Keshashikishwa adabu tayari...this time hata kama atagombea tena(though atashindwa vibaya) lakini tayari ameshafunzwa adabu!!
jitekenyeni alafu chekeni wenyewe, ila CCM hapa arusha mtapasahau milele.
Kwa taarifa za jikoni Lema hakati rufaa na ndiyo mgombea wa CDM tena.
Tunamuaibisha shetani kwenye ballot kwa mara ya pili.
Lema najua anakubalika lakini kichama lazima kutakua na mchakato ndio maana hasa ya demokrasia ..Ikiwa kama bado wanachama wapiga kura wana imani naye hilo ndilo la muhimu ..lakini pia kama kuna mtu mwingine mwenye mawazo mapya ndani ya chama akaonekana kua na sera nzuri na vision zaidi yake ..pia tumpe ..Lema ni kamanda wa ukweli lakini makamanda ndani ya chama wako wengi sana ,,ndio maana ya mabadiliko sio kwa CCM tu hata kwa CDM ..
Pole Mkuu naona umeamua kijifariji.
Mkuu usikonde,
Nasubili nakala ya mahakama juu ya hukumu Lema,pengine kesho jioni mwanasheria wangu akaipata nakala hiyo,kisha j,3 ntafunguka kwa waandishi wa habari pale GOLDEN ROSE HOTEL!
Hawa ni mashujaa na wanastahili hadhi ya kitaifa,
Lema ni mbaguzi/mdini na anachochea ukanda na ukabila, LEMA amesababisha watu waichukie Chadema Hafai wala hafai hata kidogo.
Hongera Majaji na mahakimu kwa kutenda haki.
Hongera mliomfungulia mashtaka, Mungu awalipe.
Ameeeeeeeeeeeen
Kweli yupo... Kudaadeki!Napenda kuwaeleza kwamba, haya yote yanayomkuta Lema ni kutokana na nyie kutumiwa na mafisadi kuweza kukandamiza haki ya mnyonge.
Tazameni sasa damu yetu wana Arusha inaenda kumwagika wakati wote wa kampeni mpaka uchaguzi ujao hapo Arusha.
Mmekubali kutumika ili kuweza kumkomoa lema lakini kumbukeni kwamba nguvu ya umma kamwe haiwezi kuzimwa na nyie. Kitu gani kiliwawasha mpaka mkafanya hivyo?
Anyway mumjgu yupo one day atakuja kudhihirisha ukweli juu ya jambo hili.