeshakamilika? Vyama hivi vidogo hutumika kupunguza kura za chama kikuu cha upinzani kama hamjui.
I was just thinking so, NCCR ilikuwa threat kwa CDM kama CDM ilivyo threat kwa CCM, hongera Zitto kwa hilo.
 
Back
Top Bottom