TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,516
- 11,278
Pendekeza ni habari gani ziwepo. Zifuatazo ni habari ambazo zitapewa kipaumbele:
--Ni mwaka wa Vibabu vya JF,, wengi wakiri kulizwa:
-Yupo Mod Maarufu wa Kike.
-Smile naye alilia penzi la Kibabu kijijini.
-Kimwana manywele wa Jei Efu aapa kujipa life Ban baada ya Kibabu kumlaghai na kisha kuingia mitini.
-Babu Asprin, Bishanga, DC watajwa.
--Baada ya JK kutangaza nia ya kuvunja Baraza la Mawaziri:
-Babu Asprin ajifanya mtaalmu wa kusafisha nyota.
-adai anatoa pete ya kumfanya mtu kuwa waziri.
-watu maarufu kibao wafurika nyumbani kwake.
-Yumo pia Mzee Mwanakijiji.
--Mtakatifu Ivuga amsababishia Mwali kulala Selo, ni baada ya kukopa Gongo ya mama muuza na kisha kuingia mitini. Mwali aapa kujivua pendo.
--Baada ya kugundua kuwa Amyner ni dada yake toka nitoke, Bagah ampigia magoti Erick52 apunguze tabia yake ya ukware. Yasemekana wanafahamiana jinsi wanavyoharibu watoto wa watu.
--Baada ya kuonjeshwa penzi la Cantalisia, Mphamvu aapa kumpindua Rejao. Canta akesha akiomba kikombe hiki kimpite pembeni, Rejao aapa kumshusha mtu Busha.
--Lile sakata la Vibabu vya Jei Efu laibua sura mpya. Vibibi navyo vyaapa kulipiza kisasi na vijana wa Jei Efu. Loya Klorokwin achekelea.
--Imegundulika: kumbe Golden Mpolee ni Dume, yasemekana ni fundi Gereji pale Tabata. Mwenyewe aingia mitini baada ya siri kufichuka. --Ban la Lizzy laleta mzozo, ni Baada ya Nyara za Serikali Ngabu na Bishanga kutaka kuzipiga hadharani.
--Mtu Chake alia kuteswa na Preta. Adai kila siku anapigwa na wakati mwingine analala njaa. Atoa wito zianzishwe Asasi za kutetea haki za wanaume.
Mapendo.
TANMO
--Ni mwaka wa Vibabu vya JF,, wengi wakiri kulizwa:
-Yupo Mod Maarufu wa Kike.
-Smile naye alilia penzi la Kibabu kijijini.
-Kimwana manywele wa Jei Efu aapa kujipa life Ban baada ya Kibabu kumlaghai na kisha kuingia mitini.
-Babu Asprin, Bishanga, DC watajwa.
--Baada ya JK kutangaza nia ya kuvunja Baraza la Mawaziri:
-Babu Asprin ajifanya mtaalmu wa kusafisha nyota.
-adai anatoa pete ya kumfanya mtu kuwa waziri.
-watu maarufu kibao wafurika nyumbani kwake.
-Yumo pia Mzee Mwanakijiji.
--Mtakatifu Ivuga amsababishia Mwali kulala Selo, ni baada ya kukopa Gongo ya mama muuza na kisha kuingia mitini. Mwali aapa kujivua pendo.
--Baada ya kugundua kuwa Amyner ni dada yake toka nitoke, Bagah ampigia magoti Erick52 apunguze tabia yake ya ukware. Yasemekana wanafahamiana jinsi wanavyoharibu watoto wa watu.
--Baada ya kuonjeshwa penzi la Cantalisia, Mphamvu aapa kumpindua Rejao. Canta akesha akiomba kikombe hiki kimpite pembeni, Rejao aapa kumshusha mtu Busha.
--Lile sakata la Vibabu vya Jei Efu laibua sura mpya. Vibibi navyo vyaapa kulipiza kisasi na vijana wa Jei Efu. Loya Klorokwin achekelea.
--Imegundulika: kumbe Golden Mpolee ni Dume, yasemekana ni fundi Gereji pale Tabata. Mwenyewe aingia mitini baada ya siri kufichuka. --Ban la Lizzy laleta mzozo, ni Baada ya Nyara za Serikali Ngabu na Bishanga kutaka kuzipiga hadharani.
--Mtu Chake alia kuteswa na Preta. Adai kila siku anapigwa na wakati mwingine analala njaa. Atoa wito zianzishwe Asasi za kutetea haki za wanaume.
Mapendo.
TANMO