Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Sasa mkwere atafahamika kama Dr. Dr. Jakaya Kikwete. Mungu ampe nini mkwere wa watu!!
Hivi JK ana Masters Degree kweli?
sasa ataitwa Dr dr (Hon.) Jakaya Mrisho kikwete
Sasa mkwere atafahamika kama Dr. Dr. Jakaya Kikwete. Mungu ampe nini mkwere wa watu!!
Ikiitwa hivyo hicho kitakuwa chuo cha kwanza Tanzania kuwa na jina la Rais wa Tanzania ambaye hakuwa anajua kwanini nchi yake ni maskini. Hivyo kitakuwa ni chuo kinachotoa wahitimu ambao ni mbumbumbu.
habari za kuaminika kutoka kwa insiders chuo kikuu cha Dodoma kiko mbioni kuitwa Chuo Kikuu cha Dr. Dr. Jakaya kikwete (i.e. Dr. Dr. (Hon.) Jakaya Kikwete University (JKU))! Mnasemaje wana Jamii forums Mkulu anastahili hiyo hesima?
Naomba anayejua zaidi maana ya kukata utepe atueleze. Ninavyofahamu mimi kukata utepe huwa ni ishara ya uzinduzi rasmi, sanasana wa majengo. Na kawaida huwa unafanyika kwa kutokea nje, kama vile wahusika ndo wanaingia humo jengoni kwa mara ya kwanza (they are only symbols that carry their meaning anyways). Sasa hawa wanaokata utepe kuelekea nje wanataka kutupa ishara gani?