Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,550
Hii tabia ya Wanasiasa kutumia jeshi kwa mambo ya kisiasa inakera.
Majeshi yaletu yako kwa ajili ya kuhudumia Taifa na rai wake.
Kuna sababu Gani kutumia wapiganaji wa vita katika mambo ya siasa za ndani?
Jeshi la polisi kwanini lisitumike kulinda usalama wa raia na Mali zao kama ilivyo kusudi la kuanzishwa kwake.
Tuelewane kuwa Chadema wametangaza Maandamano ya AMANI. Sasa kitendo Cha kuwaleta wanajeshi katika hekaheka za maandamano inamaanishi kushindwa kwa Polisi kulinda usalama?
Ndugu Chalamila Umezowea kufanyia comedy kwa kilakitu. Sasa umevuka mipaka.
Itafikia wakati jeshi litaonekana kitu Cha kawaida.
Ikifikia ile hatua raia wamezowea migongano na Jeshi la ulinzi, je utatumia jeshi gani panapobidi?
Kama Jeshi litaamua kutumikia CCM. Itafikia wakati Upinzani noa wataona haja ya kuwa na Jeshi lao. Ili ikitokea mazingira ya kupambana na Jeshi la CCM basi Jeshi la Upinzani lihusike.
Tulitarajia kwamba CCM nao waitishe maandamano Yao ya AMANI kuunga mkono muswada na kushinikiza bunge lao lipitishe. Hii ingeamsha ari na shauku ya Kila raia kutaka kuelewa miswada hiyo.
Tunaomba tabia ya kuliweka jeshi letu mbele kwenye mambo yenu ya kisiasa ifike mwisho.
Tambua wapo Watanzania wasio na vyama na hatufurahii kuona heshima ya jeshi letu pendwa ikichezewa na Wanasiasa.
Kama mnaona hamuwezi kurumbana kwa hoja basi acheni siasa njooni shambani tulime.
Majeshi yaletu yako kwa ajili ya kuhudumia Taifa na rai wake.
Kuna sababu Gani kutumia wapiganaji wa vita katika mambo ya siasa za ndani?
Jeshi la polisi kwanini lisitumike kulinda usalama wa raia na Mali zao kama ilivyo kusudi la kuanzishwa kwake.
Tuelewane kuwa Chadema wametangaza Maandamano ya AMANI. Sasa kitendo Cha kuwaleta wanajeshi katika hekaheka za maandamano inamaanishi kushindwa kwa Polisi kulinda usalama?
Ndugu Chalamila Umezowea kufanyia comedy kwa kilakitu. Sasa umevuka mipaka.
Itafikia wakati jeshi litaonekana kitu Cha kawaida.
Ikifikia ile hatua raia wamezowea migongano na Jeshi la ulinzi, je utatumia jeshi gani panapobidi?
Kama Jeshi litaamua kutumikia CCM. Itafikia wakati Upinzani noa wataona haja ya kuwa na Jeshi lao. Ili ikitokea mazingira ya kupambana na Jeshi la CCM basi Jeshi la Upinzani lihusike.
Tulitarajia kwamba CCM nao waitishe maandamano Yao ya AMANI kuunga mkono muswada na kushinikiza bunge lao lipitishe. Hii ingeamsha ari na shauku ya Kila raia kutaka kuelewa miswada hiyo.
Tunaomba tabia ya kuliweka jeshi letu mbele kwenye mambo yenu ya kisiasa ifike mwisho.
Tambua wapo Watanzania wasio na vyama na hatufurahii kuona heshima ya jeshi letu pendwa ikichezewa na Wanasiasa.
Kama mnaona hamuwezi kurumbana kwa hoja basi acheni siasa njooni shambani tulime.