Hawa ni mashujaa na wanastahili hadhi ya kitaifa,
Lema ni mbaguzi/mdini na anachochea ukanda na ukabila, LEMA amesababisha watu waichukie Chadema Hafai wala hafai hata kidogo.
Hongera Majaji na mahakimu kwa kutenda haki.
Hongera mliomfungulia mashtaka, Mungu awalipe.
Ameeeeeeeeeeeen
Makamanda nashauri hawa watu watatu waliomshitaki lema wachomewe nyumba zao kwa sababu tukiwaendekeza watatufikisha kubaya
Naomba kuwasilisha
kwenye kesi zote zinazohusu uchaguzi wa 2010 ccm wameanza kuchangisha pesa kwa ajili ya chaguzi ndogo, inawezekana wanajua kile kinachoendelea kwenye hukumu za kesi hizo.
Unapojaribu kutoa mawazo ya kufanyia kazi au utaonekana zumbukuku, ila ni vema kuzingatia kinachoongelewa kwenye jukwaa.
Wengine wanageuza eneo hili kama sehemu ya kuwaona wenzao hawana akili, jamani tubadilike ushabiki wetu ni mzuri lakini pia tuangalia yale yaliyo mbele yetu.
Wakuu, kwani kesi yenyewe ilikuwa ni ya kuhusu nini?
acha uj*nga wako ww, kmbka igunga mlianza propaganda kuwa slaa atagombea hakugombea, mkaja arumeru na penyewe hkugombea, sasa mnataka mjiingize na AR....kwani umeambiwa amepigwa ban kugombea tena? au unaropoka kama ulivyotumwa na akina nape. kwanza mchezo wenu tuliujua siku nyingi mkaja na propoganda za nape kuipongeza chadema na nassari kwa ujumla, mwenyekiti wenu nae akampongeza huku katibu akikataa chadema haikushinda. maana chadema imemshinda EL na cyo ccm.Wana jf, ukweli ni kwamba Lema sio saaaaana. Tumtose Lema, kamanda wetu aingie bungeni.... Hapo vipi?!
Pole Mkuu naona umeamua kijifariji.
CCm wembe ni ule ule ushindiiiiiii imekula kwenu CDM big tyme!
Jipe moyo!CCm wembe ni ule ule ushindiiiiiii imekula kwenu CDM big tyme!
Niko Arusha, hivi huu ulinzi mkali namna hii ni dalili kwamba walikuwa wamejua matokeo ya hukumu?. Mahakama zetu haziaminiki? Je si kwamba polisi walikuwa wanajua matokeo. Nimhesabu polisi wanafika 200! Ni hatari tupu.
Nakuhakikishia, CDM yeyote atakayesimama anashinda kilaini. Lema atarudi bungeni kwa kishindoWana jf, ukweli ni kwamba Lema sio saaaaana. Tumtose Lema, kamanda wetu aingie bungeni.... Hapo vipi?!
Makamanda nashauri hawa watu watatu waliomshitaki lema wachomewe nyumba zao kwa sababu tukiwaendekeza watatufikisha kubaya
Naomba kuwasilisha
Lema jembe lazima arudi tena awamu hii kwa kishindo kuliko awali