Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Mawazo kama haya ni sehemu ya udhaifu wa jamii yetu, hasa vijana wa leo. Hamwamini katika mawazo ya kujitegemea. Hamuwezi kutoa mawazo yenu kwa uhuru hadi muone fulani amesemaje. Bahati mbaya ni kwamba mnafikiri kila moja hapa anawakilisha mawazo ya mtu fulani-this is what we call the- 'we suscepct in others what we feel in ourselves'- attitude. Kijana sio kila mtu yupo kama wewe. Kama wewe huwezi kusimama kwa mawazo yako mwenyewe ni wewe; wengine tuna uhuru wa kuandika tunachokiamini bila kujali kama kitamuudhi au kumfurahisha nani. Jikomboe, uwe na fikra huru-usijiegeshe kwenye mawazo na fikra za mtu/watu wengine-ni hatari kwa afya ya akili yako. Be warned!
asante