Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
HABARI KAMILI:
na mwandishi maalum
-Baada ya
Kongosho
kuchoropoa mimba ya
Asprin,mmewe
ajua,amtwanga talaka na kibondo juu,yuko icu.
-Mama Matesha naye ainyaka live,ammmwagia
Asprin
maji ya betri,uso nyanganyanga,yuko icu
-@Nyagi ngabu amkosa bishanga risasi,kisa wivu,atiwa nguvuni na kubondwa
na manjata,yuko icu
-@Cantalisia amfumania rejao na Amyner,amnyofoa
rejao korodani Rejao hoi,yuko icu
-@Husninyo amlipua babu DC hadharani,asema ndo alimpa kideti
Babu DC apata mshtuko,yupo icu
-Bishanga akaribishwa kwa bashasha unga ltd,aenda usiku,atumbukia kwenye
mtaro,kiuno hoi,yuko icu
-Kloro afoji cheti cha ndoa ili alipwe nauli kazini,adai yeye ni mmewe
Preta,preta agundua,ampa za uso,yuko
icu
Eeh! Sasa huko ICU si kumefurika?
Last edited by a moderator: