hao jamaa(CDM)ukiwaambia ukwel hawajibu kwa hoja wao wanatukana tu
Ni kweli nimegundua kuwa humu ukiandika thread na ukaona umetukanwa ujue kuna vitu vili hapo eizanashukulu kama umetambua nisemayo yana ukweli lakini naomba ujifunze kitu kama unatukanwa na kitu usemacho ni cha kweli shukuru maana msg inakuwa imefika lakini kama ni uongo lengo la kupewa matusi ni kwamba ujilekebishe.
Mwenye kuleta story hii amefilisika kimawazo hawa wako wengi mno katika taifa hili
Magamba wanajulikana kwa sentensi ya kwanza tu. Mungu atakulaani kwa unafiki wako. Tafadhali tuachie chadema yetu.
nakubaliana na wewe cuf nao ni kama ccm pia case iliyopo hapa je vyama vyote vya upinzani vina ndoa na ccm !Jamaa kaanza kwa hofu sana,
Mkuu kama lengo lako ni kuikomboa TZ jiunge na timu iliyokaribia kutimiza hilo na kama lengo lako ni Ruzuku, basi navyoona hutafanikiwa.
Issue ya CUF kushikiana na CCM kuuwa upinzani ndiyo vali hilo hata haihitaji mimi kuthibitisha ukweli uko wazi na pengine CUF inakufa kwa sababu ya hiyo Laana..
Mimi nafikiri umefika wakati mwafaka kwa CDM kuikataa Ruzuku kama Posho, lakini tufanye Tathmini ya M4C kwanza kwa miaka miwili hivi.
Nianze na hoja ya CDM kuvituhumu vyama vingine mapandikizi ya CCM.
Kwangu mimi CDM wapi sahihi kwa sababu vyama vya upinzani vyenyewe havipendani hasa chaa kimoja kinapoonekana kupanda chati na kukubalika na wananchi. Mfano mwepesi ni CUF katika kuunda kambi ya upinzani hebu imagine kama CDM ingekubali kuunda umoja huo na CUF saizi hatma yake ingekuwaje? Ni kama nayo CDM ingepiteza mvuto kufokana na CUF kupoteza uelekeo na mvuto.
Pili, CCM kupandikiza mashushushu au UWT katika vyama. Hilo ni kweli naungana nao. Kinachowashinda hawa jamaa ni kitu kimoja. CCM inaharibu sana mpaka jamaa wanaona hakuna haja ya kuharibu vyama hivyo maana CCM ndiyo itajisahau na kufanya nchi hii iingie msabweni zaidi japokuwa ipo hapo.
Mfano mzuri ni suala la Zitto, kuna watu wanaomtuhumu Zitto kama kibaraka wa serikali ndani ya CDM. Lakini hata kama ni ukweli au uongo Zitto kwa kutumia akili yake tu hawezi na hatakubali kuua upinzani kwa sababu anajua kabisa CCM haina maisha marefu zaidi ya kutegemea dolla ambayi ni dalili ya mwisho ya chama kinachokaribia kufa. Kwa maana hiyo anakuw yupo 50%.
hao jamaa(CDM)ukiwaambia ukwel hawajibu kwa hoja wao wanatukana tu
Mzee wa Rula, ahsante kwa upembuzi wako.
Kwa kuongeza tu,CDM inavituhumu vyama vya upinzani kutokana na matendo yao. Hivi karibuni tu kwenye kesi inayomhusu tundu lissu, Ushahidi wa maandishi umeonyesha kuwa M/kiti wa TLP A. Lyatonga, Mwanaye Michael mrema na John Chiligati wamepanga ushahidi wa uongo kumhujum TL-Singida mashariki.
Wana Jf mtakumbuka pia Jinsi M/kiti wa Dp- Mchungaji Mtikila alivyokuwa akishirikiana na CCM kuhujum CDM uchaguzi mdogo-Tarime baada ya kifo cha Chacha Wangwe mpaka Mtikila akapasuliwa kichwa na waliochukizwa na ujinga wake. Hivi ni baadhi tu ya zinazojulikana. Hivo CDM haiwezi kuwapaka mafuta vyama vinavyohujumu mapambano.
kichomiz sifikilii kama kuna jina lingine zaidi ya msaliti !
Hivi mkuu unafikiri chadema wako serious?
Wanajona sasa hapo walipo ndio wamefika (thye need nothing more than that)..kuwa chama cha kikuu cha pinzani period..
Ndio maana hawataki kuunganisha nguvu, CUF tumewastukia tutapambana kivyetu maana tuna malengo makubwa kusaidia wanyonge kwa kuendesha dola..
Hivi mkuu unafikiri chadema wako serious?
Wanajona sasa hapo walipo ndio wamefika (thye need nothing more than that)..kuwa chama cha kikuu cha pinzani period..
Ndio maana hawataki kuunganisha nguvu, CUF tumewastukia tutapambana kivyetu maana tuna malengo makubwa kusaidia wanyonge kwa kuendesha dola..
Kuja na hoja za kilusinde lazima utukanwe na kikustahilicho,hoja yenye ushahidi ndo sawa ila hiz za kimkapa mkapa kaweken choon.
So far tumeridhika hadi hapo tulipo na tunapambana kusonga mbele kuchukua uongozi wa nchi hii 2015.
Ninyi mliokubali kuunganisha nguvu na ccm ili kuunda serikali ni dhahiri kwamba mmekata tamaa ya kuaminiwa na wananchi hadi kuwapa madaraka ya kuiongoza nchi kwahiyo mmeamua kuingia ikulu kwa mlango wa uani.
Najua mmeridhika sana kuwa nyumba ndogo ya ccm na mnapenda kuendelea kuwa hivyo!