Najua ukiiuza itabidi hata hao utuuza nao ili tuendako performance isishuke
Huyu mmoja hauziki bana
bora nibaki na hasara ya timu kuliko kuuza huyu mmoja.
Pipi baki nazo utatupa uwanjani...
Vuvuzelaz wape akina usiniumizieeee
Footbal sipo labda niwe refa ila ukipanga ya basketball niwaze..
Namba moja maziwa ya mgando.
Namba mbili ODM
Namba tatu Bishanga
Namba nne Rejao
Namba tano EMT
Namba tano Babu DC
namba sita Nzi
namba saba Mbu
namba nane Bagah
Namba tisa Tanmo
Namba kumi Nyani Ngabu
Namba eleven The Finest
Reserves:
mtaly
Judgement
And son on
hii ndo timu yangu ya mpira hapa jf.
Washangiliani namba wani Husyn, mbishi huyu
na wengine wote sasa.
Dah Hii Timu kama Kweli Ipo Nikija Bongo lazima namie nipate Namba mchezaji wa ugenini au sio? lol Nije kupiga Madotchi Mpira wa ngozi alafu Mniazime kiatu kimoja cha kuchezea.
Hahahahaahaaa halafu hagundui kama vimebadilika