Wale wazee walishalipwa kitambo. tatizo lao hawakuridhika na pesa walizolipwa. Matokeo yake kila wakisikia njaa wanadai serikali hela. Offcourse watanzania wengi wako hivyo. Dili lolote na serikali iwe kupisha upanuzi wa barabara au ujenzi wa shule hata siku moja hawaridhiki na kiasi wanachopewa na uendelea kulalamika tu, wakidai serikali iliwapunja.hivi wale wazee kosa lao nini mpaka sasa hawajalipwa? dhambi gani walitenda mpaka RITZ anawabeza?