Kaka Yahya Asalaam, Machali anatupotezea muda, tunajadili maswala ya CUF na si vingine.
Doyo Hassani, CUF waishakufukuza sasa unaangaika kwenye Media nini unataka kusamehewa?
Nashindwa Kuyauliza Maswali yako Kama ulivyonothreaten kwenye inbox, unatumia insultive language
Tunashukuru wanaJF wote mliochangia mjadala Maswali ambayo sikuyasoma ni kutokana na ufinyu wa mud a ila tutamuomba Jussa wayajibu hapa katika forum.
Asante mkuu,muda ni ukuta....Tunashukuru wanaJF wote mliochangia mjadala Maswali ambayo sikuyasoma ni kutokana na ufinyu wa mud a ila tutamuomba Jussa wayajibu hapa katika forum.
Hahahahaha! Atafungua nyingine kwa jina lake halisi kama Mtatiro!Anatumia ID gani mkuu