Elimu sio vyeti, 1. Tutaona kama atatokea, 2. Tutampima kwa uwezo wake wa kujenga na kutoa hoja.Hivi wewe na Jussa nani kilaza? wewe hata robo ya elimu ya Jussa huwezi kufikia
Mkuu naunga mkono hoja. maana mijadala mingi huishia kiaina,na kutuacha bado tukiwa na kiu kujadili zaidi. Na topics ni nyingi mno mpaka zinaingiliana, si umeona leo Machali alivyotaka kuchomekea ya NCCR? ilibaki kidogo ateke mjadala. Hii yote inaonyesha jinsi watu walivyo na njaa ya mijadala. Angalia mijadala ya akina Luhanjo,CAG na Jairo, malipo ya DOWANS, RADA, Posho, Kamati ya RICHMOND, kurudisha pesa za EPA na mashitaka kwa waliorudisha, utoroshwaji wa wanyama KIA, Ndege kusafirisha dhahabu direct kutoka machimboni hadi South Africa etc etc etc. yote hii hupotezewa kiaina. Ingawa hawatujali hata tukijadili lakini tunapojadili kwa mapana inatusaidia kuvent hasira zetu.Tanzania umefika wakati wa kufungua TV ya mijadala siku nzima sio vipindi vya masaa 2
hivi cuf ni chama cha zanzibar na waislam tu?mbona huku moshi na arusha hamna chama kama hicho?au wanaogopa wakristo?
bahati mbaya nimeikuta hii kwa kuchelewa lakini cuf kwa sasa ni sawa na NGO ya maalim Seif.cuf imeshakufa hata kama wakijitetea sana haina tena muvuto.pamoja na kwamba wamemtimua hamad lakini watekeleze/wafanyie kazi hoja zake wakijenge upya chama chao
Elimu sio vyeti, 1. Tutaona kama atatokea, 2. Tutampima kwa uwezo wake wa kujenga na kutoa hoja.
Ndugu yangu Yahya, Tafadhali andaeni plan B ya huo mjadala wa jumanne maana hali ya hewa nlivoiona leo Sidhani kama kuna mwakilishi wa CUF atakayetokea kwenye huo mjadala wa jumanne!
kaka warabu huwa ni waoga saaana tofauti na wapemba asilia ambao ni watata kimtindo...
Jussa anatokea oman ndio maana hata ukimwangalia yupo kama wataliban...
Huyu ndio aliwatia nuksi Cuf kule igunga kwa sababu ni mwarabu lakin anataka awe sawa na wapemba wengine... looser
Rostam ninani yule mzungu muafrika tuache mambo ya kibaguzi
Huyo mwarabu koko hawezi kuingia hapa'anajua jf ni magreat thinkers'
Swali la msingi kwa mh doyo: . Tunasikia wewe ni mfuasi na muumini nzuri wa cdm. Jee kufukuzwa kwako ni kukinusuru cuf?
huoni kukimbilia chadema ni kujimaliza kisiasa huku ikiaminika CDM ni Chama cha Moshi na Arusha?
Mkuu hii ndio habari nzima na mwenye macho aisome na kuielewa... CUF kuna mgogoro mkubwa wa kimaslahi usitegemee kiongozi anayegombea maslahi hayo aje hapa kutoa majibu dhidi yake mwenyewe...Watakachofanya ni kujisafisha kama Lowassa..mh yahya,ivi kwa nini Hamad Rashid hakusikilizwa?,ameitwa mhasi,kaitwa mwanaharamu na matusi mengi kutoka kwa makam wa rais mh.seif, je ni sahihi kwa kiongozi wa kitaifa kutamka uchafu kama huo? zaidi ni mkutano wa mh.seif akidai hamad anatumiwa na chadema wakati kwa maneno ya mh.rashid tangu mwanzo hata siku zile bunge la9 anawakosoa cdm je mh seif anadhani anaongea alijualo? je nani ataijenga cuf bara kama hamad kataka kufanya ivo kakalipiwa na kufukuzwa? je cuf ni chama kikuu cha upinzani tena? Jaman ji