Tarakilishi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 2,181
- 2,446
Yeah, hili lawezekana, mm siku zote natumia posta, sijakutana na tatizo loloteKwa kweli kwa ufahamu wangu DHL ukipitisha mzigo huko lazima upitie Custom waukague kisha wanakulima kodi. Kama nataka kununua kitu sasa hivi nakuwa mpole kusubiri kwa wiki kadhaa ila napata mzigo wangu kupitia posta, no makato no nini.