kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,630
- 14,752
Wanachit chat kutokana na waandishi wa habari za udaku kulala mbele.
Kiwatengu nashika pen kuwashushia News nzito na zenye uhakika...
Karibu udaku!!
1. Hatimaye Munkari aolewa na Afisa mtendaji kata (WEO).
Inasemekana jamaa alijipatia mrembo kirahisi
kwani yeye ndiye mwenye solar kijiji kizima alichopangiwa kazi Munkari.
Na lifti za boda boda.
2. lusungo anusurika kifo, ni baada ya homa hatari ya Dengue kumpata.
Yabainika huyu jamaa ni mlinzi wa getini maeneo flani ya Tabata.
3. Arushaone aoenekana Whatsapp aunganishwa kwenye kundi moja (jina kapuni) nusura avunje ndoa za watu, inasemekana wenyeji wa kikundi hicho huweka picha zao nzuri nzuri kitu kilichompagawisha zaidi!! KOKUTONA afurahia sana uwepo wake..
4. Mwanyasi ashindwa rasmi kuihudumia ndoa.
Kijana anayekuja kwa kasi First Born amsarandia mkewe janeth1 mchana na usiku.
uzururaji unaweza kumponza.
5. Mamndenyi amkumbuka tena Bishanga..
yasemekana.
atamani kukutana nae tena!!
ikumbukwe hawa waliwahi kushikwa ugoni.
6. Karucee afungua SACCOSS yake njemba nne kwa nyakati tofauti zapishana kuihudumia.
Ntuzu Mndengereko na OLESAIDIMU hawahusiki direct..
Apania kumpiku Madame B, mwenyewe ajiita Beyonce.
7. Kaizer ahusishwa na timubazazi, aonekana akimendea binti wajukwaani kwa fujo.
Ikumbukwe main principle ya #teambazazi inayoongozwa na Babu Asprin na wajumbe wakuu Mentor mwekundu Nicas Mtei ni "eat more girls as u can"...
huruma kwa DEMBA aliyetoka nae mbali.
8. Honey Faith atangaza nia yake kwa Rogie, ni baada ya kuhongwa Tablet...
ashusha mtongozo mkali.
Anatafuta chance ya kuhamia kabisa..atakuwa nyumba ndogo.
9. Ujauzito wa Heaven on Earth wazidi kutia mashaka huu ni mwezi wa 10 na bado kijacho hakijaja.
figganigga inasemekana alienda kwa babu kujaribu kufanya ufundi. sababu ni yeye kutokuwa msababishi wa ujauzito huo.
10. 'Valentina' afika Dar kwa mara ya kwanza
aonekana akishangaa magorofa..
Mwenyeji wake aha ha kumtembeza maeneo ya jiji.
11. Imebainika ni kweli Khantwe hajawahi kuolewa
.... aonekana sehemu akiomba mtongozo kwa mwandishi wa Gazeti hili...
12. Jinsia ya Kongosho matatani tena, kumbe kuna vijana hawajawahi kuijua... Kibo10 apata wakati mgumu, Ni baada ya kujaribu kueleza alivyokuwa akidhani..
13. utafiti anaswa maeneo ya Kinondoni...yasemekana alikuwa anamtafuta miss chagga, kumbe kuitana kwao dady na daughter ni zuga tu!!
........
Kiwatengu nashika pen kuwashushia News nzito na zenye uhakika...
Karibu udaku!!
1. Hatimaye Munkari aolewa na Afisa mtendaji kata (WEO).
Inasemekana jamaa alijipatia mrembo kirahisi
kwani yeye ndiye mwenye solar kijiji kizima alichopangiwa kazi Munkari.
Na lifti za boda boda.
2. lusungo anusurika kifo, ni baada ya homa hatari ya Dengue kumpata.
Yabainika huyu jamaa ni mlinzi wa getini maeneo flani ya Tabata.
3. Arushaone aoenekana Whatsapp aunganishwa kwenye kundi moja (jina kapuni) nusura avunje ndoa za watu, inasemekana wenyeji wa kikundi hicho huweka picha zao nzuri nzuri kitu kilichompagawisha zaidi!! KOKUTONA afurahia sana uwepo wake..
4. Mwanyasi ashindwa rasmi kuihudumia ndoa.
Kijana anayekuja kwa kasi First Born amsarandia mkewe janeth1 mchana na usiku.
uzururaji unaweza kumponza.
5. Mamndenyi amkumbuka tena Bishanga..
yasemekana.
atamani kukutana nae tena!!
ikumbukwe hawa waliwahi kushikwa ugoni.
6. Karucee afungua SACCOSS yake njemba nne kwa nyakati tofauti zapishana kuihudumia.
Ntuzu Mndengereko na OLESAIDIMU hawahusiki direct..
Apania kumpiku Madame B, mwenyewe ajiita Beyonce.
7. Kaizer ahusishwa na timubazazi, aonekana akimendea binti wajukwaani kwa fujo.
Ikumbukwe main principle ya #teambazazi inayoongozwa na Babu Asprin na wajumbe wakuu Mentor mwekundu Nicas Mtei ni "eat more girls as u can"...
huruma kwa DEMBA aliyetoka nae mbali.
8. Honey Faith atangaza nia yake kwa Rogie, ni baada ya kuhongwa Tablet...
ashusha mtongozo mkali.
Anatafuta chance ya kuhamia kabisa..atakuwa nyumba ndogo.
9. Ujauzito wa Heaven on Earth wazidi kutia mashaka huu ni mwezi wa 10 na bado kijacho hakijaja.
figganigga inasemekana alienda kwa babu kujaribu kufanya ufundi. sababu ni yeye kutokuwa msababishi wa ujauzito huo.
10. 'Valentina' afika Dar kwa mara ya kwanza
aonekana akishangaa magorofa..
Mwenyeji wake aha ha kumtembeza maeneo ya jiji.
11. Imebainika ni kweli Khantwe hajawahi kuolewa
.... aonekana sehemu akiomba mtongozo kwa mwandishi wa Gazeti hili...
12. Jinsia ya Kongosho matatani tena, kumbe kuna vijana hawajawahi kuijua... Kibo10 apata wakati mgumu, Ni baada ya kujaribu kueleza alivyokuwa akidhani..
13. utafiti anaswa maeneo ya Kinondoni...yasemekana alikuwa anamtafuta miss chagga, kumbe kuitana kwao dady na daughter ni zuga tu!!
........
Last edited by a moderator: