Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Shukrani mkuu, tutaongea kupitia Radio, tulianza na Morning Star radio na leo itakuwa ni kupitia East Africa Radio.Maxence umefanya jambo jema kuipeleka JF kwenye mijadala ya wazi. Sasa wasubiri watakapoifahamu vyema JF na what is inside watajuta kwa nini hawakuifahamu mapema.
Tuendelee kuelimisha umma wa watanzania waipende na kuipa nafasi ya kwanza nchi yao.
Pamoja tunapanda
Aidha, tutahitaji members kadhaa walio tayari kushiriki mijadala kwenye television na radio tuwasiliane nao ili tushiriki vipindi ambavyo wametuomba baadhi ya vyombo vya habari. Watakaokuwa tayari tuwasiliane ili tuweze kufahamishana ajenda kuu ni nini.