calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 273
Jk alipokwenda Marekani, UAE, Oman na UK aliwaambia wana diaspora kuwa yeye anavyojua kuwa wao ni watanzania wamekuja kutafuta riski kama wanigeria, Pakistan, Israel na kwingine. Muhim nu kuwa kwa walioamua kuwa raia wa nchi hizo wajitahidi kuinvest nyumbani na kuwa raia wema huko walikobaki.
Jana pinda kaamua kuwapa wa Tanzania waliopo China msimamo mwingine kabisaa
sasa mshauri wa wa Pinda kuhusu mambo ya diaspora kwa nini ana mislead Pinda? sijawahi kusikia au kuona mtanzania ambaye amejilipua na kuchukua uraia wa China. Wazungu ndio wako ok na mambo hayo.
Kuna ubaya gani kukawa na coordination ya hizi policies kabla hawa watu hawajaongea?
soma hapa:
MICHUZI BLOG: WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI CHINA: AWAONYA WATANZANIA "WASIJILIPUE"
Jana pinda kaamua kuwapa wa Tanzania waliopo China msimamo mwingine kabisaa
sasa mshauri wa wa Pinda kuhusu mambo ya diaspora kwa nini ana mislead Pinda? sijawahi kusikia au kuona mtanzania ambaye amejilipua na kuchukua uraia wa China. Wazungu ndio wako ok na mambo hayo.
Kuna ubaya gani kukawa na coordination ya hizi policies kabla hawa watu hawajaongea?
soma hapa:
MICHUZI BLOG: WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI CHINA: AWAONYA WATANZANIA "WASIJILIPUE"