hakuna lolote wadau, hii ni danganya toto tu, huwez kumtibu kumfundisha mbinu mpya mbwa mzee, alishachelewa, awaache watu wafanye kazi kwa mazoea kama kawaida.. labda ajiuzulu na slaa achukue nchi ndo tutakuwa busy na kaz kwa kuwa tutakuwa tunamsapot rais wetu kipenz ktk ujenzi wa taifa lakin co mkwere