BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Maxence weweee!!You're the best!:smile-big:
Let me tel u buddyz,
Am home i do move here and there within TZ,
Wana JF, Most of ma fellow Tanzanians wako na woga, na kutokuwa na upeo wowote na kutojiamini, ni kuwa wapo wapo tuuu na wamejawa na manung'uniko tele ndani ya mioyo yao na njaaaa zikiwasumbua na kutoka na mfumo wa serikali yetu unaweza sema ni serikali ya kibabe kwani ukidai haki yako unaaambiwa wataka kuvunja amani ya nchii hii which mean viongozi wa nchi hii wao ndio wanajiona ndio watawala wa alfa na omega.
Ndani ya CCM kuna watu wamechoshwa na haya matatizo ya kila siku ila sauti yao ni wapi pa kuitole kwani wanajawa na woga wa kuuuliwa kimiujiza kwani katika nchi hizi za kimaskini ukiuwawa tu utasingiziwa ni majambazi au chochote kile. Democrasi bado saaaana ndini ya nchi hii ingawa inakuja ila inatakiwa ibadilike at once then nchi itakuwa pazuri.
Ndio siku chache nami katika kuwashawishi watu ndio husoma jamii forums ila kwa uwoga wakijua atai watakuwa tracked. let them do kwani hawawezi zuia mvua kunyesha.
kwa umbumbumbu wake maxence ameshindwa kuwaambia watanzania kuwa hii jamii ni ya wachadema....! na kipindi kimeshaisha...!
No. Sema wapo wenzako wa Chadema waoga. Ila si kweli kwamba kila mmoja ni Chadema. Chadema ni fraction of the majority. Mikiongea wanawasikiliza tu Siyo kwamba ni waoga
Mkuu naona umeni-quote vibaya, niliposema ninamkumbuka Superman nilimaanisha jina la Member ambaye huwa anajitahidi ku-post yanayoendelea kwenye TV kwa hiyo hata wale ambao hatuoni kipindi hicho tunakuwa tunaelewa kinachoendelea. Sijaona connection yoyote kati ya post yangu na maneno uliyoyasema kuhusu Maxence. Nimekuwa disappointed.
Pia unatakiwa kuelewa kwamba members wa JF wanaotumia majina yao halisi hapa kwenye forum ni mapenzi yao na hawakutaka kujificha nyuma ya keyboard. Wako wana CCM wengi sana ambao wanatumia majina bandia ni wagombea Ubunge kupitia CCM. Pia wapo ambao wanatumia majina yao halisi kama Dr. Kigwangala. Akina Mwakyembe, Bashe, Nape Nnauye, Januari Makamba, na wengineo wengi sana wako hapa wanatumia majina ya bandia. SO, kusema kwamba JF ni ya CHADEMA it is wrong. Inawezekana kuna viongozi wengi sana wa CCM kuliko hata hao wana-CHADEMA wachache uliowataja.
Mkuu naona umeni-quote vibaya, niliposema ninamkumbuka Superman nilimaanisha jina la Member ambaye huwa anajitahidi ku-post yanayoendelea kwenye TV kwa hiyo hata wale ambao hatuoni kipindi hicho tunakuwa tunaelewa kinachoendelea. Sijaona connection yoyote kati ya post yangu na maneno uliyoyasema kuhusu Maxence. Nimekuwa disappointed.
Pia unatakiwa kuelewa kwamba members wa JF wanaotumia majina yao halisi hapa kwenye forum ni mapenzi yao na hawakutaka kujificha nyuma ya keyboard. Wako wana CCM wengi sana ambao wanatumia majina bandia ni wagombea Ubunge kupitia CCM. Pia wapo ambao wanatumia majina yao halisi kama Dr. Kigwangala. Akina Mwakyembe, Bashe, Nape Nnauye, Januari Makamba, na wengineo wengi sana wako hapa wanatumia majina ya bandia. SO, kusema kwamba JF ni ya CHADEMA it is wrong. Inawezekana kuna viongozi wengi sana wa CCM kuliko hata hao wana-CHADEMA wachache uliowataja.
Keil,
Huyu Suley anahitaji maombi ... muonee huruma
Hivi hiki kipindi huwa hakirudiwi?
duuh... kumbe ki Max chembamba namna hiyo...?!!! mi nilifikiri ni mbonge la mtu!! )
Anahitaji kuwekwa kwenye high protein diet huyo...
au dozi yake ya mtori iongezwe kidogo na kuwa mara tatu kwa wiki, pia apunguze kushinda jf akifukuzana nanyi kuwalima server ban!!! lol
Heheheheee...halafu wewe nawe nimesikia nyepesi nyepesi kuwa uko moderator kama alivyo Mwanakijiji....
Na ikifutwa hii post nitajua ni aidha wewe au Mwanakijiji ndio mmeifuta lol
mimi nikishika rungu hilo haki ya nani tena mtakoma... yaani ningekuwa nabonda watu kwa server ban kama sina akili nzuri vile... looool
nafikiri kwa hili la kwenda kujitaja eatv litawasaidia kidogo'ila siku nyingine mkituma wawakilishi wapeni tahadhari wasije kukurupuka kama maxence leo kutaja akina mnyika kuwa ni washirikii wakuu anweza akajikuta anabaki na haohao tu kwani watu wameshazoea story zao na wanataka stori mpya...! kuweni makini mara nyingine....!
Hivi hiki kipindi huwa hakirudiwi?
Wakuu kumradhi, ilikuwa kipindi hicho wawepo Synovate, nilichotarajia tujadili sicho kilichojadilika hivyo ikabidi twende kadiri inavyowezekana na kuongea na vijana kupitia TV ya vijana EATV.Kinarudiwa kesho jumanne saa nane kamili mchana na kama ukikosa jumapili saa sita na nusu mchana