Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Source Habari Leo na Jambo leo
Akiwa mjini Mbeya rais J. Kikwete kasema kuwa ni MARUFUKU kuweka kipengere cha dini kwenye hesabu ya sensa na makazi itakayo anza mwezi ujao na kusisitiza kuwa dhamila ya serikali ni kujua idadi ya watu wake sio idadi ya waumini wa Tanzania na kuainisha kuwa vitu vya msingi ni;
Kujua idadi ya watu kwa maendeleo ya mipango ya serikali tu hakuna cha ziada.
Concern
LIWALO NA LIWE
Akiwa mjini Mbeya rais J. Kikwete kasema kuwa ni MARUFUKU kuweka kipengere cha dini kwenye hesabu ya sensa na makazi itakayo anza mwezi ujao na kusisitiza kuwa dhamila ya serikali ni kujua idadi ya watu wake sio idadi ya waumini wa Tanzania na kuainisha kuwa vitu vya msingi ni;
Kujua idadi ya watu kwa maendeleo ya mipango ya serikali tu hakuna cha ziada.
Concern
LIWALO NA LIWE