R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
sipati picha kama vitabu vya dini ya kikristo vingekuwa vinasema kuwa waislamu ni makafiri!
vinasema ni washenzi
sipati picha kama vitabu vya dini ya kikristo vingekuwa vinasema kuwa waislamu ni makafiri!
waarabu waliwapa maendeleo ya kuwauza utumwani
Kafiri sio tusi ni jina la asie kuwa Muislam i.e mkristo,mbudha,myahudi mpagani kwa pamoja wanaitwa makafiri kama vile embe,pera,chungwa kwa pamoja ni matunda!
.
Hadi kufikia mwaka wa 1960 Kanisa likawa taasisi kubwa inayomiliki mamilioni ya dola ya misaada inayopokelewa kutoka wahisani na wafadhili walioko katika ulimwengu wa Kikristo. Kanisa sasa hivi linahodhi mahospitali, misururu ya ndege binafsi, viwanja vya ndege, makampuni ya uchapaji na mitambo ya kupiga chapa, stesheni za radio, tv na magazeti.
Wakati ule mgongano kati ya Kanisa na serikali haukupata kusikika hata kidogo. Baada ya uhuru kupatikana tu na serikali ikawa mikononi mwa wananchi, Kanisa likaanza kusikika likisema kuwa lina haki na wajibu kuwa na ushawishi ndani ya serikali, kuikosoa serikali na kuingooza pale inapoona serikali haifanyi mambo sawa kwa matarajio yake.
vinasema ni washenzi
kun watu wanaojua kuwa wakristo ni wakatoliki tu basi
Ntwara,Lindi,Kigoma,Tanga,Pwani,...halafu angalia sehemu zote walizopita waarabu....watu wako duni duni duni si tu kimaisha hadi uwezo wa kufikiri
hii makala bila shaka iliandikwa mwishoni mwa miaka ya 70. Mleta mada kajaribu bila mafanikio kuhariri baadhi ya namba. Hata hivo kama mwandishi angekuwepo leo angeandika tofauti sana kama edition ya pili ya makala hii. Leo hii waislamu nasi tumeelimika, na tunashika nafasi lukuki serikalini. Tunamiliki vituo vya tv na redio, magazeti na wavuti nyingi za habari. Asimia kubwa ya makampuni makubwa Tanzania sasa yanamilikiwa na waislamu, na bila shaka zaid ya nusu ya uchumi wa nchi unategemea makampuni yetu. Sioni tena sababu ya sisi kulalamika ovyo.
Just imagine! Songoro kasema eti kafiri siyo tusi. hata neno washenzi siyo tusi kwa wakristo. ha ha ha ha.... wenzetu hao bana ni wachokozi....
kweli kafiri ni kafiri, yaani kafiri ni sawa protestant = mpingaji. acheni ujinga wenu makafiri!!
kun watu wanaojua kuwa wakristo ni wakatoliki tu basi
Unajikomoa mwenyewe humkomoi mtumimi mkristo lakin nimeamua kutokuhesabiwa sababu sioni faida ya sensa kwa nchi hiii....over
Kama tovuti ya wakatoliki imetoa hizo takwimu,pengine waulizwe wamezipataje ili na waislam nao wafanye hivyo.
kwani dini ni kigezo cha kuwa kiongozi wa nchi? Halafu hiyo 1% ya huko Mtwara inachaguliwa na 99% kushika uongozi.Waislamu tunataka nchi yetu na heshimaaaa.....
Mfano; Mtwara 99% ni waislamu, kwa nn viongoz wote ni Wakristu?????!!!!!!!!