Tatizo la umeme pekee linaweza kuiangusha serikali hii

Uzima Tele

JF-Expert Member
Jan 20, 2023
1,101
2,345
CHADEMA kuweni wepesi wa kunusa na kujua ishu rahisi ambazo ni kero kwa wananchi na mzitumie ipasavyo ku - instigate hasira kwa wananchi ili waichukie na waingushe serikali hii haramu kupitia maandamano yanayoendelea nchi nzima..

Umeme kwa sasa ndiyo kero namba moja kubwa Kwa sasa inayomwathiri kila mwananchi awe wa mjini au wa kijijini..

Hii pekee mkiibeba kwenye maandamano haya yanayoendelea na kulihusuanisha na ugumu wa maisha, kupanda sukari na bidhaa zingine muhimu linaweza kuiangusha serikali hii kesho asubuhi tu..!!

Tatizo la umeme limeshaumiza na linaendelea kuumiza uchumi wa watu wote..

Umeme uliopo hautoshi na hivyo kutolewa kwa mgawo. Hata huo wa mgawo bado ni wa kuwaka na kukatika hovyo hovyo..

Kwa kifupi ni kuwa nchi hii kwa sasa ni kama haina nishati ya umeme kabisa. Iko gizani kwa takribani mwaka sasa!!

Serikali hii kwa sasa ni wazi kuwa haifanyi chochote.
Hakuna mkakati wa pamoja serikalini kuondoa shida na kero si kesho wala kesho kutwa..!

Ushahidi wa hili ni kauli za viongozi wa serikali moja zinazokinzana utadhani ni viongozi wa serikali mbili au tatu tofauti..

Rais Samia Suluhu Hassan yuko kimya. Anakula bata tu na kuendelea kuvimba mashavu akipewa taarifa za uongo. Hajui kabisa kilichopo field. Hajui kabisa kuwa wananchi waajiri wake wanataabika..

Na nchi yetu Kwa sasa ni kama haina Rais kabisa. Kila mtu huko CCM ni Rais kwa sasa..!!

Tunawashauri kuwa tatizo la umeme ndilo liwe ujumbe mkuu kwenye maandamano yanayoendelea na lina uhusiano wa moja kwa moja na ugumu wa maisha ya watu na kupanda Kwa bidhaa muhimu..

John Heche anaweza kulielezea vizuri sana hili. Hayo mengine ya Katiba mpya na miswaada mibovu ya sheria za uchaguzi yatajibiwa na hili hili la umeme..!!

Ujumbe mkuu wa maandamano kwenye mabango uwe "TUNATAKA UMEME HARAKA" au "RAIS SAMIA ONDOKA, UMESHINDWA KUONGOZA NCHI.."
 
Dogo, ukiona chama cha upinzani Afrika kinaandamana na Polisi wanatoa ulinzi wa maandamano, Naibu Waziri Mkuu anapishana nao huku akiwapungia mkono na kutabasamu na Rais wa Nchi anaendelea na ziara zake ughaibuni bila wasiwasi tena huku akihimiza waandamanaji walindwe, basi ujue haya maandamano hayana tofauti na maandamano ya kuhimiza tohara kwa akina baba! 🤣🤣🤣🤣
 
Dogo, ukiona chama cha upinzani Afrika kinaandamana na Polisi wanatoa ulinzi wa maandamano, Naibu Waziri Mkuu anapishana nao huku akiwapungia mkono na kutabasamu na Rais wa Nchi anaendelea na ziara zake ughaibuni bila wasiwasi tena huku akihimiza waandamanaji walindwe, basi ujue haya maandamano hayana tofauti na maandamano ya kuhimiza tohara kwa akina baba!
Kweli mtoto wa shule kanyonye.mwisho wa siku ukileta mada yako mama yako anaumwa au shida zako baki shuleni ukichapwa viboko
 
CHADEMA kuweni wepesi wa kunusa na kujua ishu rahisi ambazo ni kero kwa wananchi na mzitumie ipasavyo ku - instigate hasira kwa wananchi ili waichukie na waingushe serikali hii haramu kupitia maandamano yanayoendelea nchi nzima..

Umeme kwa sasa ndiyo kero namba moja kubwa Kwa sasa inayomwathiri kila mwananchi awe wa mjini au wa kijijini..

Hii pekee mkiibeba kwenye maandamano haya yanayoendelea na kulihusuanisha na ugumu wa maisha, kupanda sukari na bidhaa zingine muhimu linaweza kuiangusha serikali hii kesho asubuhi tu..!!

Tatizo la umeme limeshaumiza na linaendelea kuumiza uchumi wa watu wote..

Umeme uliopo hautoshi na hivyo kutolewa kwa mgawo. Hata huo wa mgawo bado ni wa kuwaka na kukatika hovyo hovyo..

Kwa kifupi ni kuwa nchi hii kwa sasa ni kama haina nishati ya umeme kabisa. Iko gizani kwa takribani mwaka sasa!!

Serikali hii kwa sasa ni wazi kuwa haifanyi chochote.
Hakuna mkakati wa pamoja serikalini kuondoa shida na kero si kesho wala kesho kutwa..!

Ushahidi wa hili ni kauli za viongozi wa serikali moja zinazokinzana utadhani ni viongozi wa serikali mbili au tatu tofauti..

Rais Samia Suluhu Hassan yuko kimya. Anakula bata tu na kuendelea kuvimba mashavu akipewa taarifa za uongo. Hajui kabisa kilichopo field. Hajui kabisa kuwa wananchi waajiri wake wanataabika..

Na nchi yetu Kwa sasa ni kama haina Rais kabisa. Kila mtu huko CCM ni Rais kwa sasa..!!

Tunawashauri kuwa tatizo la umeme ndilo liwe ujumbe mkuu kwenye maandamano yanayoendelea na lina uhusiano wa moja kwa moja na ugumu wa maisha ya watu na kupanda Kwa bidhaa muhimu..

John Heche anaweza kulielezea vizuri sana hili. Hayo mengine ya Katiba mpya na miswaada mibovu ya sheria za uchaguzi yatajibiwa na hili hili la umeme..!!

Ujumbe mkuu wa maandamano kwenye mabango uwe "TUNATAKA UMEME HARAKA" au "RAIS SAMIA ONDOKA, UMESHINDWA KUONGOZA NCHI.."
labda Serikali kivuli ya upizani poyoyo ambayo haipo, lakini sio hii ya kuchaguliwa kidemokrasia na wananchi kwa manufaa wananchi na maslahi mapana ya Watanzania wote 🐒
 
Kweli mtoto wa shule kanyonye.mwisho wa siku ukileta mada yako mama yako anaumwa au shida zako baki shuleni ukichapwa viboko
Hoja yangu ni fikirishi. Kama HUNA uwezo wa kufikiri utaishia kuandika ulichoandika na hata wazazi wako na watoto wako watakusamehe maana ndio uwezo wako ulipoishia! Ahahahahaha
 
Hii ni muvi inachezwa mara mtasikia tanesco kapewa rostam au wajomba wa dp world.
TANESCO ni Fupa Gumu lililomshinda Fisi, hawa mabwana kuna mwamba mmoja TU ndio aliwawezea walikua hawakati umeme hawa walijua tu wakikata mwamba huyu hapa kaja na maswali ukishindwa kujibu fimbo hadharani unaumbuliwa mbele ya hadhara sasa hivi wanachezea koki tu kadri wanavyotaka wao alafu wanajibu wanavyojisikia wao alafu hakuna wa kuwafanya kitu yaan kiufupi wame-relax
 
Kwa kweli Zanzibar tujitenge tu ili tupate fursa kujenga mtambo wa nguvu za nyuklia wa umeme
Nyinyi machogo mnatujazia nzi na umeme wenu wa vibaba wakati tunakimbizana na Blue Economy
 
CHADEMA kuweni wepesi wa kunusa na kujua ishu rahisi ambazo ni kero kwa wananchi na mzitumie ipasavyo ku - instigate hasira kwa wananchi ili waichukie na waingushe serikali hii haramu kupitia maandamano yanayoendelea nchi nzima..

Umeme kwa sasa ndiyo kero namba moja kubwa Kwa sasa inayomwathiri kila mwananchi awe wa mjini au wa kijijini..

Hii pekee mkiibeba kwenye maandamano haya yanayoendelea na kulihusuanisha na ugumu wa maisha, kupanda sukari na bidhaa zingine muhimu linaweza kuiangusha serikali hii kesho asubuhi tu..!!

Tatizo la umeme limeshaumiza na linaendelea kuumiza uchumi wa watu wote..

Umeme uliopo hautoshi na hivyo kutolewa kwa mgawo. Hata huo wa mgawo bado ni wa kuwaka na kukatika hovyo hovyo..

Kwa kifupi ni kuwa nchi hii kwa sasa ni kama haina nishati ya umeme kabisa. Iko gizani kwa takribani mwaka sasa!!

Serikali hii kwa sasa ni wazi kuwa haifanyi chochote.
Hakuna mkakati wa pamoja serikalini kuondoa shida na kero si kesho wala kesho kutwa..!

Ushahidi wa hili ni kauli za viongozi wa serikali moja zinazokinzana utadhani ni viongozi wa serikali mbili au tatu tofauti..

Rais Samia Suluhu Hassan yuko kimya. Anakula bata tu na kuendelea kuvimba mashavu akipewa taarifa za uongo. Hajui kabisa kilichopo field. Hajui kabisa kuwa wananchi waajiri wake wanataabika..

Na nchi yetu Kwa sasa ni kama haina Rais kabisa. Kila mtu huko CCM ni Rais kwa sasa..!!

Tunawashauri kuwa tatizo la umeme ndilo liwe ujumbe mkuu kwenye maandamano yanayoendelea na lina uhusiano wa moja kwa moja na ugumu wa maisha ya watu na kupanda Kwa bidhaa muhimu..

John Heche anaweza kulielezea vizuri sana hili. Hayo mengine ya Katiba mpya na miswaada mibovu ya sheria za uchaguzi yatajibiwa na hili hili la umeme..!!

Ujumbe mkuu wa maandamano kwenye mabango uwe "TUNATAKA UMEME HARAKA" au "RAIS SAMIA ONDOKA, UMESHINDWA KUONGOZA NCHI.."
Kabisa tumechoka sasa!
 
Chadema hawapo kwa ajili ya wananchi mkuu, hawa wanalenga zaidi maslahi yao hasa ya uchaguzi na hii ndio agenda yao kubwa hizo zingine ni vikorombwezo tu. Angalau Mwabukusi angeweza eleweka na wananchi naona na yeye keshajichanganya huko kwa chadema. Tuwe wa kweli ni ngumu mno mtu mzalendo kuiunga mkono chadema sababu ni vigeugeu.

Chadema ya 2015 hadi 2021 ni tofauti kabisa na hii ya leo. Hii ya leo inataka kufanana na ile ya kuanzia 2015 kurudi nyuma ambayo ndio wananchi wengi waliipenda, sasa wamechelewa maana tabia zao halisi tulizijua enzi ya utawala wa JPM yaani walikuwa hawajui wanamtetea nani kati ya mtanzania na mwekezaji.
 
CHADEMA kuweni wepesi wa kunusa na kujua ishu rahisi ambazo ni kero kwa wananchi na mzitumie ipasavyo ku - instigate hasira kwa wananchi ili waichukie na waingushe serikali hii haramu kupitia maandamano yanayoendelea nchi nzima..

Umeme kwa sasa ndiyo kero namba moja kubwa Kwa sasa inayomwathiri kila mwananchi awe wa mjini au wa kijijini..

Hii pekee mkiibeba kwenye maandamano haya yanayoendelea na kulihusuanisha na ugumu wa maisha, kupanda sukari na bidhaa zingine muhimu linaweza kuiangusha serikali hii kesho asubuhi tu..!!

Tatizo la umeme limeshaumiza na linaendelea kuumiza uchumi wa watu wote..

Umeme uliopo hautoshi na hivyo kutolewa kwa mgawo. Hata huo wa mgawo bado ni wa kuwaka na kukatika hovyo hovyo..

Kwa kifupi ni kuwa nchi hii kwa sasa ni kama haina nishati ya umeme kabisa. Iko gizani kwa takribani mwaka sasa!!

Serikali hii kwa sasa ni wazi kuwa haifanyi chochote.
Hakuna mkakati wa pamoja serikalini kuondoa shida na kero si kesho wala kesho kutwa..!

Ushahidi wa hili ni kauli za viongozi wa serikali moja zinazokinzana utadhani ni viongozi wa serikali mbili au tatu tofauti..

Rais Samia Suluhu Hassan yuko kimya. Anakula bata tu na kuendelea kuvimba mashavu akipewa taarifa za uongo. Hajui kabisa kilichopo field. Hajui kabisa kuwa wananchi waajiri wake wanataabika..

Na nchi yetu Kwa sasa ni kama haina Rais kabisa. Kila mtu huko CCM ni Rais kwa sasa..!!

Tunawashauri kuwa tatizo la umeme ndilo liwe ujumbe mkuu kwenye maandamano yanayoendelea na lina uhusiano wa moja kwa moja na ugumu wa maisha ya watu na kupanda Kwa bidhaa muhimu..

John Heche anaweza kulielezea vizuri sana hili. Hayo mengine ya Katiba mpya na miswaada mibovu ya sheria za uchaguzi yatajibiwa na hili hili la umeme..!!

Ujumbe mkuu wa maandamano kwenye mabango uwe "TUNATAKA UMEME HARAKA" au "RAIS SAMIA ONDOKA, UMESHINDWA KUONGOZA NCHI.."
Cdm wao wanapigania democracy ili warndelee kula na wao
 
TANESCO ni Fupa Gumu lililomshinda Fisi, hawa mabwana kuna mwamba mmoja TU ndio aliwawezea walikua hawakati umeme hawa walijua tu wakikata mwamba huyu hapa kaja na maswali ukishindwa kujibu fimbo hadharani unaumbuliwa mbele ya hadhara sasa hivi wanachezea koki tu kadri wanavyotaka wao alafu wanajibu wanavyojisikia wao alafu hakuna wa kuwafanya kitu yaan kiufupi wame-relax
Ubovu ulianza kipindi chake huyo unamuita mwamba. Huu ni mwendelezo tu. Na usitudanganye kuwa eti umeme ulikuwa haukatiki kipindi chake
 
Back
Top Bottom