kwa vyovyote vile, hata nahakama iamue vinginevyo, nccr hawatarudisha kafulila,
ila hali ndo hiyo...madiwani waliotimuliwa cdm arusha, walifungua kesi wakashindwa, sasa baada ya kuona kafulila kashinda yakwake, pia CCM arusha ilipoona viongozi nccrarusha wametimkia cdm, wenyewe bila kujua mkakati, wameongezea nguvu kuua chadema kwa kuwashawishai madiwani wafungue kesi nyingine...hii inamaanisha uchaguzi wa madiwani arusha ni dilemma kwani kesi itarindima hadi 2014!
huko kilikotoka (wakati wa kina Kabouru) kilikuwa chama halafu hawa jamaa (Mbowe na Slaa) wakakifanya saccos sasa unataka kukirudisha kuwa chama ee, haya mkuu jitahidi.. ila watanzania wengi na wapenzi wa cdm tunataka hiyo unayoiita saccoszitto yuko bright sana kuliko kiongoz unayemtaka wewe chadema,tunataka chadema iwe chama sasa na sio saccos ya kupiga pesa.
Kama ni wafuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, pia kufanya summary ya wachangiaji humu JF, utapata clue kuwa ZITO anamkakati wa kuwania uongozi wa juu CHADEMA ili kujiweka sawa mbio za urais, hii ni baada ya kufeli mkakati wa kumwengua MBATI nccr!
TATIZO ni kauli za Dr slaa kipindi kile wanamtimua KAFULILA kuwa huyu Bw mdogo alikuwa sisimizi aliyekuwa anataka kuivuruga cdm, na akasema ama kafulila aondeke au yeye Slaa aondoke!
sasa ZITO amesuka mpango, slaa ale matapishi yake...je slaa atakubali?
elewa kuwa viongozi wa nccr waliohamia cdm kule arusha juzi ni mkakati!
elewa kule jimboni kigoma viongozi wanapiga debe kuwa watahamia chadema, ikimaanisha wanamfuata kafulila....sasa je ...slaa atampokea kafulila cdm?
Well n' good YOTE SIASA! THE TIME WILL TELL, BUT ASAP!
INAVYOONEKANA WEWE UMETUMWA NA CHAMA CHA MAGAMBA UANZE KULETA CHOKOCHOKO ZAKO HUKU KWETU CDM,TUMESHASTUKA MAPEMA NA MMESHACHELEWA SISI TUKO IMARA TENA WAACHE VIONGOZI WETU WA CDM WAENDELEE NA MIKAKATI YA KUBANDUA CCM 2015,HAPA CDM NI MAJI MAREFU BWANA MDOGOOOOOOOOOOOOOO.
Kama ni wafuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, pia kufanya summary ya wachangiaji humu JF, utapata clue kuwa ZITO anamkakati wa kuwania uongozi wa juu CHADEMA ili kujiweka sawa mbio za urais, hii ni baada ya kufeli mkakati wa kumwengua MBATI nccr!
TATIZO ni kauli za Dr slaa kipindi kile wanamtimua KAFULILA kuwa huyu Bw mdogo alikuwa sisimizi aliyekuwa anataka kuivuruga cdm, na akasema ama kafulila aondeke au yeye Slaa aondoke!
sasa ZITO amesuka mpango, slaa ale matapishi yake...je slaa atakubali?
elewa kuwa viongozi wa nccr waliohamia cdm kule arusha juzi ni mkakati!
elewa kule jimboni kigoma viongozi wanapiga debe kuwa watahamia chadema, ikimaanisha wanamfuata kafulila....sasa je ...slaa atampokea kafulila cdm?
Well n' good YOTE SIASA! THE TIME WILL TELL, BUT ASAP!
Kama ni wafuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, pia kufanya summary ya wachangiaji humu JF, utapata clue kuwa ZITO anamkakati wa kuwania uongozi wa juu CHADEMA ili kujiweka sawa mbio za urais, hii ni baada ya kufeli mkakati wa kumwengua MBATI nccr!
TATIZO ni kauli za Dr slaa kipindi kile wanamtimua KAFULILA kuwa huyu Bw mdogo alikuwa sisimizi aliyekuwa anataka kuivuruga cdm, na akasema ama kafulila aondeke au yeye Slaa aondoke!
sasa ZITO amesuka mpango, slaa ale matapishi yake...je slaa atakubali?
elewa kuwa viongozi wa nccr waliohamia cdm kule arusha juzi ni mkakati!
elewa kule jimboni kigoma viongozi wanapiga debe kuwa watahamia chadema, ikimaanisha wanamfuata kafulila....sasa je ...slaa atampokea kafulila cdm?
Well n' good YOTE SIASA! THE TIME WILL TELL, BUT ASAP!
Usiwe na Hofu ndugu yangu CDM ni Chama makini ilishapita kwenye misukosuko mingi sana, haijalishi nani anakuja na malengo gani lakini lazima mwisho wa siku atimize yale ambayo waCDM wanayataka.
Mfano Zito alishajitahidi sana kujirudisha kwenye peak kama 2008/209 lakini amshindwa na sasa anashindwa na kiongozi kijana na mgeni kwenye chama kama Lema, ataweza kushindana na Mbowe na Dr Slaa? Nadhani hata huyu kafulila si mtu wa kuhangaika naye akitaka kurudi aje CDM na kuwa mwanachama wa kawaida.
Kikubwa hapa ni hawa jamaa wote wa kule wana yumba sana katika misimamo yao hawana jipya ndiyo maana leo hii utaona mtu anataka kuhama chama mara tatu ndani ya miaka miwili na kitu.
Mwacheni wamsubiri Hama Rashid kesho waanzishe Chama chao wakatoane roho huko.
zitto yuko bright sana kuliko kiongoz unayemtaka wewe chadema,tunataka chadema iwe chama sasa na sio saccos ya kupiga pesa.
Ni vizuri ukafahamu kwamba kafulila hakufukuzwa toka chadema, alivuliwa cheo cha afisa habari.
Hii ya kwamba aidha kafulila aondoke slaa abaki ama kafulila abaki slaa aondoke ni kauli yako mwenyewe.
Hauwezi kumfananisha Zitto na Lema utachekwa Ndugu,Lema bado sana kwa Zitto...tunachujua munatumia muda mwingi kumpromote Lema na kufanya kila hila ili zitto aonekane mbaya lakin wapi..Lema hawez siasa ndugu.
Mtu mwenye akili hawez kumfananisha Lema na Zitto.Lema bado sana ktk siasa
Nikwel kafulila kuludi chadema si dhambi ilimladi afuate katiba na talatibu za cdmUmepewa shilingi ngapi kuleta huu uozo wako hapa? Hiyo kauli ya ama Kafulila aondoke ama Dr slaa aondoke ni umbea na majungu tuu unayojaribu kuyafanya mtot wa kiume wewe! Angekua binti hapo poa lakini na wewe wa kiume tena?
Afu sikia, Kafulila hakufukuzwa CDM ila alitimuliwa cheo cha uafisa habari. Kama ni chama alikimbia mwenyewe so anao uhuru wa kurudi CDM akitaka na wala Dr Slaa hawezi kula matapishi yake kama unavyodai kwa kua hakuwai kutapika
Mtu mwenye mtindio wa ubongo kama wewe unatumia muda mrefu kuwalinganisha askari wa jeshi moja kwa nia za kipumbavu ili watu waamini kuwa askari hao wanashindana wao kwa wao! Wacha ujinga wako, mwendawazimu mkubwa.Mtu mwenye akili hawez kumfananisha Lema na Zitto.Lema bado sana ktk siasa