Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

Angalia mada inahusu nini, jenga hoja na utoe maelezo kwa mujibu wa hoja. udini hauna uhusiano na kilichoandikwa, kama hauelewi siyo lazima uchangie.
we kiazi kweli aisee................ nimeongelea radar, chenge, richmond lakini ukaona udini tu, mkifeli mnakimbilia kulalama

umbilikimo wa mawazo
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
Nimemkumbuka sana marehemu sheikh Yahya Husein
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

Hebu weka picha ya madame le President JB halafu we can talk bussiness
 
Mimi sijaelewa hoja za huyu jamaa ni nini, maana tunaacha ya kwetu tunavuka mipaka kwa fikra mbaya.
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
Hujaongea chochote hapo, au unataka tuulize!
 
Nadhani mimekuelewa vilivyo mkuu, unamaanisha safari za kwenda Lilongwe zitaongezeka na kusababisha hasara kubwa kwa nchi yetu. ohooo, Si unajua tena jamaaa na vimwana. au? ahaaaaaa!!!!!!
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

MODS ondoeni hii takataka, we unadhani kuna waganga wa kienyeji humu watabiri ulichokua unamaanisha?
 
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

NGOJA NIKUSAIDIE MKUU KUIWEKA HI MADA VIZURI,NIKWAMBA KUNA UGOMVI WA CHINI CHINI KATI YA TZ NA MALAWI CHANZO KIKIWA NI MAFUTA YALIYOPATIKANA KWENYE BONDE LA MTO SONGWE,KALONGA,ITUNGI PORT NA KYELA KWA UJUMLA,SASA KAMA UNAVYOJUA HILI NI ENEO LA MPAKA NA MAFUTA HUKO CHINI YAMETAPAKAA KOTE BILA KUJALI MPAKA HUKU JUU,MWAKA JUZI MALAWI WALIFANYA DRILLING HAPO MPAKANI WAKAGUNDUA KUNA MAFUTA NA WAKAWA TAYARI WAMESHAANZA MIKAKATI YA KUYACHIMBA,BAADA YA WATZ KUPATA INFO ZA KIINTELIJENSIA NAO FASTA MWAKA JANA WAMEPELEKA TAYARI MAKAMPUNI MA2 AMBAYO YATAAANZA UCHIMBAJI SOON ILA KWA UPANDE WA TZ SO TECHNICALLY TUTAKUWA TUNASHARE MAFUTA HUKO CHINI ILA HUKU JUU KILA M2 ATAKUWA ANACHIMBA KWAKE KITU AMBACHO MALAWI HAWAKUKIFURAHIA NA HAWAKIPENDI! MWAKA JANA HUO HUO MALAWI WALIFANYA YAFUATAYO
1.WALINUNUA TOKEA USA SPEED BOAT 4 ZENYE UWEZO WA KUSHAMBULIA NA KUFANYA DORIA(zipo tayari ziwa nyasa)
2.WAMEFUNGA "MILITARY RADAR" (inauwezo wa kudetect hata kundi kubwa la watu watakao kuwa wanatembea ardhini kama askari wa miguu) AMBAYO IMETOKA ISRAEL NA KUFUNGWA NA WAISRAEL JIRANI KABISA NA BODA YA KALONGA,RADA HII IMEFUNGWA KATIKA MILIMA ILIYOPO UPANDE WA KULIA UKISHAINGIA MALAWI KM KAMA 5 HV TOKEA MPAKANI
3.MWISHONI MWA MWAKA JANA WAKATI RADA YA JWTZ ILIYOPO KYELA JIRANI NA ITUNGI PORT IKIWA "OFF AIR"(Rada zote huwa zinakuwa na muda wa maintainance kwa siku,wiki au mwezi kipnd hicho huwa inazimwa) MALAWI WALIPITISHA NDEGE 2 ZA KIVITA (WAKIJUA KUWA RADA YA KYELA HAIPO HEWANI) HAIKUJULIKANA NI AINA GANI ZILIANZIA PWANI YA MBAMBA BAY,ZIKIAMBAA NA ZIWA NYASA ILA UPANDE WA TANZANIA ZIKAJA HADI LITUHI SONGEA ZIKAPITA MANDA ZIKAJA HADI MATEMA BEACH KYELA KABLA YA KUINGIA MALAWI (Ikumbukwe kuwa rada ya jwtz iliyopo songea haioni hadi ziwa nyasa kutokana na milima iliyopo katikati
KINACHO UMIZA KICHWA KWA SASA NI DHAMIRA YA DHATI ALIYONAYO MUSEVENI YA KUTAKA KULIPA KISASI KWA TZ KWA ILE VITA YA 1978,NA KASHAFANYA VITENDO VYA KUPITISHA NDEGE ZIWA VICTORIA MARA 2 UPANDE WA TZ,NA INADAIWA TANGU ZAMANI ANATAFUTA WASHIRIKA ,MTU WA KU TEAM-UP COZ PEKEYAKE HATOWEZA KASHAMPATA KAGAME JE MALAWI NA BURUNDI NI MIONGONI MWAO?,TISS NA JESHI WANAHOFIA SANA HII KITU KWASABABU TAASISIS ZOTE NYETI TAYARI ****** KASHAZIGAWA KISIASA NA KIDINI,JESHI LINA MAOFISA NA MAKAMANDA WASIOLIJUA JESHI VIZURI WENGI WAO WANAINGIA JESHINI BAADA YA KUKOSA AJIRA HUKO MTAANI NA DEGREE ZAO THEN NDAN YA MWAKA M1 WANAKUWA NA NYOTA 2! HATA UWEZO WA KU-MANAGE ASKARI 10 HANA! UTAKUTA NI AFISA WA JESHI! TISS SIO TENA ILE YA ZAMANI ILIYOKUWA INACHUKUA TOP CREAM KTK TAASISI ZETU ZA ELIMU SASAHV WATOTO WA VIGOGO WALIOFELI FORM 4 AU 6 NDIO WAMEJAA HATA CREDIT HAWANA! VIONGOZI NDIO HAO AKINA ****** KILA SIKU UGHAIBUNI KUPIGA PICHA NA WASANII,WAZIRI MKUU MDHAIFU,FISADI ASIYE NA MAAMUZI,MAKAMU WA RAIS HANA JIPYA MZEE WA KUKATA UTEPE KILA KUKICHA!,TISS NDIO HAÓ AKINA RASHID OTHMAN WANASHINDA KUPELELEZA CDM WANADATA GANI NA KUUA YOYOTE ATAKAEKUWA TISHIO KWA MHESHIMIWA,JWTZ KIDOGO AFANDE YUPO NGANGARI ILA ANAANGUSHWA NA MNADHIM MKUU WAKE AMBAYE NI FISADI WA KUKATA MISHAHARA ASKARI,POLISI KAMA MNAVYOJUA YUPO MWEMA MZEE WAKUZUIA MAANDAMANO YA CDM! ASKARI HAWANA UZALENDO WANANYIMWA HAKI ZAO JE TUTATOKA KWELI VITA IKIANZA!!?
CHEKI COMBINESHENI YA KIPINDI KILE CHA AMIN
RAIS MWL NYELELE
JWTZ,GEN MUSUGULI
BRIG GEN, KIARO,WALDEN,MAYUMBA NK
WAZIRI MKUU SOKOINE
MAKAMU WA RAISI KAWAWA,WAZIRI WA ULINZI KINANA,THEN TISS MZEE MVENA UPELE ULIWAKUTA WAKUNAJI AMINI ANGETOKEA WAPI? LEO HII HIYO COMBINATION IPO?
"MUNGU IBARIKI TANZANIA"
 
NGOJA NIKUSAIDIE MKUU KUIWEKA HI MADA VIZURI,

NIKWAMBA KUNA UGOMVI WA CHINI CHINI KATI YA TZ NA MALAWI CHANZO KIKIWA NI MAFUTA YALIYOPATIKANA KWENYE BONDE LA MTO SONGWE,KALONGA,ITUNGI PORT NA KYELA KWA UJUMLA,SASA KAMA UNAVYOJUA HILI NI ENEO LA MPAKA NA MAFUTA HUKO CHINI YAMETAPAKAA KOTE BILA KUJALI MPAKA HUKU JUU,

MWAKA JUZI MALAWI WALIFANYA DRILLING HAPO MPAKANI WAKAGUNDUA KUNA MAFUTA NA WAKAWA TAYARI WAMESHAANZA MIKAKATI YA KUYACHIMBA,BAADA YA WATZ KUPATA INFO ZA KIINTELIJENSIA NAO FASTA MWAKA JANA WAMEPELEKA TAYARI MAKAMPUNI MA2 AMBAYO YATAAANZA UCHIMBAJI SOON ILA KWA UPANDE WA TZ SO TECHNICALLY TUTAKUWA TUNASHARE MAFUTA HUKO CHINI ILA HUKU JUU KILA M2 ATAKUWA ANACHIMBA KWAKE KITU AMBACHO MALAWI HAWAKUKIFURAHIA NA HAWAKIPENDI!

MWAKA JANA HUO HUO MALAWI WALIFANYA YAFUATAYO 1.WALINUNUA TOKEA USA SPEED BOAT 4 ZENYE UWEZO WA KUSHAMBULIA NA KUFANYA DORIA(zipo tayari ziwa nyasa)

2.WAMEFUNGA "MILITARY RADAR" (inauwezo wa kudetect hata kundi kubwa la watu watakao kuwa wanatembea ardhini kama askari wa miguu) AMBAYO IMETOKA ISRAEL NA KUFUNGWA NA WAISRAEL JIRANI KABISA NA BODA YA KALONGA,RADA HII IMEFUNGWA KATIKA MILIMA ILIYOPO UPANDE WA KULIA UKISHAINGIA MALAWI KM KAMA 5 HV TOKEA MPAKANI

3.MWISHONI MWA MWAKA JANA WAKATI RADA YA JWTZ ILIYOPO KYELA JIRANI NA ITUNGI PORT IKIWA "OFF AIR"(Rada zote huwa zinakuwa na muda wa maintainance kwa siku,wiki au mwezi kipnd hicho huwa inazimwa) MALAWI WALIPITISHA NDEGE 2 ZA KIVITA (WAKIJUA KUWA RADA YA KYELA HAIPO HEWANI) HAIKUJULIKANA NI AINA GANI ZILIANZIA PWANI YA MBAMBA BAY,ZIKIAMBAA NA ZIWA NYASA ILA UPANDE WA TANZANIA ZIKAJA HADI LITUHI SONGEA ZIKAPITA MANDA ZIKAJA HADI MATEMA BEACH KYELA KABLA YA KUINGIA MALAWI (Ikumbukwe kuwa rada ya jwtz iliyopo songea haioni hadi ziwa nyasa kutokana na milima iliyopo katikati

KINACHO UMIZA KICHWA KWA SASA NI DHAMIRA YA DHATI ALIYONAYO MUSEVENI YA KUTAKA KULIPA KISASI KWA TZ KWA ILE VITA YA 1978,NA KASHAFANYA VITENDO VYA KUPITISHA NDEGE ZIWA VICTORIA MARA 2 UPANDE WA TZ,NA INADAIWA TANGU ZAMANI ANATAFUTA WASHIRIKA ,MTU WA KU TEAM-UP COZ PEKEYAKE HATOWEZA KASHAMPATA KAGAME JE MALAWI NA BURUNDI NI MIONGONI MWAO?,

TISS NA JESHI WANAHOFIA SANA HII KITU KWASABABU TAASISIS ZOTE NYETI TAYARI ****** KASHAZIGAWA KISIASA NA KIDINI,JESHI LINA MAOFISA NA MAKAMANDA WASIOLIJUA JESHI VIZURI WENGI WAO WANAINGIA JESHINI BAADA YA KUKOSA AJIRA HUKO MTAANI NA DEGREE ZAO THEN NDAN YA MWAKA M1 WANAKUWA NA NYOTA 2! HATA UWEZO WA KU-MANAGE ASKARI 10 HANA! UTAKUTA NI AFISA WA JESHI!

Lakini mbaya zaidi ni kuwa wakati tumeweza kuwadhibiti wa Kenya kwa kila hali na kuamini kuwa adui wetu mkuu ni kwenya lakini ukweli ni kuwa Joyce Banda kuingia si kwamba ataacha yale waliyokuwa wakiyafanya wenzake bali anaendeleza lakini huyu mama amekuwa very bold anavyofanya yake

The bigger problem ni kuwa wamejazana na wanapeana vyeo kila kukicha kwenye sensitive organs za serikali ya Tanzania and no one dares to say anything. Wengine ni top offiers wa civil society groups za Tanzania, na wengine wako not only on print bali hata online media hapa Tanzania.

Activities ziliongezeka tokea enzi za brigadier Gen Ruben Nywenya ambaye zamani alikuwa kwenye jeshi lao kama Director of Military Intelligence, na jamaa wengine kama akina Jamie (james) Kapalamula, Byntony Kuntsaira na wengine. Sasa Mama Joyce amekuwa even more ambitious na mipango yao na hiyo na kuna watu wameitwa warudi Malawi kwa ajili ya debriefs toka Tanzania. Pia watu wengine walienda London wakitokea Malawi under cover kuwa wameenda kwenye mkutano na jamaa wa DFID kujadili mambo ya maendeleo na namna serikali ya UK itakavyoweza kurejesha na kuongeza uhusiano wake na Malawi baada ya departure ya yule predecessor wa mama Joyce. Ukweli ni kuwa wako bize na jamaa wa Wizara ya mambo ya nje ya UK (FCO) lakini 70% ya agenda zao ni ziwa Nyasa resources na cha ajabu kuna baadhi ya blue prints ambazo huwezi kuzipata unless uwe na mtu ndani ya wizara ya madini Tanzania au TPDC kuhusu resources kwenye ule mpaka (oil and Gas). More? well kuwa sasa hata jina la NIB yao imebadilishwa jina ili ifanane kimuundo na kikazi MI6 ya UK sasa ya Malawi inaitwa Secret Intelligence Service(SIS)...! More?well, sasa hivi jamaa wa The SIS wanafanyakazi out of the Office of the President (Mama Joyce Banda) na Cabinet yake. Kimuundo hawana network kuuubwa hii vyo internationally lakini wanayo small but effective international component ambayo inafocus primarily on Tanzania na zaidi kwenye eeconomic espionage na kutaka kujiweka sawa kwenye mambo ya strategic balance na Geo- economic.

Publicly mnaambiwa kuwa Malawi haina pesa na wako taaban lakini ukweli ni kuwa kuna concessions nyingi wameingia na UK ili wapate line of credit lakini pia on they are now working on different scenarios incase tukitofautiana.

Back to bongo mmoja kati ya hao wamalawi waliojikita kwenye moyo wa serikali ya Tanznaia He had been under observation by na jamaa and was caught red-handed akituma sensitive docs na materials kwenda South Africa kwa hao watu wao kabla mzigo haijarejeshwa Malawi. The question iswhy was he never prosecuted? who was protecting him?

Basically jamaa wamo kwenye top positions za state organs na ministries za Tanzania. Basically as I type wana small colony in Magogoni na wapo wengine ndani ya Lithuli na media.
 
In the final analysis wa kulaumiwa ni viongozi wetu. Mwalimu alituachia intelligence nzuri sana lakini waliokuja badala ya kuiendeleza wameibomoa. And worst among them ni huyu so called kiongozi wa sasa. Kama haya yanayosemwa ni kweli wa kulaumiwa si Malawi au Uganda. Ni sisi wenyewe.
 
Imagine mtu kama Mustafa Mkulo, jamaa alishika nafasi ya kuwa waziri kwenye wizara nyeti ya Tanzania na watu walipo question uaraia wake hakuna aiyefuatilia family tree yake wala kujua kama naye alikuwa anazungumza nini na handler wake Tanzania (ambaye ni embeded Malawi agent) ndani ya serikali ya Tanzania.

Media yetu naye imekuwa complicit kwenye hili partly kwa sababu hawa wa Malawi wamejikita ndani ya media yetu lakini pia kwa sababu the likes of Kubenea, Manyerere, Pinto and co hawana investigative journalists

Dont even get me started on Jamii Media.
 
Angalia mada inahusu nini, jenga hoja na utoe maelezo kwa mujibu wa hoja. udini hauna uhusiano na kilichoandikwa, kama hauelewi siyo lazima uchangie.
na wewe uelewa wako una walakini.mtoa mchango ameeleweka.achana na mama wa malawi
 
Imagine mtu kama Mustafa Mkulo, jamaa alishika nafasi ya kuwa waziri kwenye wizara nyeti ya Tanzania na watu walipo question uaraia wake hakuna aiyefuatilia family tree yake wala kujua kama naye alikuwa anazungumza nini na handler wake Tanzania (ambaye ni embeded Malawi agent) ndani ya serikali ya Tanzania.

Media yetu naye imekuwa complicit kwenye hili partly kwa sababu hawa wa Malawi wamejikita ndani ya media yetu lakini pia kwa sababu the likes of Kubenea, Manyerere, Pinto and co hawana investigative journalists

Dont even get me started on Jamii Media.
it seems unajua mengi sana.
 
mh ya Museveni analipiza kisasi kipi wakati alipigana bega kwa bega na majeshi yetu kumtoa nduli idd amin dada?
 
Back
Top Bottom