JK: Ni Marufuku kipengele cha Dini kwenye Sensa

kafiri siyo tusi waislamu siyo watu wenye kutoa matusi, wala maneno ya kumfanya mtu akose amani, waislamu ni watu wenye kujiheshimu, kazi kwenu msiojiheshimu.
 
Kama hizo dondoo zako ni sahihi basi hizo sababu zinajitosheleza.Tusubiri tuone mwisho wa hii movie kwani la kuvinda halina ubani.
 
Mkuu acha masihara

Hebu ongesea hiyo maneno rafiki yangu hapa hataki sikia hiyo maneno nasemekana Ponda nahebiwa
 
Kiongozi wa nchi ni mnafiki na ndiye aliyeibeba agenda ya udini,sasa anatapatapa na haisaidii.
 
Mi sijaelewa lengo lenu ni nini hasa,je ni mnataka mpewe vyeo vya upendeleo serikalini endapo mtabainika ni weng kuliko wakristo hata kama hamkusoma?au lengo lenu ni kuishinikiza serikali iwape ruzuku hata kama hamna jambo llt la maendeleo mnaloliendesha au lengo lenu ni kuleta udini kwenye taifa la Tanzamia,Au mnataka kuleta fujo?
sharia itawale tz.tz ijiunge ns OIC.
 
Halafu hiyo 1% ya huko Mtwara inachaguliwa na 99% kushika uongozi.
Kuna na nafasi ambazo ni za kuteuliwa hizi hapana shaka yoyote zinaenda kwa Wakristo (soma madai ya Edwin Mtei kuhusu tume ya Katiba), zile za kuchaguliwa nazo mazingira yanaandaliwa kimakusudi ili wapitishwe na kuchaguliwa Wakristo ndio maana sasa tuna mameya, makatibu kata, wabunge, makatibu tarafa Wakristo katika sehemu za Waislamu, lakini kwa Muislamu kutoka sehemu za Waislamu kwenda kugombea Umeya au Ubunge wachilia mbali kuteuliwa kwenda sehemu za Wakristo kama vile Peramiho sahau!
 
Kama tovuti ya wakatoliki imetoa hizo takwimu,pengine waulizwe wamezipataje ili na waislam nao wafanye hivyo.

waislamu hawana shida ya wakatoliki kutoa idadi yao kwa kuwa inawezekana wamehesabiana makanisani lakini kutoa na idadi ya waislamu hiyo sensa waliifanya lini au kuna makarani wao misikitini ? kama sio kutiana vidole vya macho kwa makusudi kumbe ni nini ?
embu soma hii link halafu uniambie kama kuna sababu ya serikali kutowachukulia hatua kali kwa kutoa taarifa za uongo.

TZCHURCHl

Islam: Tanzania is one of the few countries in Africa where there both Christians 44% and Moslems 34% are almost equally strong. The Arabs introduced Islam in East Africa in the 13th century. Islam established itself on the islands, on the coast and along the trade routes. The first encounter of Christianity with Islam, on the east African coast in the 15th century, was hostile. For the Portuguese it was a crusade and for the Moslem Arabs a Jihad. The second encounter in the 19th century was also hostile for a different reason. The missionaries had joined forces with the European powers to fight slave trade that was carried out by the Arabs. In the early colonial period, the Moslems being the only literate people in the country were used everywhere as sub-officers. This helped to spread Islam. Since the Christian missionaries insisted very much on education soon the Christians surpassed the Moslems in civil service.
 
kun watu wanaojua kuwa wakristo ni wakatoliki tu basi

Ili taifa limefikia hatua mbaya sana kimaisha mpaka kifikra,hv mambo ya kujua kua dini fulani ina waumini kadhaha na nyingine kadhaha ina tija gani katika maendeleo ya taifa?mbegu ya ushabiki wa udini ni mbaya sana na itakuja kuligharimu sana taifa kama watu wataachwa waendelee kushabikia na kuchochea tofauti za imani zetu!na u.j.i.n.g.a huu umeanzishwa na viongozi wetu hasa wa siasa bila kutafakari madhara ya ufinyu wa tafakari zao!nina amini hata Mungu hapendi huu u.p.u.u.z.i huu tunaojaribu kuujenga,bila shaka huu utakua una msukumo wa kishetani zaidi!nioi tija ya muslim vs christian hasa catholic?
 
nimeenda huko mtaani , nikaja na hii, ikafutwa

  1. Kwa nini kipengele cha sensa kiliondolewa?
Inasadikika kuwa sensa ya mwisho kufanyika wakati wa ukoloni Tanzania ilikuwa na Waislamu asilimia kama 60, Tukisema kuwa serikali ilikiondoa kipengele hiki kwa sababu maalumu ikiwemo kuwa na nafasi ya kuendeleza na kusadikisha takwimu za uongo ili kushamirisha Mfumo Kristo (MK) Tanzania tunakosea?




  1. Kwa nini taasisi mbalimbali za serikali na binafsi zimekua zikitoa takwimu za watu na dini zao?
Mfano 0fisi ya waziri mkuu inadai wakristo ni 45%-waislamu 35%. TBC1, imetangaza wakristo ni 52%-waislamu 32%.Bodi ya watalii -Christianity and Islam are the predominant religions of Tanzania. About 40-45% of the population practice Christianity, about 35-40% practice Islam.,Tovuti kikatoliki (RCNet) waislamu 34%- na wakristo ni 44%
Na hapa kuna hoja mbili,
a) kwa nini takwimu zinatofautiana? na b)kwa nini pamoja na kutofautiana zote zinaonesha wakristo ni wengi kuliko waislamu?
Kwa kawaida jambo la uongo lazima hukwama, takwimu zinatofautiana kwa sababu ni za uongo, Zote zinaonesha wakristo ni wengi kwa sababu za kukidhi matakwa ya MK.
Mkurugenzi wa TBC alipoulizwa kuhusu takwimu katoa wapi aliishia kuomba radhi, kakosea, swali ni je kakosea nini? Amekuwa akikosea mambo mangapi ya kitaifa kwa ujumla wake kama lilivyo hili? Huu ndio MK
3.Kwa nini kiwepo kipengele cha kuhesabiwa kwa nyumba za ibada?
Waislamu wakisema kuwa kuhesabiwa kwa nyumba za ibada pekee kunaweza kutumiwa na wapotoshoshaji wa Umma kupitia MK, kuwa Wkristo ni wengi kwani siku hizi kuna utitiri wa madhehebu kikristo na makanisa binafsi hata kama yana waumini wachache achilia mbali uyoga wa makanisa yanojiita ya wokovu? Kwa nini nyumba za ibada na sio na wanaoabudu humo?, Serikali inataka kugawa misala misikitini na mabench kanisani?
Waislamu wa leo ni tofauti na wa enzi hizo, wanajua wanachokifanya na hili la sensa ni moja na mengine yatakuja,hatuhitaji kumtafuta kiongozi wala Sheikn Ponda kwa hili, elimu tulishapata , macho yalishafumbuliwa na Tunaelewa athari za mfumo Kristo katika jamii

  1. Tulisadikishwa kuwa waislam hawakusoma, kumbe data zinaonesha NECTA inawapunguza
  2. Tukasadikishwa kwamba hawajengi Mashule na Hospitali ila wanajenga misikiti, kumbe wenzetu wanajenga kupitia fedha wanazopewa na serikali hii hii kupitia MoU
  3. Tukasadikishwa kuwa nchi hii haina dini , kumbe serikali yetu ina mfumo Kristo ambao haukuandikwa popote lakini unafanya kazi zake kwa siri na waziwazi
TUMEKATAA KWENDA KWA MATAKWA YA MK, NARUDIA WAISLAMU HATUHESABIWI.

Watanzania Wote wanashauku ya kujua idadi kamili ya waumini wa kiislam/Kikristo, Lakini ni wakristo hawataki idadi hiyo ijulikane katika sensa bali ipikwe pikwe tu. Shauku ya kutaka kujua idadi ya waumini inathibitishwa katika taarifa zao tofauti ikiwemo pamoja na hii niliyoiquote.

Makubwa, kweli wenzetu wamefundishwa kupika pika taarifa, kumbe hata hicho kipengele kingekuwepo wangekipika tu. Hilo sio la kushangaza kwani tokea nchi ikabidhiwe kwa Nyerere, ajenda kubwa ilikuwa ni kuichristinise Tanzania, jambo ambalo limeshindikana.
 
sensa ya 2011 kule uk waliweka kipengele cha dini lakini tanzania Hawataki kuweka kutokana na CCM (CATHOLIC MOVEMENT CHURCH) kukataa .swala la kujiuliza why not us?
angalia sample ya uk census 2011 hapo chini.View attachment 62898
Angalia msingi ya hiyo nchi. Kwa uingereza sijui lakini nchi kama ujerumani serikali yake mpaka inakusanya kodi ya kanisa(kirchensteur) ili kuliwezesha kanisa kufanya kazi zake. Sasa hao wakiweka kipengele cha dini tutawaelewa.
 
Udini utakimaliza kizazi hasa kijacho. hapatatawalika, chama chochote hakitaweza kutawala, tusipige kelele kwa jazba, hii ni hatari sana maana kamwe Tanzania haitaweza kuwa nchi ya dini moja, tutachapana bakola sana, hakuna atakaeshinda na hivyo tutakuwa na vita ya kudumu na tutaandika historia ya kidunia kwamba nchi iliyokuwa ikijisifia kwa amani, sasa ni machafuko matupu.

Hili si la Mh. Kikwete, si la Slaa, Si la Lipumba pekee, na si la waislam tu na wakristo, bali ni la hata wapagani. vita hii itashangiliwa na hata mataifa mengine, huenda hata kusaidia makundi ya kivita nchini. Huenda waislam wakasaidiwa na waislam wengine duniani, na wakristo vivyo hivyo, huku wanaowasaidia wakifanya biashara yao ya kuuza siraha na kujibebea kilichomo nchini.

Nachelea kusema hivi maana naona watu kadhaa wanalichukulia uzito wa kawaida na kulifanya ktk mtindo wa ku-score political status. Ugopeni chama chochote au mtu yeyote anaejinadi au kuwatuma watu wamnadi kupitia miskiti na makanisa.Hivi tumefikia hatua ya kukaa na kuiambia jamii eti fulani mwanadini mwenzetu kavumbua teknolojia fulani? inasaidia nini? hivi tukijuana kwa idadi ya kidini, inatusaidia nini? Ebu someni huyu mwenzetu Lema hapa chini anasemaje,asibezwe kichama maana hili si la chama tena.

Waraka wa wazi wa Godbless Lema kwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Mh Rais , nakusalimu . Mh Rais na huu ni ushauri
wangu kwako kama Mkuu
wa Nchi na mtazamo wangu
juu ya matukio yanayotokana
na changamoto katika Sensa
ya Taifa hivyo nakunifanya nikuandikie waraka huu.
Mh Rais , Kama Taifa hili kwa
miezi michache mbele
inayokuja Siasa za Udini ,
Ukabila na ukanda utaendelea
kushabikiwa katika kiwango hiki cha sasa , ukweli ni
kwamba siku chache
zinazokuja Taifa hili
litaanguka na halitasimama
tena , Propaganda
zilizofanyika huko nyuma dhidi ya vyama vya upinzani
mbali mbali zilifikiriwa kuwa
lengo lake lilikuwa ni
kuviangamiza vyama hivyo tu
na huku Watawala wakibaki
salama, lakini leo tunaanza kuona lugha za Udini
zikitawala katika Taifa letu
kila siku na ule mpango wa
kuangamiza Vyama hivyo
umekwenda mbali zaidi na
sasa unakaribia kuangamiza Taifa.
Mh Rais Nchi hii haiko salama
hata kidogo na pengine
wahusika wanaopaswa
kulinda usalama wa Nchi
wanakupa ripoti za hofu na woga na hivyo unashindwa
kupata taarifa kamili ya
ukweli wa mambo
yanavyoendelea katika Taifa
letu, ukitazama suala la Sensa
na changamoto zake kwa sasa utagundua kwamba sio
faida hata kidogo
kulazimisha jambo hili kwa
kutumia nguvu kwani sio
sahihi hata kidogo kujua tu
idadi ya watu bila kuzingatia hofu ya watu hao na
mashaka ambayo
yamejengeka katika Imani .
Mh Rais , Siasa chafu ambazo
zimekuwa zikitafuta
Madaraka bila kuangalia siku njema za baadae za Nchi ndio
chanzo cha kinachotokea
sasa , tulipokuwa Igunga
Chadema ilifanyiwa
propaganda za Udini sana na
kwa bahati mbaya waliofanya hivyo walishinda
uchaguzi na huku Watu wale
waliofanya hivyo waliamini
na kufikiri Siasa hizo za
kibaguzi zitaishia Igunga tu
na bila kutambua Dini ni Imani na lazima kutaendelea
kuwepo na mpasuko
mkubwa hata baada ya
Uchaguzi .
Mh Rais , Uhuru wa kweli sio
Mtu kufanya kila anachotaka bali kile anachopaswa tena
katika haki na kweli “ Kama
lengo la Watawala kubaki
madarakani au kuongoza
litafanywa kwa nguvu na
namna yoyote hile hata kwa kuwagawa Watu kwa dini
zao na kabila , basi siku
chache zinazokuja Taifa letu
halitaweza kutawalika tena
na Mamlaka hayo
yanayotafutwa hayataweza kuwa na faida kwa kizazi
hiki na kizazi kinacho kuja na
ukweli ni kwamba kwani kila
aina ya ubaguzi wa aina
yeyote unaofanyika ama kwa
siri au hadharani hautaacha Jamii yetu kuwa salama .
Mh Rais , Chama tawala siku
zote wajibu wake katika
kujibu hoja za wapinzani
ipasavyo ni kutekeleza ahadi
zake ambazo walizitoa wakati wa uchaguzi na huu
ni wajibu mkuu katika
kutawala kwa Chama
tawala , lakini Chama
kilichoko madarakani
kinapoanza kuwagawa watu kwa dini na kabila ili mradi
kifanikishe malengo ya
kutawala basi ni lazima
tutambue kuwa Viongozi wa
Chama hicho wamekusudia
kabisa kuipeleka Nchi yetu katika vita vya wenyewe
kwa wenyewe.
Mh Rais , siku hizi katika
forum mbali mbali
zinazojadili mambo ya Siasa
katika mitandao ya kompyuta hapa Tanzania ,
kumekuwepo na maoni mbali
mbali na mitazamo haswa
wakati wowote ule
unapofanya uteuzi au
kuchagua mtendaji katika Serikali , Mara nyingi , ghafla
utaanza kuona watu
wananza kuuliza Kabila au
Dini ya mtu aliyeteuliwa au
kupendekezwa, hii ni hatari
kubwa kuwa na Taifa ambalo sifa ya Mtu ya kwanza kwa
wachambuzi na wadadisi
inajadiliwa kwa Dini au
Kabila ya Mtu fulani , kwani
hatuwezi kuongozwa kwa
mlinganisho wa Kabila au Dini ili kupata utawala bora .
Tabia hii wakati mwingine
inapelekea kutafuta viongozi
mbali mbali kutoka kila
pembe ya Nchi ili kupata
mlinganisho wa Ukanda na Kimkoa na hivyo kusababisha
kuishia kupata viongozi
pengine Viongozi wasiokuwa
na uwezo kwa sababu ya
kutafuta mlinganisho katika
kupanga safu ya uongozi na utawala . Na kwa kweli huu
nao ni ubaguzi uliojificha
unaoendelea katika Taifa letu.
Utawala thabiti mahali
popote , Utazingatia , Uwezo ,
Sifa , Maarifa ,Uadilifu na Hekima ili Mtu kuchaguliwa
kuongoza . Dini na kabila lake
sio jambo muhimu hata
kidogo katika uongozi, hivi
ikitokea katika uchaguzi Dini
moja tu na kabila moja ndio likahusika katika uchaguzi
wakati wa mchakato wa
kutafuta viongozi , je Serikali
itaahairisha Uchaguzi kwa
sababu watu wengine wa
Dini na Kabila nyingine hawakuona umuhimu wa
kushiriki Uchaguzi ? ni swali
ambalo linaweza kuonekana
halina msingi lakini kwa
wanaona mbali watajua ni
nini namaanisha ? hata hivyo tunakoelekea sasa
tusipokuwa makini , tutanza
kupokezana Madaraka na
Utawala kwa kuangilia Udini
na sio Uwezo na Uadilifu na
tukifika hapo Taifa hili halitasimama tena .
Mh Rais ni wajibu wako sasa
kusaidia Taifa hili kwa
Mamlaka uliyonayo ni Imani
yangu hata wewe
umekwishaona hili na ni matumaini yangu kuwa
unalifanyia kazi . Mfano wa
wazi ni pale Katibu Mkuu wa
CCM Bwana Mkama , alipotaka
kuleta Siasa za Kibaguzi
katika Msiba wa Marehemu Bob Makani pale Karimjee
wakati akitoa salamu za
rambi rambi ambapo wewe
mwenyewe ulikuwepo kama
Kiongozi Mkuu wa Taifa na
ulishuhudia upotoshaji wake huo ambao ulionekana kama
lengo ilikuwa kuidhoofisha
Chadema huku hakisahau
kuwa dhambi ya ubaguzi
aina mipaka.
Mh Rais , Martin Niemoller , alisema maneno yafuatayo
yalipomkuta “ When Hitler
attacked the Jews I was not a
Jew, therefore I was not
concerned. And when Hitler
attacked the Catholics, I was not a Catholic, and therefore, I
was not concerned. And
when Hitler attacked the
unions and the industrialists, I
was not a member of the
unions and I was not concerned. Then Hitler
attacked me and the
Protestant church -- and there
was nobody left to be
concerned”
Mh Rais , Tatizo ni kubwa na ni vyema likashughulikiwa
kwa nguvu zote sasa na kwa
hekima , hata hivyo nafikiri
waraka huu hautakukwaza
kwani ni ukweli wangu juu
ya hali halisi inayoendelea kujitokeza katika Nchi yetu
na Mimi nikasema nisikae
kimya ni bora niseme , Taifa
linakwenda mahali pabaya
kama dhambi ya ubaguzi
isipodhibitiwa . Nakutakia Kazi Njema .
“ Only Time Will Tell “
Godbless Jonathan Lema
26/8/2012
 
Hivi Uk umefika ukaona tofauti ya wa-Uk na sisi? au unasoma tu vijalida? Mbona unapenda kuangalizia kila kitu. Angalia usije kopi sumu maana si majibu yote ya kuibia ni sahihi na usipende sana kuangalizia.Tafuta mambo ya msingi ya kuiga, hili sasa unalitaka lina manufaa gani? ebu tudokeze pande gani ya uk wameendelea kutokana na takwimu za kidini.
 
sipati picha jk angekuwa mkristo ni tani ngapi za mabomu ya machozi yangetumika ijumaa ijayo. Naomba mungu raisi ajaye awe muislamu ili wakose ajenda...
unashabikia kifo na kaburi la ukristo. Haijatokea nchi hii ikaongozwa na mkristo pekee yake lakini mfumo uliopo waislamu watano wanaongoza nchi bial kuingiliwa na wakristo. 1. Jmk, 2. G.b,3. M.s, 4. I.s na 5. Maalim seif . Sasa kuwaongezea 10 years tena si tayari tutakuwa tumesilimishwa hapa tanzania? Tumia kiona mbali . Once upon atime nyerere alisema hatashangaa kuona nchi hii inaongozwa na waislamu mfululizo , nafikiri alitaka kuwaamusha wakristo juu upungufu alioanza kuuona katika hila za watu kuanza kuongoza nchi kwa udini. Tatizo kuna watu wanafikiri jambo hil;o haliwezekana wabongo tuamke tuache usingizi kokoro linaendela kuwasomba wakristo kuelekea pwani
 
watanzania wote wanashauku ya kujua idadi kamili ya waumini wa kiislam/kikristo, lakini ni wakristo hawataki idadi hiyo ijulikane katika sensa bali ipikwe pikwe tu. Shauku ya kutaka kujua idadi ya waumini inathibitishwa katika taarifa zao tofauti ikiwemo pamoja na hii niliyoiquote.

Makubwa, kweli wenzetu wamefundishwa kupika pika taarifa, kumbe hata hicho kipengele kingekuwepo wangekipika tu. Hilo sio la kushangaza kwani tokea nchi ikabidhiwe kwa nyerere, ajenda kubwa ilikuwa ni kuichristinise tanzania, jambo ambalo limeshindikana.
by this kind of approach moslems must be incited. these kind of motives had conspiracy agenda to make them incited and react violently and irritatively
 
nilichofanya ni kukuza tu hii picha,

attachment.php
nasisi tukiweka picha za maaskofu wananyonyana ndimi baada ya kufunga ndoa ya jinsia mmoja huko uk utajiskiaje?,kuwa mstaarabu dada.
 
wewe ng'ombe hujasoma comment yangu?
mimi nilichofanya ni kukuza tu hiyo picha ilipostiwa na mwanajamvi mmoja!

na kuna lipi baya kwenye hiyo picha mpaka utoe maneno ya ajabu?
hapo si wamekaa wanasubiri msos tu?

usitumie makalio kufikiri wewe pukutu!

nasisi tukiweka picha za maaskofu wananyonyana ndimi baada ya kufunga ndoa ya jinsia mmoja huko uk utajiskiaje?,kuwa mstaarabu dada.
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na familia yake pia Makamu wa Rais Dr. Bilala na familia yake wameshiriki kikamilifu katika zoezi la kitaifa la sensa ya maendeleo ya watu na makazi na kuwataka watanzania kuendelea kudumisha mshikamano uliopo bila ya ubaguzi wa dini wala kabila.


video kwa hisani ya ITV TANZANIA youtube
 
Last edited by a moderator:
Amsterdam, mimi kinachoniboa zaidi ni ufinyu wakufikiri kwetu ktk hili. Kama ni kweli nia yetu ni kujua idadi ya waislam, kwanini tusikubali kuhesabiwa. Serikali ikimaliza na matokeo kutangazwa ndipo nasisi tutafute pesa na kwenda kufanya sensa ya waislam ili kujua waislam ni asilimia ngapi ya watanzania wote? Na hii itakuwa rahisi kwani tunafanya sensa yetu kupitia miskiti tu huku tukitaka kufahamu ni waislamu wangapi wanaosali katika kila msikiti na wanao watiti wangapi. Kwani ni lazima tuilazimishe serikali kufanya yale tunayoyataka sisi? Hivi, mahitaji ya huduma za kijamii (elimu, afya, ulinzi n.k) yanatofautiana kati ya muislam na mkristo? Hii dini kwakweli inawadhalirisha wasomi wake kwani inaonekana hawafanyi kazi zao kisawasawa ndani ya kundi la mambumbumbu walio wengi. Kweli waislam wakitanzania tuliosoma ni the odd ones and we need to go out of this group.

simple and clear serikali ingechapa karatasi moja ya ziada yenye kipengere cha kuhoji dini na kuambatanishwa na dodoso karatasi ingebanwa kwa stepler
 
Back
Top Bottom