wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Not a good time kuwa Mnyasa halafu unafanya kazi serikalini Tanzania
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc
nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu
I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc
nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu
I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
Nafikiri Sasa GT watakuwa wamekuelewa kuhusu huyu mama Joyce Banda na Tanzania Yetu
Janjaweed, tudokeze na liweke wazi hilo tamko la kutaka wakristu wote waondolewe baraza la mitihani? na ni kalitoa na kwa nini wakristu wote? kwani wamefanya kosa gani huko? tujuze zaidi.