Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

unaongea kwa mafumbo humu hakuna wanajimu!
 
ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI


Imenenwa, toa kwanza boriti kwenye jicho lako kabla ya kuhangaika na kibanzi kwenye jicho la mwenzako
 
ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI

Angalia mada inahusu nini, jenga hoja na utoe maelezo kwa mujibu wa hoja. udini hauna uhusiano na kilichoandikwa, kama hauelewi siyo lazima uchangie.
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

JK mimi nimekuelewa, unamaanisha atasababisha serikali yako kuanguka! mbona wananchi tumisha iangusha tunakusubili umalizie mda wako tu?
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

Sawa great sinker
 
Kuwa wazi kama ni ndoa za njisia moja kwa yeye na nchi yake sio tatizo Lakini sio hapa Tanzania
 
Angalia mada inahusu nini, jenga hoja na utoe maelezo kwa mujibu wa hoja. udini hauna uhusiano na kilichoandikwa, kama hauelewi siyo lazima uchangie.

kwani Mada inazungumzia nini au inalenga nini!! ''Is just full of Parables'' kila mtu yuko huru kutafsiri awezavyo.
 
Imenenwa, toa kwanza boriti kwenye jicho lako kabla ya kuhangaika na kibanzi kwenye jicho la mwenzako
you missed the point, udini ni mfano tu wa adui wa ndani kabla hatujakwenda kwa Joyce.... we have too many problems to start looking for Joyce's issues
 
ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI

Kama anaakili amekuelewa mkuu.!
 
you missed the point, udini ni mfano tu wa adui wa ndani kabla hatujakwenda kwa Joyce.... we have too many problems to start looking for Joyce's issues
Tusikimbie sana hoja ya mada. Ni busara kukabiliana na maadui zako wote hasa kwa kutoa kipau mbele kulingana na masilahi ya taifa. Mtoa mada hajafunguka, na nafikiri hii ndo inapelekea kuoneka kama udaku hivi ambao unachochea hasira kwa wachangiaji kuona kwamba hakuna kitu. Mtoa mada asema uhatari wa huyu kwa taifa letu na tusipuuze. Great Thinker ni pamoja na kupokea taarifa na kufanyia utafiti kabla ya kuhukumu/kucomment. SaZaidi ya hapo ni kukurupuka tu. Huyu mtu anaoneka type ya akina Mabutu.
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc
nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu
I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

Duh, hata kama ni uGreat thinker, hii habari haina mashiko...
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

Unadhani atabadilisha mpaka wa Tanzania na Malawi katika Ziwa Nyasa (wao wanaita lake Malawi)? hilo ni suala gumu sana atamaliza muda wake na kuliacha lilivyo kwa hiyo kama unaongelea hilo hakuna uhatari wowote hapo.
 
Tusikimbie sana hoja ya mada. Ni busara kukabiliana na maadui zako wote hasa kwa kutoa kipau mbele kulingana na masilahi ya taifa. Mtoa mada hajafunguka, na nafikiri hii ndo inapelekea kuoneka kama udaku hivi ambao unachochea hasira kwa wachangiaji kuona kwamba hakuna kitu. Mtoa mada asema uhatari wa huyu kwa taifa letu na tusipuuze. Great Thinker ni pamoja na kupokea taarifa na kufanyia utafiti kabla ya kuhukumu/kucomment. SaZaidi ya hapo ni kukurupuka tu. Huyu mtu anaoneka type ya akina Mabutu.
hakuna aliyekimbia hoja ndio maana ikajibiwa..... hata kwenye vita gani, prioritization ni kitu muhimu sana

huwezi kuanza kukurpuka na kupanga vitu kila ukiamka na kucheki adui mwingine kila ukigeuka

mleta mada anaonekana hajui nchi iko kwenye hali gani, priorities ni zipi etc.
 
Back
Top Bottom