Burkinabe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,892
- 3,196
Asalaam Aleykum wana jamvi.
Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.
Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.
Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.
Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!
Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.
Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.
Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.
Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!
Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!
Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).
Naomba kuwasilisha.
Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.
Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.
Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.
Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!
Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.
Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.
Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.
Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!
Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!
Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).
Naomba kuwasilisha.