Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Nani aelewe? Atakuwa anakusanya mipira inayotoka njeDuuh! Muhazini Mangi !
Sijui kama watakuelewa!
Hahahahahaaa ataweza mikiki ya mabeki wa timu pinzani?
Mamndenyi anaelewa hata futbo basi, anadhani Drogba anacheza netbo
Hahahahahaaa tatizo lako watu wameshindwa kujua kama ni dada au kaka so wanaogopa kupanga timu ya jinsia Mbili....
We kaa jukwaa la Ufundi kama ulivyokuwa umeomba mwanzo
Mie nimejichagua kuwa mmiliki wa timu, abromovich wenu.
Mkiniudhi nauza timu