Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 441
Usije ukalia baadae, useme hukujua.
1. Kama umepokea ujumbe kutoka Kwa mtu unayemuamini sana
Mfano anakwambia Kuna site ya kuinvest na unapata faida kubwa
Cha kwanza FIKIRI.
Pili: usiingie Kwa wakati huohuo
Tatu: fanyia tafiti at least miezi 3
Nne: akuonyeshe yeye kufaulu kwake, kama hakuonyeshi kimbia
2. Strong password
Hakikisha unatumia password strong kama mwamba, Wacha kufanya siku ya Kuzaliwa ndio password
Au 123456
Andika password ndefu, changanya number, herufi na symbols
Hata ikiwezekana weka na emoji
3. Two-Factor Authentication (2FA)
Hii husaidia kuongeza ulinzi. Kwahiyo itabidi uweke password mara 2 kulogin
Pakua app ya 2FA,
Mfano unawekea X app account Yako 2FA nenda settings - password - 2FA
weka password kutoka kwenye hiyo app
Pia backup keys, Incase utapoteza sim
4. Hakikisha una update softwares
Kama anti virus, applications nk ziwe updated
5. Kuwa makini na phishing
Kwanza ogopa kubonyeza links ambazo anayekutumia humjui,
Utalia na kusaga meno.
Unaweza tumiwa pia email inakaa tamutamu,
Hakikisha kabla hujatembelea website husika ni yenyewe na verified
6. Tumia VPN
Epuka kutumia public WiFi, unaweza ibiwa pesa zako.
Hakikisha unatumia VPN kama
• Nord VPN
• Yoga VPN
• HMA VPN
Pale inapobidi.
7. Backup data
Mara Kwa mara uwe una backups taarifa zako Kwa external drive,
Incase taarifa zako zimevuja uweze kuwa nazo Kwa external.
8. Antivirus
Kwenye PC Yako usisahau kuweka antivirus pia ku activate firewall
Kuzuia malware.
(Napendekeza utumie paid antivirus)
9. Monitor accounts
Kwa jicho la karibu fuatilia accounts zako hasa za fedha zetu
Kama hufanyi trading online hakuna mtu ata ku hack bana
Sasa atadukua Nini?
10. Hapa weka passwords Kwa vifaa vyako kama
• Tablets
• Simu
• Laptop
Pia weka tracking apps Kwa vifaa hivyo Incase ilipotea uipate
Find My iPhone Kwa iphone
Find my device Kwa android
11. Downloads
Hakikisha unadownload vitu kutoka official sites
Kuwa makini na cracked softwares, hizo Mimi Huwa naweka humo virus
Kisha narudisha google, achana na vitu vya Bure.
12. Nyumba ikiungua itakuwaje?
Simu na Kila kitu vitakwisha....
Backup photos zako Kwa kutumia google photos
Au tumia telegram ku backup Kila kitu.
13. Tumia private browser kama
• Duckduck go
• Brave nk
14. Communication
Kama unawasiliana na watu na hutaki hata mitandao wajue au Serikali tumia VPN pia tumia apps kama
• Telegram
• Signal nk
15. Turn off location.
Pia cards za banks unazofanya nazo manunuzi online
Hakikisha pesa haitoki mpaka uingize OTP lasivyo itakuwa ni siku ya kiama
16. Je, unapost Nini online?
Kwanza punguza au acha kupost taarifa zako za chumbani online kama Asha,
Huwa hazifutiki, hakikisha unaandika taarifa ambazo hazina uhusiano na mienendo yako
17. Acha kushare taarifa zako sahihi online kama picha upoishi, NIDA, license nk.
Nasemaje, njia nzuri ya kujilinda online ni kutoka online.
Na Kwa bahati mbaya umeshachelewa,
Chukua risk 50% Kwa 50% kuwa makini
1. Kama umepokea ujumbe kutoka Kwa mtu unayemuamini sana
Mfano anakwambia Kuna site ya kuinvest na unapata faida kubwa
Cha kwanza FIKIRI.
Pili: usiingie Kwa wakati huohuo
Tatu: fanyia tafiti at least miezi 3
Nne: akuonyeshe yeye kufaulu kwake, kama hakuonyeshi kimbia
2. Strong password
Hakikisha unatumia password strong kama mwamba, Wacha kufanya siku ya Kuzaliwa ndio password
Au 123456
Andika password ndefu, changanya number, herufi na symbols
Hata ikiwezekana weka na emoji
3. Two-Factor Authentication (2FA)
Hii husaidia kuongeza ulinzi. Kwahiyo itabidi uweke password mara 2 kulogin
Pakua app ya 2FA,
Mfano unawekea X app account Yako 2FA nenda settings - password - 2FA
weka password kutoka kwenye hiyo app
Pia backup keys, Incase utapoteza sim
4. Hakikisha una update softwares
Kama anti virus, applications nk ziwe updated
5. Kuwa makini na phishing
Kwanza ogopa kubonyeza links ambazo anayekutumia humjui,
Utalia na kusaga meno.
Unaweza tumiwa pia email inakaa tamutamu,
Hakikisha kabla hujatembelea website husika ni yenyewe na verified
6. Tumia VPN
Epuka kutumia public WiFi, unaweza ibiwa pesa zako.
Hakikisha unatumia VPN kama
• Nord VPN
• Yoga VPN
• HMA VPN
Pale inapobidi.
7. Backup data
Mara Kwa mara uwe una backups taarifa zako Kwa external drive,
Incase taarifa zako zimevuja uweze kuwa nazo Kwa external.
8. Antivirus
Kwenye PC Yako usisahau kuweka antivirus pia ku activate firewall
Kuzuia malware.
(Napendekeza utumie paid antivirus)
9. Monitor accounts
Kwa jicho la karibu fuatilia accounts zako hasa za fedha zetu
Kama hufanyi trading online hakuna mtu ata ku hack bana
Sasa atadukua Nini?
10. Hapa weka passwords Kwa vifaa vyako kama
• Tablets
• Simu
• Laptop
Pia weka tracking apps Kwa vifaa hivyo Incase ilipotea uipate
Find My iPhone Kwa iphone
Find my device Kwa android
11. Downloads
Hakikisha unadownload vitu kutoka official sites
Kuwa makini na cracked softwares, hizo Mimi Huwa naweka humo virus
Kisha narudisha google, achana na vitu vya Bure.
12. Nyumba ikiungua itakuwaje?
Simu na Kila kitu vitakwisha....
Backup photos zako Kwa kutumia google photos
Au tumia telegram ku backup Kila kitu.
13. Tumia private browser kama
• Duckduck go
• Brave nk
14. Communication
Kama unawasiliana na watu na hutaki hata mitandao wajue au Serikali tumia VPN pia tumia apps kama
• Telegram
• Signal nk
15. Turn off location.
Pia cards za banks unazofanya nazo manunuzi online
Hakikisha pesa haitoki mpaka uingize OTP lasivyo itakuwa ni siku ya kiama
16. Je, unapost Nini online?
Kwanza punguza au acha kupost taarifa zako za chumbani online kama Asha,
Huwa hazifutiki, hakikisha unaandika taarifa ambazo hazina uhusiano na mienendo yako
17. Acha kushare taarifa zako sahihi online kama picha upoishi, NIDA, license nk.
Nasemaje, njia nzuri ya kujilinda online ni kutoka online.
Na Kwa bahati mbaya umeshachelewa,
Chukua risk 50% Kwa 50% kuwa makini