Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

Ku maintain status hakikisha upende kununua vitu quality, usijaze vitu vingi halafu vibovu... Basics za muhimu sebuleni kwa kijana wa kisasa ni Carpet, Sofa seats, TV & Deck, Pazia, Coffee table, Theatre system (si lazima but ni muhimu kwa entertainment) na Meza kwa ajili ya TV.

Hakikisha unaponunua/andaa vitu vi blend; blend in the sense kua unapokua/nunua vitu hivyo vya electronics hakikisha vinaendana rangi Vizuri, then unaangalia rangi ya ukuta wa hio sebule, unanunua pazia quality nzuri na rangi zilizopoa na za kiume kama coffee, beige, grey (kwa ufupi colours dark - usidhubutu sujui pink, yellow n.k). Mara nyingi coffe table nzuri za kisasa ni zile za kioo zenye stool zake, na hizi siku hizi zimeshuka sana bei sana i believe ukijipanga u can afford - miguu ya coffee table rangi ifanane na ya meza ya Tv.

Carpet nunua mwishoni, cause ni a guy mara nyingi nyie nafasi ya usafi ni finyu, nakushari dark colours; inaweza kua ya maua au michoro yenye rangi zote kama za pazia, sofa, meza n.k - ikiwa rangi moja walau iendane na pazia.. Carpet ikiwa dark colour itakusaidia coz ni nyumba ya vyumba viwili inamana lazima utapita sana hapo.

Kuepusha kuweka vitu kama glasses, sahani, jugs sehemu yoyote ya sebule ni vizuri ukachonga kimeza kidogo cha kuweka kona moja (hakikisha mgeni wako akiketi anakipa mgongo au ubavu) - hapo waweza funika na vitamba (zipo plastics but zinaonekana kama kitambaa) special kwa meza na water resistant. Hicho kitambaa cha plastic cha meza kiwe kinaendana walau na pazia. Hio meza waweza tumia kwa ajili ya kuweka all vyombo related things...

Good luk katika maandalizi... La ziada hizi mvua sisikudanganye fan muhimu.....

Need we say more? Asha D amekupa ushauri wa kitaalamu sana. Big up Asha D. Kumbuka TV iwe HD or Full HD, kunako coffee table weza magazine za ukweli chache tu kama vile Bang, Mens health na refrigerator/deep freezer etc.
 
Need we say more? Asha D amekupa ushauri wa kitaalamu sana. Big up Asha D. Kumbuka TV iwe HD or Full HD, kunako coffee table weza magazine za ukweli chache tu kama vile Bang, Mens health na refrigerator/deep freezer etc.

Mkuu ili kumaitain status kuna umuhimu wa TV kuwa 3D. Hiyo ndio teknologia ya sasa. HD imepitwa na wakati. sijui nisuggest kuwepo pia na sauna?
 
Wewe utakachokihitaji kwa wakati huo ndo utanunua ukitaka dressing table ukaona hakuna ndo ununue, ukitaka kioo hakuna ndo ukanunue, ukitaka kuangalia TV huna nenda dukani, ukiona unakanyaga chini kuna baridi nenda kanunue carpet, ukitaka kupika kuwasha mkaa au jiko la mchina unaona shida kanunue jiko la gesi upate urahisi na ukiaka chochote kwa wakati wowote ndo uende ukanunue kwa muda huo....sijui umenipata???
Hivi besti uliniambia unafundisha chuo gani vile lol!
 
Dena Hamisi yaan wewe ni chenga sana mkuu...chenga kwel kwel kama za kwenye coldrill,yeye anataka gheto liwe la kisasa katika mpangilio wenye mvuto ndo maana akawaomba wataalam kama Asha wakampa maujanja...

Nadhani wakati mwingine sio lazima kila thread uchangie ukiona hii imenikalia kushoto unawaachia wengine...do what you can and let others do what you cant do
 
Ku maintain status hakikisha upende kununua vitu quality, usijaze vitu vingi halafu vibovu... Basics za muhimu sebuleni kwa kijana wa kisasa ni Carpet, Sofa seats, TV & Deck, Pazia, Coffee table, Theatre system (si lazima but ni muhimu kwa entertainment) na Meza kwa ajili ya TV.

Hakikisha unaponunua/andaa vitu vi blend; blend in the sense kua unapokua/nunua vitu hivyo vya electronics hakikisha vinaendana rangi Vizuri, then unaangalia rangi ya ukuta wa hio sebule, unanunua pazia quality nzuri na rangi zilizopoa na za kiume kama coffee, beige, grey (kwa ufupi colours dark - usidhubutu sujui pink, yellow n.k). Mara nyingi coffe table nzuri za kisasa ni zile za kioo zenye stool zake, na hizi siku hizi zimeshuka sana bei sana i believe ukijipanga u can afford - miguu ya coffee table rangi ifanane na ya meza ya Tv.

Carpet nunua mwishoni, cause ni a guy mara nyingi nyie nafasi ya usafi ni finyu, nakushari dark colours; inaweza kua ya maua au michoro yenye rangi zote kama za pazia, sofa, meza n.k - ikiwa rangi moja walau iendane na pazia.. Carpet ikiwa dark colour itakusaidia coz ni nyumba ya vyumba viwili inamana lazima utapita sana hapo.

Kuepusha kuweka vitu kama glasses, sahani, jugs sehemu yoyote ya sebule ni vizuri ukachonga kimeza kidogo cha kuweka kona moja (hakikisha mgeni wako akiketi anakipa mgongo au ubavu) - hapo waweza funika na vitamba (zipo plastics but zinaonekana kama kitambaa) special kwa meza na water resistant. Hicho kitambaa cha plastic cha meza kiwe kinaendana walau na pazia. Hio meza waweza tumia kwa ajili ya kuweka all vyombo related things...

Good luk katika maandalizi... La ziada hizi mvua sisikudanganye fan muhimu.....


Tulia Baba!!, weka kitanda cha kawaida, meza(coffee table), Friji, Cooker.......yaani vitu kawaida, kwani hawa wenzetu, si rahisi kualewa, atakuja oohh curtain mbaya, meza hiiii apana, kitanda...(Hawa wenzetu si rahisi kuwaelewa!!!!!)
 
Wakuu wana JF,

Poleni kwa majuku ya kila siku.

Naombeni ushauri wenu, nimehamia hapa DSM na kuanza maisha, takribani week imepita. Nilijibanza kwa ndugu sasa nimepata vyumba 2 ambavyo ndo nategemea kuingia.

Pamoja na maandalizi mengine muhimu niliyoyafanya (vitu basic )bado kuna kitu kimoja kinanisumbua: Jinsi ambavyo chumba (sebule ) nitakavyo-ipamba ili mpenzi wangu akija kunitembelea anione nipo juu kiasi -ku-maintain status!

Naombeni ushauri wenu watu wataalam wa kupamba room au sitting room.

Vitu gani hasa ni muhimu vya kupendezesha?

Natanguliza shukrani wapendwa.
Unajipigia promo utunase tusio na bondi.
 
mmmhhh nambie mpenzi huyo 'perfect wife' yukoje dear na sisi tumfuate?

Natengua kauli inakua; an almost perfect house wife...LOL .... nimeona nimejitega na nimegundua nisijechemka but enways ngoja ni PM the qualities.... Usisahau kutembelea album yangu, particularly hiyo ya interior designs...
 
Chumba cha kulala ni mahali ambapo unapatumia wakati ukiwa umechoka na unahitaji utulivu na pumziko.

Ni mahali ambapo unahitaji kuondoa stress zote na kutuliza mwili na akili, vilevile ni mahali ambapo kwa wewe uliyeolewa unapata faragha ya kutosha kuwa na mume wako.

Kutokana na umuhimu wa chumba cha kulala basi ni vyema kikawa na mvuto utakaokufanya ujisikie vyema kuwa ndani yake namuonekano wake uchangie katika kukuondolea uchovu na stress.

Haipendezi kuona chumba kikiwa kimejaa makaratasi, magazeti na vitabu kila mahali bila mpangilio mzuri.

Weka vitabu na makaratasi yote mahali pamoja na kama unaweza kupata kabati na ukaviweka humo ili chumba kionekane nadhifu na sio kiwe kama maktaba.

Nguo ziwe zimepangwa vizuri kabatini au sandukuni na zile chafu zikae mahali pake kwenye kapu la nguo chafu. Usiache nguo zinaninginia kila mahali kwenye milango, madirisha, besele n.k maana inafanya chumba kiwe kimejaa na kuondoa mvuto.

Chumba cha kulala sio stoo hivyo haipendezi kuhifadhi vitu vya zamani chumbani kama viatu visivyovaliwa, nguo za watoto zisizovaliwa, miavuli, makoti ya mvua, toys za watoto n.k kama kuna ulazima wa kuhifadhi vitu hivi chumbani basi tafuta sanduku la bati na uviweke na kuhifadhi juu ya kabati au mvunguni ili kuondoa mlundikano wa vitu chumbani.

Kipambe chumba chako kwa maua na mapazia ya kuvutia. usipambe tu sebule na jikoni na kusahau chumba cha kulala.

Chumba kinaongezeka mvuto pale unapokipamba kwa maua na vessel nzuri, fremu za picha, mapazia mazuri na pia kapeti zuri la kuvutia. Unaweza weka picha yenu mkiwa honeymoon kwenye fremu na kuiweka mezani au ukutani na ikawa pambo zuri sana la chumbani kwenu.

Wekeza kenye mashuka mazuri na yenye kuvutia. Mashuka mazuri yanakufanya ujisikie vizuri unapokuwa chumbani na vilevile unapokuwa umelala.

Hakikisha unayafanyia usafi mara kwa mara na kuyabadilisha badilisha sio kila siku mashuka hayo hayo (kauka nikuvae). Wewe pia ni pambo mojawapo la chumba, hakikisha unakuwa na nguo nzuri za kulalia zenye kuvutia na kukufanya ujisikie vizuri na mwenye kuvutia.

Hasa kwa wale walioolewa ni vyema kuzingatia hili na kuepuka kuvaa ma-tsheti ya zamani na madela kila siku unapoenda kulala au unapokuwa umejipumzisha chumbani.

E-mail: meezy@youngmaster.co.tz
 
Mkuu umetoa darasa zuri sana kwa wote, wanawake na wanaume. Ni vema tukalielewa hili mwa mapana na marefu yake.
 
Sio tu chumbani sio stoo, bali sio museum! Asante kwa kutukumbusha.
Unafanya kazi za internal decor mkuu? Ungetufahamisha huenda huduma ikahitajika.
 
OK, umetoa somo zuri! shukrani za dhati kwako mkuu! endelea kutukumbusha na mengine yenye faida kama hili.
 
This is a "super" class! Jf is more than a Social University. Thanks YM, keep it up!
 
Tafuta ile picha ya mtoto wa makamba uone chumba cha kulala kinakuwaje. unatuuliza sisi wa kwa Mtogole hayo tutayajuaje.
 
Mh. Mabwepande na kwa mfuga Mbwa na room ya hivyo sina hakika. Hii Srade itakua na matumizi.

Bt Masaki, Obey, Mbezi, na kufananako na huko hii Srade inamatumizi .
Vinginevyo ina mpangilio mtamu! Nimeipenda .
 
Back
Top Bottom