Ngalaiyoki
Member
- Aug 31, 2010
- 24
- 1
JK ampe jimbo la Bagamoyo hapa mwanza si pake tena:israel:
Nafunga Novena kwa ajili ya Huyu Kikwete ndo hapo anendelea kugundua kweli IQW yake ni ndogo sana
Ni kanuni ipi ya uchaguzi inayoruhusu mgombea mmoja wa urais kufuatilia matokeo ya wabunge kwa njia hii!!! ikiwa mgombea huyo alikuwa rais katika awamu iliyopita ya uchaguzi????