Wa Kwilondo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2007
- 1,081
- 312
Kuna thread ingine Yahya M kaanzisha..next time pitia thread zote kabla hujapost yako ku avoid kurudia post
Mkuu soma thread ya Live on star tv juu ya huo mjadala uandike ujumbe wako utasomwa live!Hivi ukitaka kuchangia huu mjadala unafanyaje wadau nisaidieni.
Nahitaji kuchangia sasa hivi pamoja na kumumliza jusa.
Utayauliza haya maswali ya wadau au mbwembwe 2?
Noted and sorted out...ila tutawaalika JUMAPILI ijayo NCCR maageuziYahya huyo Mmbunge wa NCCR anateka mjadala wa CUF inatosha! Apewe siku yake!