EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
Chama cha mapinduzi ni chama tawala hapa nchini kwetu na kimekuwa madarakani enzi na enzi tangu kuzaliwa kwake.
Baada ya Tanzania kuingia ktk mfumo wa vyama vingi kimekuwa kikipata upinzani mkali kutoka vyama vya upinzani.
Na kwakuwa mfumo uliopo ni wa vyama vingi na wao imani yao ni kutawala milele basi wamekuwa wakiwatumia vibaraka wao ili kuvivuruga vyama ivyo. na vyama kukosa nguvu kwa wananchi na wananchi pia kukosa imani na vyama hivyo.
Mfano wa chama kilichouliwa kabisa ni nccr mageuzi ambacho kilijizolea umaarufu mkubwa mwaka 1995. Lakini pongezi kwa wana nccr mageuzi jitihada zenu tunaziona za kujiinua.
Vyama vingine vya kisiasa kama sau, chausta, dp, tlp nk hivi ndio vimekosa kabisa support ya serikali hivyo udhaifu huo utapelekea vifo vya vyama hivi.
Chama cha mapinduzi kwa tetesi zilizopo ni kuwa hadi sasa kalibia kila chama cha upinzani wamepandikiza mashushu hivyo basi kwa yoyote anayemjua pandikizi huyo bila kuumauma maneno kwa manufaa ya Taifa letu hebu leo tuwaanike bila kificho !
Hilo ni la kwanza la pili kwanini nimeihusisha cdm nayo katika maangamizi ya vyama vya upinzani !
Mbali na misukosuko mikubwa vyama vingine vinayopata kutoka ccm, cdm nayo imekuwa ikipigilia msumali kwa kuvituhumu vyama vingne vya upinzani kuwa ni vibaraka wa ccm na kusababisha wananchi kuingia na wasiwasi kuhusu hilo.
Chadema chonde chonde matumizi ya kauli iyo si mazuri !
Na ukizingatia kwa sasa cdm ndio chama cha upinzani chenye nguvu.
Nawasilisha.
Baada ya Tanzania kuingia ktk mfumo wa vyama vingi kimekuwa kikipata upinzani mkali kutoka vyama vya upinzani.
Na kwakuwa mfumo uliopo ni wa vyama vingi na wao imani yao ni kutawala milele basi wamekuwa wakiwatumia vibaraka wao ili kuvivuruga vyama ivyo. na vyama kukosa nguvu kwa wananchi na wananchi pia kukosa imani na vyama hivyo.
Mfano wa chama kilichouliwa kabisa ni nccr mageuzi ambacho kilijizolea umaarufu mkubwa mwaka 1995. Lakini pongezi kwa wana nccr mageuzi jitihada zenu tunaziona za kujiinua.
Vyama vingine vya kisiasa kama sau, chausta, dp, tlp nk hivi ndio vimekosa kabisa support ya serikali hivyo udhaifu huo utapelekea vifo vya vyama hivi.
Chama cha mapinduzi kwa tetesi zilizopo ni kuwa hadi sasa kalibia kila chama cha upinzani wamepandikiza mashushu hivyo basi kwa yoyote anayemjua pandikizi huyo bila kuumauma maneno kwa manufaa ya Taifa letu hebu leo tuwaanike bila kificho !
Hilo ni la kwanza la pili kwanini nimeihusisha cdm nayo katika maangamizi ya vyama vya upinzani !
Mbali na misukosuko mikubwa vyama vingine vinayopata kutoka ccm, cdm nayo imekuwa ikipigilia msumali kwa kuvituhumu vyama vingne vya upinzani kuwa ni vibaraka wa ccm na kusababisha wananchi kuingia na wasiwasi kuhusu hilo.
Chadema chonde chonde matumizi ya kauli iyo si mazuri !
Na ukizingatia kwa sasa cdm ndio chama cha upinzani chenye nguvu.
Nawasilisha.