jaman hv hz degree tunapeana 2!kama pipi au ndo uchakachuaji wa elimu.Ila tusaidiane kidogo kaka mkubwa afanya nn cha mno kwenye elimu?shule za kata mmh hana vitabu walimu wakutosha maabara na vingine kifupi tabu tupu!
jaman hv hz degree tunapeana 2!kama pipi au ndo uchakachuaji wa elimu.Ila tusaidiane kidogo kaka mkubwa kafanya nn cha mno kwenye elimu?shule za kata mmh hamna vitabu, walimu wakutosha maabara na vingine kifupi tabu tupu!
Soma wasifu wa uongozi wake na mambo aliyoyafanya ndiyo wamempa kwa ajili hiyo. Hawa ni wana taaluma hawakumpa ovyo ovyo tu mkuu
Videgree vya kishenzi. Unampa mtu kama Kikwete degree ya heshima kwa sababu ipi? Unawezaje kusubiri mpaka mtu amekufa eti ndio unamtunuku degree ya heshima? upuuzi tu. kwa hiyo kwa suala la Kawawa tunafuta jina la marehemu/hayati na tunaweka Dr badala yake? upuuzi mtupu.Leo, katika mahafali ya kwanza ya chuo kikuu cha Dodoma, hayati Kawawa pamoja na Kikwete wametunukiwa degree ya udaktari wa heshima.
Source. Live kutoka Chimwaga.