JK unapotoa rambirambi kwa kanumba 10,000,000/= je wazee wa EAC utwalipa lini mafao yao?

Kwani JK ndiye aliyewaajiri wazee wa EAC?

Hao wazee wanadai toka enzi za Mwinyi akaondoka, akaja Mkapa akaondoka baada ya kuwalipa pesa kiduchu na sasa Jk ambaye bado hajamaliza muda wake. So give him a break...come with something more concrete.
Watanzania tuu washamba sana. Pale inapobidi tupige kelele hatupigi na pale pasipostahili tunapiga. By the way who is f...k Lulu au Kanumba katika maisha ya mtanzania? Nothing!!! They are just f...kng waasherati ambao hawana msaada wowote kwa maisha yetu, Ni nzi kafia kwenye kidonda... thats all! Hebu tujadili na kuwalilia watu wenye maana lakini sio hawa f...ng .... ******
 
kutoa salam za rambi rambi kwa msanii maarufu kanumba sio nongwa lakini swali kama hizo rambi rambi tangu anze kutoa wakati wa utawala wake, je hakijafika kiwango cha kuwalipa wastaafu wa jumuiya ya afrika mashariki kama zingekokotolewa hizo rambi rambi?

Hili sio jukwaa makini nililokuwa naliamini na kulitukuza before,sasa limekuwa ni kijiwe cha wahuni kama wewe sikuwahi kutegemea kuona mada za kipuuzi kama hizi tunamambo chungu nzima ya kuyazungumzia wewe umeona rambirambi jee inakuhusu?hayo ni mambo yake binafsi sawa?
 
Mkuu, vipi Slaa, alikwenda kumzika Maundi?

Slaa sio Rais wa watu waliokufa ni Rais wa watu walio hai.....hakuna haja ya kujipendekeza kwa mtu aliyekufa! kama kama kikwete anavyofanya! kama alishindwa kumsaidia akiwa Hai..kumsaidia akiwa maiti ni uzandiki wa hali ya juu!
hebu fikiria kanumba angekuwa Hai halafu siku moja msafara wake uongozwe na Makamu wa Rais na Ki'ngora..si angejisikia raha sana..sasa keshakufa ndio mnaleta unafiki..shame on u!!!!!!
 
na nyie mnaomwona kanumba hakupaswa kupatiwa hzo fedha kusaidia mazish misiba yenu mtu akichangia pesa nying basi mia pumbaf zenu..wivu tu
 
wanatafuta popularity kwenye misiba ya wasanii, wameshindwa kutatua matatizo ya mfumko wa bei na ukosefu wa ajira kwa vijana. We are in the judgment days
 
Hili sio jukwaa makini nililokuwa naliamini na kulitukuza before,sasa limekuwa ni kijiwe cha wahuni kama wewe sikuwahi kutegemea kuona mada za kipuuzi kama hizi tunamambo chungu nzima ya kuyazungumzia wewe umeona rambirambi jee inakuhusu?hayo ni mambo yake binafsi sawa?

Mkuu, laiti akili zako zingetereza kidogo tu na kuwa sahihi na ukawaza kuhusi marehemu mzee Mahundi aliyezikwa majuzi na ambaye alikuwa na umuhimu mkubwa kiutumishi katika taifa la TZ, na ukatafakari kuhusu ushiriki wa mkuu wa kaya, ukalinganisha na maelezo ya mtoa thread hii na ushiriki wa mkuu wa kaya katika msiba wa Kanumba nina imani lazima ungemwomba samahani mleta mada badala kwa kumbeza.

Hatukatai kutoa rambi rambi na kushiriki katika msiba huu, lakini je Kanumba alikuwa muhimu zaidi katika utumishi wa umma kuliko mzee Mahundi? Tafakari kisha jipe jibu la hekima.
 
Wachezea mzee wa misiba ya celebrities weye? Huyo ndo presidaa wetu watanzania bhana hahaha!
 
Hata yule msanii anaekaa kigogo aliumwa hata kamchango hakupata, mzee kipara hata mwakilishi hakupata!!!.

This country need a treat from ...useless popularity ...decease...
mimi kwa mchango wa wasanii naona mzee kipara ameelimisha Taifa big time kuliko Kanumba...,rais anatoa ujumbe gani kwa vijana...je aina ya maisha aliyofia Kanumba ...ni mfano kwa jam iii kiasi cha kupata attention ya rais ..na serikali nzima ..au mnataka tu kutumia misiba ya watu maarufu kututeka akili tusahau matatizo ya msingi....kiukweli if everything was going good in government .....no body would question hiki..
Ametoa million 10 kwa marehemuuu ambaye hata hivyo hakuwa maskini....lakini kuna msanii marufu kama mzee kipara ....ambaye ndie amewaffundisha kina kanumba ....amekufa ..hakuna aliyemjali...na zaidi kilichomuuwa ni njaaa na uzee....hiyo million 10 ingemsaidia sana......tusitake kusifia huu ujinga..tunatak suluhisho la shida zetuu na sio kufurahisha wafu ..na watu ..

haya hapa tumefiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ambaye kiprotokali na seniority alistahili attention ya serukali ,magazeti na vyombo vya habari angalau vya serukali basi........lakini Kikwete wala wasaidizi hawakwenda kumzika...kuacha wastaafu Mwinyi,warioba ,salim ....mawaziri wa zamani mrema etc....hata shams na Mwema ...wakawa hawapo pale......Salaam za kumuaga zinasomwa na ACP ....WHAT A PROTOCAal mess up?.au kwa ajili Mahundi hakuwa mbana superstar.........
 
Hata yule msanii anaekaa kigogo aliumwa hata kamchango hakupata, mzee kipara hata mwakilishi hakupata!!!.

This country need a treat from ...useless popularity ...decease...
mimi kwa mchango wa wasanii naona mzee kipara ameelimisha Taifa big time kuliko Kanumba...,rais anatoa ujumbe gani kwa vijana...je aina ya maisha aliyofia Kanumba ...ni mfano kwa jam iii kiasi cha kupata attention ya rais ..na serikali nzima ..au mnataka tu kutumia misiba ya watu maarufu kututeka akili tusahau matatizo ya msingi....kiukweli if everything was going good in government .....no body would question hiki..
Ametoa million 10 kwa marehemuuu ambaye hata hivyo hakuwa maskini....lakini kuna msanii marufu kama mzee kipara ....ambaye ndie amewaffundisha kina kanumba ....amekufa ..hakuna aliyemjali...na zaidi kilichomuuwa ni njaaa na uzee....hiyo million 10 ingemsaidia sana......tusitake kusifia huu ujinga..tunatak suluhisho la shida zetuu na sio kufurahisha wafu ..na watu ..

haya hapa tumefiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ambaye kiprotokali na seniority alistahili attention ya serukali ,magazeti na vyombo vya habari angalau vya serukali basi........lakini Kikwete wala wasaidizi hawakwenda kumzika...kuacha wastaafu Mwinyi,warioba ,salim ....mawaziri wa zamani mrema etc....hata shams na Mwema ...wakawa hawapo pale......Salaam za kumuaga zinasomwa na ACP ....WHAT A PROTOCAal mess up?.au kwa ajili Mahundi hakuwa mbana superstar.........
 
Kikwete halipi Macao, serikali Ndo inalipa, Kama ni hivyo na Zile hela unazohonga Mabinti kwa niñi Usitoe kwa zahanati?


kutoa salam za rambi rambi kwa msanii maarufu kanumba sio nongwa lakini swali kama hizo rambi rambi tangu anze kutoa wakati wa utawala wake, je hakijafika kiwango cha kuwalipa wastaafu wa jumuiya ya afrika mashariki kama zingekokotolewa hizo rambi rambi?
 
Mkuu, vipi Slaa, alikwenda kumzika Maundi?

slaa sio Amiri Jeshi Mkuu Wa Majeshi Ya ulinzi na usalama.......dhima gani ya kuwa pale???

akienda anakuwa kama viongozi wengine wa siasa tu ..kama wa Wa vyama vinginee......lakini ngoma inayohusu wakuu wa hivi vyombo walio active kwenye huduma na wastaafu..ni nyeti kuliko unavyodhani.....kwa rais au wanaomfuatia kufika ni wajibu na sio ombi....na kama hayupo nchini anayemfuatia lazima awepo....sio mambo ya sanaa sanaa kijana.....hapa tunaongelea utaratibu wa nchi.
 
Masharti ya Mafreemason lazima yatekelezwe. Jk kawakilisha wenzake vema.
Ten Million is not a joke!
Wamekufa viongozi mashuhuri sijapata kusikia hicho kiwango kinatolewa.
Has Mahundi earned 10m?
Will Kiyaro earn 10?
I hope no! no! no!

This only happens to Freemasons
 
Hili sio jukwaa makini nililokuwa naliamini na kulitukuza before,sasa limekuwa ni kijiwe cha wahuni kama wewe sikuwahi kutegemea kuona mada za kipuuzi kama hizi tunamambo chungu nzima ya kuyazungumzia wewe umeona rambirambi jee inakuhusu?hayo ni mambo yake binafsi sawa?

we matumizi mabaya ya kodi zetu unaona ni safi? Au unafikiri hatuna uchungu nazo? Tunakatwa kwenye mishahara,tunalipia kwenye ununuaji wa vitu aafu nyie mnaenda kutoa kwenye msiba wa yule ****? Pumbaf, usanii wake umetusaidia nn sie tusiopenda ujinga wanaoufanya wa kushindwa kufikirisha kichwa? Tuwe sirias na maendeleo ya watu,tusisubiri msiba utokee ndo tuende kuwalisha wali. Unadhani kungekuwa na a very good working health system angekufa. Na mtakufa wote kwa cardiac arrest! Mlaaniwe nyie na viongozi wenu wasiowathamini wananchi badala yake mnasubiri misiba ndo muende kuonekana.
 
This country need a treat from ...useless popularity ...decease...
mimi kwa mchango wa wasanii naona mzee kipara ameelimisha Taifa big time kuliko Kanumba...,rais anatoa ujumbe gani kwa vijana...je aina ya maisha aliyofia Kanumba ...ni mfano kwa jam iii kiasi cha kupata attention ya rais ..na serikali nzima ..au mnataka tu kutumia misiba ya watu maarufu kututeka akili tusahau matatizo ya msingi....kiukweli if everything was going good in government .....no body would question hiki..
Ametoa million 10 kwa marehemuuu ambaye hata hivyo hakuwa maskini....lakini kuna msanii marufu kama mzee kipara ....ambaye ndie amewaffundisha kina kanumba ....amekufa ..hakuna aliyemjali...na zaidi kilichomuuwa ni njaaa na uzee....hiyo million 10 ingemsaidia sana......tusitake kusifia huu ujinga..tunatak suluhisho la shida zetuu na sio kufurahisha wafu ..na watu ..

haya hapa tumefiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ambaye kiprotokali na seniority alistahili attention ya serukali ,magazeti na vyombo vya habari angalau vya serukali basi........lakini Kikwete wala wasaidizi hawakwenda kumzika...kuacha wastaafu Mwinyi,warioba ,salim ....mawaziri wa zamani mrema etc....hata shams na Mwema ...wakawa hawapo pale......Salaam za kumuaga zinasomwa na ACP ....WHAT A PROTOCAal mess up?.au kwa ajili Mahundi hakuwa mbana superstar.........

Mkuu umechana vizuri sana, ahsante!

Tanzania tumekuwa watu malimbukeni sana na watu wa hisia sana!

Subiri kukuche tuone hzo pilika pilika za kumzika Mtakatifu Kanumba lol

On serious note: Nimeguswa na kifo cha Kanumba ila kama nchi nmechefuliwa na msiba huu ulivyopokelewa na kusimamiwa, chumvi nyingi mno kuliko hali halisi
 
Naona CCM inachukua umaarufu kapitia msiba wa kanumba. Serikali yote imekwenda msibani, lakini kwenye mgomo wa ma-doctor na mafuriko ya kilosa hawakuona umuhimu kama huo. Ama kweli kufa kufaana. R.I.P steven Kanumba.
 
Back
Top Bottom