LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Hivi anafuata nini huko tena jamani!?? arghh i'm gonna be sick! kwa nini asitulie nyumbani??
Hivi anafuata nini huko tena jamani!?? arghh i'm gonna be sick! kwa nini asitulie nyumbani??
Yaani nashindwa hata kujijibu mwenyewe. Mimi kama mdada, au mwanamke, ningekuwa Rais, nisingekubali kejeli kama hizo hapo, licha ya yote niende kwenye hiyo nchi. Rais wetu kusema kweli anatia aibu
atatulia lini jamani?!
Atakuwa na Mazungumzo ya Kikazi na Waziri Mkuu wa Uingereza
Mwambie alegeze masharti atupe msaada tupo hoi sana
Kwa kweli inakera sana sasa! Yaani kucha kulala yeye safari hazimuishi hata safari ambaya waziri angeweza kwenda yeye anakwenda. Mara utasikia Mh. Rais aenda Denmark kujifunza jinsi Wanavyosindika maziwa!!! Kitu kama hiki kinatija kweli? Kama si ufujaji ni nini? Tena unaambia gharama anazotumia raisi kwa safari moja kama hiyo unaweza kujenga vyumba saba vya madarasa ya shule ya msingi huu je si ufujaji? Inasiktisha sana kibaya zaidi anadai anakwenda kutafuta wawekezaji!!!!?
Hebu tuangalie mifano ya wawekazaji waliopo ambao Mh Rais hujinasibu kwamba anachangia Kuwaongeza anapokwenda nje:
1. Muarabu wa Loliondo alimilikishwa Loliondo kwa miaka 90.....Matokeo yake badala ya taifa kunufaika yeye anawinda pamoja na kupeleka wanyama Uarabuni!!! Akili zako changanya na zakeee!
Mbaya zaidi waarabu wanaharibu vijana wetu. Kwa umasikini wa Watanzania (kwa kuibwa rasilimali zao) wanakubali kurubuniwa na wamekuwa Ubwabwa. Dangerous life
JK AELEKEA UINGEREZA LEO KWA ZIARA YA KIKAZI
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Bwana Said Meck Sadick muda mfupi kabla ya kuondoka nchini leo asubuhi kuelekea Uingereza kwa ziara ya kikazi.(picha na Freddy Maro).