Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,507
- 113,628
Watch TBC live !
View: https://www.youtube.com/live/WG68iDTH28I?si=g2NmH5hKoui5ZSRX
Anayezungumza ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Wawekezaji wa TIC, Bw. Revocatus Arbogast Rasheli.
Kwa vile sio wote wenye access na TBC saa hizi, nitawaletea kwa uchache yale ya muhimu aliyozungumza.
Mkurugenzi Revo ameanza kwa kueleza majukumu ya idara yake ya huduma kwa wawekezaji, ni kuwahudumia wawekezaji kwa kuwapatia huduma mbalimbali kuanzia usajili miradi ya uwekezaji, kupata vibali, leseni na ridhaa na usaji mbalimbali kutoka idara mbalimbali za serikali. Nimefurahi kuwa hapa kuzungumza na Watanzania.
Mtangazaji akauliza kwanza kuhusu hali ya uwekezaji Tanzania kwa sasa.
Mkurugenzi Revo amesema, ewekezaji ni ushindani kwanza nipongeze jinsi serikali zote na awamu zote zimefanya juhudi mbalimbali kuboresha mazingira ya biashara kuvutia uwekezaji. Mnamo mwaka 1990 serikali ilitunga sheria ya uwekezaji na kuunda National Investment Promotion, mwaka 1996 tukatunga sera ya uwekezaji, na mwaka 1997, tukatunga sheria ya uwekezaji iliyoanzisha kituo cha Uwekezaji, TIC
Revo ameishukuru TBCnamesema Tanzania ni moja ya nchi za Afrika zenye sheria nzuri sana ya uwekezaji, ambapo mwekezaji wa nje, anapaswa kuwa na mtaji wa Dola $ 500,000 lakini kwa Mtanzania, anatakiwa awe na uwekezaji wa dola $ 50,000 tuu!.
Watanzania wenzangu, tuchangamkie fursa za uwekezaji kupitia TIC.
Karibuni.
Paskali
View: https://www.youtube.com/live/WG68iDTH28I?si=g2NmH5hKoui5ZSRX
Anayezungumza ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Wawekezaji wa TIC, Bw. Revocatus Arbogast Rasheli.
Kwa vile sio wote wenye access na TBC saa hizi, nitawaletea kwa uchache yale ya muhimu aliyozungumza.
Mkurugenzi Revo ameanza kwa kueleza majukumu ya idara yake ya huduma kwa wawekezaji, ni kuwahudumia wawekezaji kwa kuwapatia huduma mbalimbali kuanzia usajili miradi ya uwekezaji, kupata vibali, leseni na ridhaa na usaji mbalimbali kutoka idara mbalimbali za serikali. Nimefurahi kuwa hapa kuzungumza na Watanzania.
Mtangazaji akauliza kwanza kuhusu hali ya uwekezaji Tanzania kwa sasa.
Mkurugenzi Revo amesema, ewekezaji ni ushindani kwanza nipongeze jinsi serikali zote na awamu zote zimefanya juhudi mbalimbali kuboresha mazingira ya biashara kuvutia uwekezaji. Mnamo mwaka 1990 serikali ilitunga sheria ya uwekezaji na kuunda National Investment Promotion, mwaka 1996 tukatunga sera ya uwekezaji, na mwaka 1997, tukatunga sheria ya uwekezaji iliyoanzisha kituo cha Uwekezaji, TIC
Revo ameishukuru TBCnamesema Tanzania ni moja ya nchi za Afrika zenye sheria nzuri sana ya uwekezaji, ambapo mwekezaji wa nje, anapaswa kuwa na mtaji wa Dola $ 500,000 lakini kwa Mtanzania, anatakiwa awe na uwekezaji wa dola $ 50,000 tuu!.
Watanzania wenzangu, tuchangamkie fursa za uwekezaji kupitia TIC.
Karibuni.
Paskali