Mada kama hizi huelekezwa kwenye vile vyama vyenye ule wito mtakatifu wa ukombozi.
"Ikiwapendeza waheshimiwa, waungwana kabisa:"
Falsafa ya chama ni jambo la msingi zaidi katika chama chochote. Falsafa hutoa utambulisho halisi wa chama. Ikaweza kutofautisha baina ya vyama. Ikazaa imani za chama.
"Ya kuwa chama kinasimamia nini? Kwanini hii ni CHADEMA siyo CCM. Kwanini hii ni CUF siyo ACT? Tofauti haiwezi kuwa majina. Inapaswa kuwa wazi ili wafuasi wakajua kamili kama walipo ni sahihi."
Watazipigania vipi kwa moyo wao wote, sera au agenda za chama kama falsafa ya chama haijulikani?
Falsafa za vyama zitaweka wazi misimamo ya vyama kuhusu mambo yote yakiwamo yaliyo tata na ikaondoa mikanganyiko isiyokuwa na tija.
"Kwa mfano, nini misimamo ya chama kuhusu Katiba Mpya, vita vya Ukraine, HAMAS, Gaza, Palestina, nk?"
Misimamo rasmi ya chama ni "binding." Mfuasi hawezi kuwa na msimamo tofauti na wa chama huku akijinasibu hadharani kuongea kwa niaba ya chama.
Tunapiga hatua, mdogo mdogo tutafika tu:
I. Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama
II. Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima
"Ikiwapendeza waheshimiwa, waungwana kabisa:"
Falsafa ya chama ni jambo la msingi zaidi katika chama chochote. Falsafa hutoa utambulisho halisi wa chama. Ikaweza kutofautisha baina ya vyama. Ikazaa imani za chama.
"Ya kuwa chama kinasimamia nini? Kwanini hii ni CHADEMA siyo CCM. Kwanini hii ni CUF siyo ACT? Tofauti haiwezi kuwa majina. Inapaswa kuwa wazi ili wafuasi wakajua kamili kama walipo ni sahihi."
Watazipigania vipi kwa moyo wao wote, sera au agenda za chama kama falsafa ya chama haijulikani?
Falsafa za vyama zitaweka wazi misimamo ya vyama kuhusu mambo yote yakiwamo yaliyo tata na ikaondoa mikanganyiko isiyokuwa na tija.
"Kwa mfano, nini misimamo ya chama kuhusu Katiba Mpya, vita vya Ukraine, HAMAS, Gaza, Palestina, nk?"
Misimamo rasmi ya chama ni "binding." Mfuasi hawezi kuwa na msimamo tofauti na wa chama huku akijinasibu hadharani kuongea kwa niaba ya chama.
Tunapiga hatua, mdogo mdogo tutafika tu:
I. Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama
II. Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima