Habari kuwa hana uhusiano na Dowans kaona mdogo wake RA nazo ni source yake ni radio mbao ukweli ukipatikana sijui ataficha uso wake au atacheka cheka tu kama kawaida yake na wasimamizi wa kimataifa wa uchaguzi walisema kuna wizi wa kura pia alicheka cheka tu alipokabidhiwa report akijua source yake ni radio mbao.... hey Can't you behave yourself...........!!
Habari ambazo hazitoki kwenye radio mbao ni za Takukuru na Tume yake ya Uchaguzi (kirav) na tume zake zisizoisha bila kumsahau Mtoto wa mkulima anayepeleka habari za radio mbao bungeni bila kuuliza wapinzani kama zipo sawa akiwaambia wafanyakazi wa rali kuwa mkataba na wahindi ushavunjwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.