Losomich
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 371
- 71
Kwa maana hiyo kazi ya polisi tanzania ni kulea mafisadi wanaozitavuna rasilimali za nchi na kuwakamata wanaowatetea wananchi. Wakidhubutu kumkata dr. Slaa basi wajue kuwa wameitangazia umma kuwa hawapo kwa ajili ya masilahi ya umma bali wako kwa ajili ya masilahi ya mafisadi na serikali yao.
Hii itakuwa kali ya mwaka. Nitamwomba mungu awasamehe bure kwa kuwa hawajui walitendalo kama watadhubutu kufanya hivyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hii itakuwa kali ya mwaka. Nitamwomba mungu awasamehe bure kwa kuwa hawajui walitendalo kama watadhubutu kufanya hivyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!