Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Ku maintain status hakikisha upende kununua vitu quality, usijaze vitu vingi halafu vibovu... Basics za muhimu sebuleni kwa kijana wa kisasa ni Carpet, Sofa seats, TV & Deck, Pazia, Coffee table, Theatre system (si lazima but ni muhimu kwa entertainment) na Meza kwa ajili ya TV.
Hakikisha unaponunua/andaa vitu vi blend; blend in the sense kua unapokua/nunua vitu hivyo vya electronics hakikisha vinaendana rangi Vizuri, then unaangalia rangi ya ukuta wa hio sebule, unanunua pazia quality nzuri na rangi zilizopoa na za kiume kama coffee, beige, grey (kwa ufupi colours dark - usidhubutu sujui pink, yellow n.k). Mara nyingi coffe table nzuri za kisasa ni zile za kioo zenye stool zake, na hizi siku hizi zimeshuka sana bei sana i believe ukijipanga u can afford - miguu ya coffee table rangi ifanane na ya meza ya Tv.
Carpet nunua mwishoni, cause ni a guy mara nyingi nyie nafasi ya usafi ni finyu, nakushari dark colours; inaweza kua ya maua au michoro yenye rangi zote kama za pazia, sofa, meza n.k - ikiwa rangi moja walau iendane na pazia.. Carpet ikiwa dark colour itakusaidia coz ni nyumba ya vyumba viwili inamana lazima utapita sana hapo.
Kuepusha kuweka vitu kama glasses, sahani, jugs sehemu yoyote ya sebule ni vizuri ukachonga kimeza kidogo cha kuweka kona moja (hakikisha mgeni wako akiketi anakipa mgongo au ubavu) - hapo waweza funika na vitamba (zipo plastics but zinaonekana kama kitambaa) special kwa meza na water resistant. Hicho kitambaa cha plastic cha meza kiwe kinaendana walau na pazia. Hio meza waweza tumia kwa ajili ya kuweka all vyombo related things...
Good luk katika maandalizi... La ziada hizi mvua sisikudanganye fan muhimu.....
Need we say more? Asha D amekupa ushauri wa kitaalamu sana. Big up Asha D. Kumbuka TV iwe HD or Full HD, kunako coffee table weza magazine za ukweli chache tu kama vile Bang, Mens health na refrigerator/deep freezer etc.