Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Bank zote Tanzania hawaruhusu kupokea pesa kutoka PayPal but wanaruhusu kutoa pesa kwenda PayPal ni ajabu sana but I thank payoneer kwa kuanzisha system ya direct deposit imetuokoa sana waTZ !
 
Nenda na kitambulisho chako chochote chenye picha yako, waambie nataka kufungua akaunti kwa ajili ya online shoping watakupatia fomu ujaze kuna za aina mbili visa cash card tshs.5000 na visa travel money usd 20.kazi kwako

wamepandisha bei kwa visa cash card tsh 15,000/= na visa travel money usd 50
 
Bank zote Tanzania hawaruhusu kupokea pesa kutoka PayPal but wanaruhusu kutoa pesa kwenda PayPal ni ajabu sana but I thank payoneer kwa kuanzisha system ya direct deposit imetuokoa sana waTZ !
Sio issue ya kibenki bali ni state issue na kama ni bank basi ni central bank na sio individual banks. Niliwa-query PayPal almost 3 years ago about the issue na wakasema kuna mambo serikali kupitia taasisi zake wanatakiwa ku-work out with PayPal! Unfortunately, serikalini kwenyewe ndiyo hivyo tena... majority bado wapo kwenye zama za "passbook" seuze PayPal! Mbaya zaidi, I don't think endapo Tanzania inaweza kuwa area of interest ya kuwafanya PayPal wao kama wao ndo wahangaikie issue yenyewe... ni hadi watakapopatikana aggressive figures pale Wizara ya Fedha ndipo this can happen!
 
kuna hawa watu wanajiita inauzwa.com
kwa mwenye utaalamu nao anipe taarifa zao
kuna kitu nataka kununua kwao lakini sina imani nao!
 
Wakuu mm nimeona video camera ambayo bei ni km mil 1 .5 sasa kuna jamaa namtumia aniagizie kwa kuwa mm sina akaunti PayPal sasa jamaa kanipigia hesabu kuwa mpaka nipate Mzigo ni mil3.2 sasa mbona naona gharama ni kubwa sana wakuu au huyu jamaa ananipiga
 
Wakuu mm nimeona video camera ambayo bei ni km mil 1 .5 sasa kuna jamaa namtumia aniagizie kwa kuwa mm sina akaunti PayPal sasa jamaa kanipigia hesabu kuwa mpaka nipate Mzigo ni mil3.2 sasa mbona naona gharama ni kubwa sana wakuu au huyu jamaa ananipiga

mkimbie
 
Wakuu mm nimeona video camera ambayo bei ni km mil 1 .5 sasa kuna jamaa namtumia aniagizie kwa kuwa mm sina akaunti PayPal sasa jamaa kanipigia hesabu kuwa mpaka nipate Mzigo ni mil3.2 sasa mbona naona gharama ni kubwa sana wakuu au huyu jamaa ananipiga
kibila kujiunga na Paypal hamna tofauti na kujiunga na JF, sema kule wanahitaji visa card, master card and of the like, kama umesoma toka mwanzo utakuwa umejifunza namna ya kuzipata hizo card, ukijiunga huo mzigo unalipia na unatumiwa hadi hapo ulipo na wala huhitaji hela yote hiyo! Na vyema mzigo wako ukipitia posta.
 
Last edited by a moderator:
Samahan kiongozi. Unaweza kunielezea ulivyofanikisha kupata mizigo yako.
Sababu mm nilifanya manunuzi mwaka jana mwezi wa pili mpaka leo sijapata mzigo wangu. Hali hii imenikatisha tamaa kwa kweli.
Nilijaribu kumwambia seller anipatie trucking number akasema trucking number inatolewa kwa mzigo ulio na gharama kuanzia dola 50.
Naomba uzoefu wako ndugu.

Ipo hivi ndugu yangu, kabisa ni vyema ufahamu unapoagiza supplier anatoa tracking number au la, kama hatoi huwa kuna gharama ya kuongezea ili upate tracking number mostly 2.5 us dollar, unaweza ilipia au la. Pili kuna namna ya ku claim endapo hujapokea mzigo ndani ya siku 60, japo supplier wengi hawapendi hii option ambapo atatakiwa aidha kurudisha pesa au akitumie tena mzigo.
Na hii ipo possible kama umelipa kwa kutumia paypal au Alipay.
Pia kabla ya kuagiza mzigo ni vyema kupitia comments na reviews za wateja wengine, if rated below 90% achana na huyo seller.
Mwisho unatakiwa kupita posta mara kwa mara kuulizia kama mzigo wako umefika au la.
That's all,
 
Manunuzi kwa Jumia Tanzania yapo vipi wakuu?? Brands wanazozitangaza ndio hizo kweli?? Naomba kwa wenye uzoefu na hili tafadhali
 
Back
Top Bottom