kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
duh!!! nadhani weengi mliosoma hii hamjaelewa mh lema......lema anasoma sana filisofia za ukombozi!!!
huyu jamaa ni hatari sanaaaaaa..... mbaya zaidi ni mwanafalsafa...........hadi leo hii watu wanapambana kuelewa Yesu alikuwa anamaananisha nini kila alipokuwa akiongea.....
hii barua si ya kusoma juu juu....kimsingi lema amezungumzia mambo kadhaa kama vile...
1. chama kama nccr si chama makini kupewa dola.....kinapaswa kujitafakari juu ya uwepo wake....
2. kafulila anapaswa kutafakari nafasi yake ndani ya chama......
3. kafulila kama kijana yeyote anapaswa kuwa mwerevu na kujua chess za siasa, na kufahamu adui yake anafikiria nini......
4. nidhamu katika vyama ni msingi kwa ajili ya kujenga taifa lenye nidhamu, ikiwemo CCM na Chadema......
tuendelee....
huyu jamaa ni hatari sanaaaaaa..... mbaya zaidi ni mwanafalsafa...........hadi leo hii watu wanapambana kuelewa Yesu alikuwa anamaananisha nini kila alipokuwa akiongea.....
hii barua si ya kusoma juu juu....kimsingi lema amezungumzia mambo kadhaa kama vile...
1. chama kama nccr si chama makini kupewa dola.....kinapaswa kujitafakari juu ya uwepo wake....
2. kafulila anapaswa kutafakari nafasi yake ndani ya chama......
3. kafulila kama kijana yeyote anapaswa kuwa mwerevu na kujua chess za siasa, na kufahamu adui yake anafikiria nini......
4. nidhamu katika vyama ni msingi kwa ajili ya kujenga taifa lenye nidhamu, ikiwemo CCM na Chadema......
tuendelee....