Hapa ndipo ninapomkumbuka Superman ... maana angekuwa anaishusha LIVE.
Wanazungumzia uchaguzi, Max ameulizwa JF imetumikaje na vijana na mifano gani, akawataja Zitto. Mnyika na Nape kama watumiaji muhimu wanasiasa wa sasa. Sasa anazungumza na kuseama kuna wasiwasi JF kama wanaoshiriki katika kempeni wamejiandikisha
kwa umbumbumbu wake maxence ameshindwa kuwaambia watanzania kuwa hii jamii ni ya wachadema....! na kipindi kimeshaisha...!
kwa umbumbumbu wake maxence ameshindwa kuwaambia watanzania kuwa hii jamii ni ya wachadema....! na kipindi kimeshaisha...!
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya members wa JF hawapo Tanzania,wako nje ya nchi na mengi yanayozungumzwa na kujadiliwa ndani ya JF huishia humu humu JF....JF ni darasa tosha sana kwa wa Tanzania,tatizo ni kwamba haijulikani....Nikiwa Tanzania nilijaribu kuwauliza baadhi ya watu tu kuhusu JF wengi wanasema hawaijui,sana sana wanachojua ni facebook,Michuzi,yahoo n.k................JF ijitangaze sasa............Inaweza kuwa na mchango mkubwa sana kwa Taifa letu mbeleni
nafikiri kwa hili la kwenda kujitaja eatv litawasaidia kidogo'ila siku nyingine mkituma wawakilishi wapeni tahadhari wasije kukurupuka kama maxence leo kutaja akina mnyika kuwa ni washirikii wakuu anweza akajikuta anabaki na haohao tu kwani watu wameshazoea story zao na wanataka stori mpya...! kuweni makini mara nyingine....!Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya members wa JF hawapo Tanzania,wako nje ya nchi na mengi yanayozungumzwa na kujadiliwa ndani ya JF huishia humu humu JF....JF ni darasa tosha sana kwa wa Tanzania,tatizo ni kwamba haijulikani....Nikiwa Tanzania nilijaribu kuwauliza baadhi ya watu tu kuhusu JF wengi wanasema hawaijui,sana sana wanachojua ni facebook,Michuzi,yahoo n.k................JF ijitangaze sasa............Inaweza kuwa na mchango mkubwa sana kwa Taifa letu mbeleni
Mkuu nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa sana. Nami pia nilifika nchini nikitegemea upepo wa kisiasa upo kama unavyosikika hapa JF. Kiuhalisia wananchi ambao wengi ni wapiga kura hawana hata habari ya kitu gani kinachoendelea. Tena basi, watu wanaopita JF wako informed zaidi kuliko hata hao waliopo Tanzania.