JWTZ: Msemaji wa Jeshi, Kanali Mgawe atoa kauli kuhusu Jeshi kulinda amani nchini

makubwa kwan wananchi wakiamua kuvuruga amani yao wao watakuwa na uwezo gani wa kuirudisha?
 
Huyo Kanali yaelekea hajui katiba ya Tanzania au ni kada wa CCM. JK anaharibu nchi, anafanya atakalo. Bora Malawi wavamie Tanzania, tulipime jeshi letu la CCM
Mh Lisu alisema JK amateua wanajeshi kuwa wakuu wa Mikoa/Wilaya ambao kwa katiba ya CCM ni makada wao
 
Sikubaliani na mwenendo wa jeshi katika siasa za nchi hii kama vile ambavyo sikubaliani na vurugu wala sio maandamano ya waislamu.
 
Jamani with all due respect, sikubaliani kabisa na maneno ya Kanali Mgawe, kwa sababu zifuatazo:

1. Jeshi kujihusisha na usalama wa raia na mali si jambo jema hata kidogo. Kimsingi ni kuhatarisha usalama wa taifa.
2. Jeshi kutumika kutuliza ghasia/maandamano kuna hatari ya jeshi kutumiwa kisiasa kama polisi wanavyotumiwa.
3. Jeshi kutumiwa kuzima maandamano ya kidini haina tofauti na kuzima maandamano ya kisiasa: Jeshi halina dini wala
siasa, iweje lijue ni nani anakosea kisiasa au kidini?
4. Jeshi kuingia mitaani ni tangazo la serikali kushindwa - kinachofuata ni jeshi kuiondoa serikali hiyo au kinyume chake,
yaani kuilinda serikali hiyo isiondolewe hata kama imeshindwa kihalali.
5. Jeshi kuingia mitaani ni tangazo kuwa jeshi la polisi limeshindwa, ni ama livunjwe tujue au tuambiwe sababu za
kushindwa kwa jeshi la polisi.
6. Vitisho vya Shimbo wakati wa uchaguzi vingebatilisha matokeo ya uchaguzi kama tungekuwa na katiba huru na
mahakama huru. Tambo za Kanali ni dalili kuwa dola jeshi linapanga kufanya hivyo mwaka 2015.

Kwa hali yoyote ile, maneno ya Kanali ni mabaya, hayastahili na nitashangaa kama Ikulu itakuwa imeridhia maneno haya yasemwe. Jamani mahali pa Jeshi la Wananchi ni Kambini na Porini, si mitaani hata kidogo. Jeshi lituombe radhi.

Well said.... focused and reasonably true! upanga utakata kotekote. wenye chuki na waislamu na comments zao za ku-support jeshi kudhibiti maandamano kesho upanga utageuka kukata siasa na sisi CDM tutakuwa wa kwanza. Amini amini ninawambia. tunapashwa kukemea kitendo hiki cha jeshi kuingia mtaani. kwanini wasidhughulikie mafisadi basi na wezi wengine wa rasilimali za nchi zinazoondoka nje kila siku? Hao jeshi wamefungua njia ....na mmewapenda....kesho mtaona madhara yake kwa demokrasia ya nchi hii. mifano tumeiona... Ethiopia! kila unapopita hutakutana na polisi.... every pace you make utaona mwanajeshi na AK47 hata sehemu isiyostahili kulindwa. Kwa nini? wana-protect interests za mabwana wakubwa! Furahieni wanajeshi kuanza kuingia mtaani bila sababu ya msingi.... this is the end of democracy in Tanzania.
 
Duh!.... hii kali. Talent show against unarmed and untrained civilians? Im pretty sure some of your soldiers will now have the audacity to put on their CV's that they have see an action. In my view the army has stooped to a new level and the true military folk, the likes of Kaguta or Kagame can read some clues that our military is not up to the task.

Rule numero uno. Once the military starts confronting its own citizens, its no longer military but militia. And also this has massively undermined the authority and competence of our police force.
 
Msemaji wa Jeshi la Wananchi amekurupuka.Huwezi kuingia mtaani kwa madai kwamba unawaonyesha Wananchi kuwa mpo imara.Kazi ya Usalama wa raia ni Polisi tu...Period! Ipo siku kutatokea muingiliano wa majukumu kwa sababu tu Majeshi inaonekana hajui kazi zao.Mwambieni Kanali Mgawe (Msemaji wa JWTZ) akasome Katiba ya Jamhuri ya Muungano Sheria ya 1984 namba 15 Ibara 49 Kifungu 148(i)
 
hujanielewa siongelei kikatiba hapa naongelea kivita...nchi ishashindikana so ni bora jeshi lichukue nchi...katiba yenyewe ingekua inafuatiliwa tusingekua hapa tulipo

Kivita ? kwani nchi yetu iko vitani? tunapigana vita na nchi gani?
 
MMH isije ikawa tunaingizwa kwenye utawala wa kijeshi haya maneno sio mazuri kanali

Siku zote serikali iliyopo madarakani ikishindwa kazi basi jeshi huwa linaingilia kati. Kwa Tz hii ya sasa tunahitaji utawala wa kijeshi ili nidhamu irudi. Muda wa kubembelezana umeshapitwa na wakati. Bigup JWTZ.
 
Hapo namba 3 :tofauti ni kubwa sana maandamano ya siasa huwa hakuna vurugu kana hayaingiliwi na vyombo vya dola, lakini haya ya dini ya sasa ni tofauti yenyewe yafanya mambo yafuatayo 1. Yanachoma moto makanisa 2. Yanaiba vinanda na maspika makanisani 3.yanataka kukabidhi nchi kwa shetani na majini, bravo jwtz
jamani with all due respect, sikubaliani kabisa na maneno ya kanali mgawe, kwa sababu zifuatazo: 3. Jeshi kutumiwa kuzima maandamano ya kidini haina tofauti na kuzima maandamano ya kisiasa: Jeshi halina dini wala siasa, iweje lijue ni nani anakosea kisiasa au kidini? Kwa hali yoyote ile, maneno ya kanali ni mabaya, hayastahili na nitashangaa kama ikulu itakuwa imeridhia maneno haya yasemwe. Jamani mahali pa jeshi la wananchi ni kambini na porini, si mitaani hata kidogo. Jeshi lituombe radhi.
 
Jamani with all due respects, sikubaliani kabisa na maneno ya Kanali Mgawe, kwa sababu zifuatazo:

1. Jeshi kujihusisha na usalama wa raia na mali si jambo jema hata kidogo. Kimsingi ni kuhatarisha usalama wa taifa.
2. Jeshi kutumika kutuliza ghasia/maandamano kuna hatari ya jeshi kutumiwa kisiasa kama polisi wanavyotumiwa.
3. Jeshi kutumiwa kuzima maandamano ya kidini haina tofauti na kuzima maandamano ya kisiasa: Jeshi halina dini wala
siasa, iweje lijue ni nani anakosea kisiasa au kidini?
4. Jeshi kuingia mitaani ni tangazo la serikali kushindwa - kinachofuata ni jeshi kuiondoa serikali hiyo au kinyume chake,
yaani kuilinda serikali hiyo isiondolewe hata kama imeshindwa kihalali.
5. Jeshi kuingia mitaani ni tangazo kuwa jeshi la polisi limeshindwa, ni ama livunjwe tujue au tuambiwe sababu za
kushindwa kwa jeshi la polisi.
6. Vitisho vya Shimbo wakati wa uchaguzi vingebatilisha matokeo ya uchaguzi kama tungekuwa na katiba huru na
mahakama huru. Tambo za Kanali ni dalili kuwa dola jeshi linapanga kufanya hivyo mwaka 2015.

Kwa hali yoyote ile, maneno ya Kanali ni mabaya, hayastahili na nitashangaa kama Ikulu itakuwa imeridhia maneno haya yasemwe. Jamani mahali pa Jeshi la Wananchi ni Kambini na Porini, si mitaani hata kidogo. Jeshi lituombe radhi.[/QUOT

He he he!eti jeshi likuombe radhi
 
Sio mkwala ndio utaratibu, mkishindwa kujiheshimu kwa demokrasia iliyopitiliza ubabe unafuata JWTZ muasi yeyote ashughulikiwe ila mbona mmechelewa Unguja?
 
MMH isije ikawa tunaingizwa kwenye utawala wa kijeshi haya maneno sio mazuri kanali

Wewe acha uoga Polisi wameonyesha udhaifu wa hali ya juu kulinda amani ya nchi hii KAZI KUDAI RUSHWA TU waache wanaume waingie kazini watu tufanye kazi zetu kwa utulivu waliozoea kuvunja sheria kazi kwao HONGERA JWTZ KUINGIZA TIMU NIDHAMU IMESHUKA SANA MPAKA BODABODA WANAVAMIA KITUO CHA POLISI HII JEURI WANAIPATA WAPI?????!!!!!
 
Jamani with all due respects, sikubaliani kabisa na maneno ya Kanali Mgawe, kwa sababu zifuatazo:

1. Jeshi kujihusisha na usalama wa raia na mali si jambo jema hata kidogo. Kimsingi ni kuhatarisha usalama wa taifa.
2. Jeshi kutumika kutuliza ghasia/maandamano kuna hatari ya jeshi kutumiwa kisiasa kama polisi wanavyotumiwa.
3. Jeshi kutumiwa kuzima maandamano ya kidini haina tofauti na kuzima maandamano ya kisiasa: Jeshi halina dini wala
siasa, iweje lijue ni nani anakosea kisiasa au kidini?
4. Jeshi kuingia mitaani ni tangazo la serikali kushindwa - kinachofuata ni jeshi kuiondoa serikali hiyo au kinyume chake,
yaani kuilinda serikali hiyo isiondolewe hata kama imeshindwa kihalali.
5. Jeshi kuingia mitaani ni tangazo kuwa jeshi la polisi limeshindwa, ni ama livunjwe tujue au tuambiwe sababu za
kushindwa kwa jeshi la polisi.
6. Vitisho vya Shimbo wakati wa uchaguzi vingebatilisha matokeo ya uchaguzi kama tungekuwa na katiba huru na
mahakama huru. Tambo za Kanali ni dalili kuwa dola jeshi linapanga kufanya hivyo mwaka 2015.

Kwa hali yoyote ile, maneno ya Kanali ni mabaya, hayastahili na nitashangaa kama Ikulu itakuwa imeridhia maneno haya yasemwe. Jamani mahali pa Jeshi la Wananchi ni Kambini na Porini, si mitaani hata kidogo. Jeshi lituombe radhi.[/QUOT

He he he!eti jeshi likuombe radhi

Mtakoma wote mliozoea kutoa rushwa na kuvunja sheria Polisi wameshashindwa kazi mpaka wanatishwa na vijana wa bodaboda eti wanavamia kituo cha polisi hii jeuri kawapa nani ngoja waje wanajeshi kama kuna bodaboda atakayeendesha pikipiki bila leseni au helmet
 
Siku zote serikali iliyopo madarakani ikishindwa kazi basi jeshi huwa linaingilia kati. Kwa Tz hii ya sasa tunahitaji utawala wa kijeshi ili nidhamu irudi. Muda wa kubembelezana umeshapitwa na wakati. Bigup JWTZ.

Mimi naona kama wanachelewa maana nchi hii imekuwa haina mwenyewe kila mtu anajua sheria kuliko hata wanaozisimamia zisivunjwe wendawazimu tupu JWTZ MNACHELEWA HATA MABASI YATAZINGATIA SHERIA HAKUNA SIASA HAPO NA RUSHWA ITAKWISHA
 
Well said.... focused and reasonably true! upanga utakata kotekote. wenye chuki na waislamu na comments zao za ku-support jeshi kudhibiti maandamano kesho upanga utageuka kukata siasa na sisi CDM tutakuwa wa kwanza. Amini amini ninawambia. tunapashwa kukemea kitendo hiki cha jeshi kuingia mtaani. kwanini wasidhughulikie mafisadi basi na wezi wengine wa rasilimali za nchi zinazoondoka nje kila siku? Hao jeshi wamefungua njia ....na mmewapenda....kesho mtaona madhara yake kwa demokrasia ya nchi hii. mifano tumeiona... Ethiopia! kila unapopita hutakutana na polisi.... every pace you make utaona mwanajeshi na AK47 hata sehemu isiyostahili kulindwa. Kwa nini? wana-protect interests za mabwana wakubwa! Furahieni wanajeshi kuanza kuingia mtaani bila sababu ya msingi.... this is the end of democracy in Tanzania.
Big up JWT! Serikali na Jeshi lake la polisi wameshindwa, ni muda sasa jwt wajitokeze!
 
kuchekeana kumekwisha,amani tuliyonayo tunaihitaji sana,wanaotumia kigezo cha dini kuhatarisha amani huku pia wakifanya uhalifu na kuchoma makanisa mwisho ndio huo.Kwa nini wananchi washindwe kufanya shughuli zao na kujipatia riziki kwa sababu ya uhuni wa watu wachache?
 
Back
Top Bottom