Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
sahau ndugu yangu Lema, Godbless ni mbunge wetu jimbo la Arusha kama uko usingizini unaota ngoja nikushtue uamke. hapa ni arusha tumechoshwa na siasa mbovu hatuko tayari kuleta mafisadi watutawale hawajui machungu yetu. Lema ni Mbunge wetu. God Chosen one. Yuko mapumziko ya muda tu anarudi bungeni kututetea walalahoi.
Peopleeeeeeeeeeeeeeees Power
Jamani, I think mwanachana wa CHADEMA MWENYE KADI NAMBA CDM 0487097, ana point.
Yeye hajakataa wala kushauri Leama asigombee.
Yeye ametoa angalizo.
Hakuna haja ya kuchukuliwa hili jambo kirahisi.
It is better to think outside the box.
Kuna haja ya kufanyia kazi.